asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
kuhashuana!
af na lenyewe limekaa kigenye genyeeee!ah!
hashu , hashuaaaaaaaaaaaa tichaaaaa!!!!!!!!!!!!!!
kuhashuana!
af na lenyewe limekaa kigenye genyeeee!ah!
Good for you.
BTW why did you flirt in the first place? Why does one do it, is it because of boredom, kuwa neglected na loved ones? gfsonwin amesema message anayoipata mumewe akiflirt ni kwamba hajaplay role yake ya kumhashua mumewe kisawasawa so she takes it as a challenge.
Thanks gfsonwin kwa mdadavuo wako mzuri; so ukirejea swali la msingi. Given equal opportunity ya kukubaliwa mtongozo kati ya mtu mume na mtu mke, nani is more likely kuchomolea offer ya kuengage in sex?
Juma katongoza kukubaliwa
Roza kajitongozesha kakubaliwa
Wote wanaweza kuahirisha na ikaleta tafsiri sawa?
mimi mwenzenu mgeni hapa Yerusalemu.......Nasema ukweli.
Flirting nyingi nilzofanya zmegeukia katika reality bt not kitandani.. Girls takes it too serious. Too bad.
Hahaha. Wakat inaanza unakuwa unadhan sio serious.bt inafkia hatua sasa inakuwa too serious mpaka inatisha.mimi mwenzenu mgeni hapa Yerusalemu....... yaani kabisa mtu unakuwa serious na flirting? ngoja niangalie foleni ingefika wapi, lol!
hiyo hatua ndo kama siku ngapi? miaka mingapi?......Hahaha. Wakat inaanza unakuwa unadhan sio serious.bt inafkia hatua sasa inakuwa too serious mpaka inatisha.
Mimi siwezi..Ila najua wakaka wanapenda hiyo kitu..tena wanajidai wanaweza mfikisha mwanamke kilele.. nikisema online ni pamoja na simu,skype,chat etc
Hahaha. Wakat inaanza unakuwa unadhan sio serious.bt inafkia hatua sasa inakuwa too serious mpaka inatisha.
mmmmh! Try not to do that kitu online
i decided not to go all the way because nlikuwa na girl. I told them kuwa napenda urafiki wa kawaida kuliko ule wa kimapenzi. Wengine walielewa, wengine wakasema naringa. Ila ni marafiki zangu wote.. Endapo ningeenda nao all the way wengi wao tungekuwa tumechuniana sasa hivi.
hiyo hatua ndo kama siku ngapi? miaka mingapi?......
sijawahi kuwa serious kwenye flirting aisee, na sitegemei kuwa serious
sindio nshakuambia sasaNauchuna ili unimiss halafu uniambie lol