MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Mimi nafikiri si sawa kuwe na ruksa ya haya mambo. Lakini jamani kitu cha muhimu ni kujichunguza kwanza sisi walezi, wazazi na jukumu letu zima la kulea watoto wetu katika maadili yanayotakikana na yaliyo sahihi. Kamwe tusitegemee ustawi wa jamii walas erikali kwani sisi yenyewe ndio ustawi wa jamii na sisi wenyewe ndio serikali.
Mtoa mada anachokiongelea ni kweli kabisa kuwa tunajua kuwa haya yanatendeka tunayafumbia macho tu, kuna haja ya kuyachukulia hatua ili kunusuru vizazi vijavyo badala ya kuwaachia TACAIDS na Muhimbili kama vile inawahusu wao tu. TACAIDS wao watakuwa concerned na jinsi vitendo hivi vinavyochangia ongezeko la UKIMWI na magonjwa mengine ya zinaa. Imefika wakati sasa wasomi wetu wa nchi waanze kututumikia japo kwa kufanya tariti za kina za namna ambavyo tabia hizi zinachipukia, enezwa na ikiwezekana watupe recommendations za namna ya kuzizuia zisiendelee kuwepo na watuhabarishe wananchi wote madhara ya tabia hizo kisha tuungane kutokomeza lakini kusema tu Iruhusiwe au isiruhusiwe ni kupaka rangi nyumba chakavu.
Kujibu mada yako kagarama mimi kama mimi naomba isiruhusiwe na litafutiwe ufumbuzi wa kina.
Mtoa mada anachokiongelea ni kweli kabisa kuwa tunajua kuwa haya yanatendeka tunayafumbia macho tu, kuna haja ya kuyachukulia hatua ili kunusuru vizazi vijavyo badala ya kuwaachia TACAIDS na Muhimbili kama vile inawahusu wao tu. TACAIDS wao watakuwa concerned na jinsi vitendo hivi vinavyochangia ongezeko la UKIMWI na magonjwa mengine ya zinaa. Imefika wakati sasa wasomi wetu wa nchi waanze kututumikia japo kwa kufanya tariti za kina za namna ambavyo tabia hizi zinachipukia, enezwa na ikiwezekana watupe recommendations za namna ya kuzizuia zisiendelee kuwepo na watuhabarishe wananchi wote madhara ya tabia hizo kisha tuungane kutokomeza lakini kusema tu Iruhusiwe au isiruhusiwe ni kupaka rangi nyumba chakavu.
Kujibu mada yako kagarama mimi kama mimi naomba isiruhusiwe na litafutiwe ufumbuzi wa kina.