Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
ukifuatilia kwa makini habari zinazochapishwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini tabia za ushoga na usagaji zinazidi kushika kasi. siku hata siku.
Jee kuna haja ya serikali kupitisha sheria zitakazoruhusu mahusiano haya yawe halali kisheria?
Jee kuna haja ya serikali kupitisha sheria zitakazoruhusu mahusiano haya yawe halali kisheria?