Hasara na gharama za uchawa

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,881
18,295
Inasikitisha sana kumkuta kijana mwenye nguvu chini ya miaka 40 ameingia kwenye uchawa na kushabikia vitendo vya uchawa. Mtu aliyechagua maisha ya uchawa anaweza kudhani kuwa amechagua maisha ya mteremko (kitonga) ama kwa kujitoa ufahamu au kuchukulia kirahisi madhara ya uchawa. Tatizo chawa huwa wanatangaza mafanikio yao tu lakini wanachelea kutangaza gharama wanazoingia kwenye kazi yao ya uchawa.

Ni rahisi, kwa mfano, changudoa au punda wa madawa ya kulevya kutangaza mafanikio yake kimaisha lakini kamwe hawezi kutangaza madhira anayoyapata. Kazi za aina hii ni mbaya sana kwani licha ya kumdhalilisha mtu kwenye jamii, humsababishia maumivu ya kisaikolojia ya muda mrefu ambayo hudumu nayo katika kipindi chote cha maisha yake.

Watu wanaoishi na chawa hawawezi kukubali kunyonywa bila kuweka masharti magumu. Na chawa ili aendelee kunyonya hana chaguo lingine zaidi ya kukubali masharti hayo, bila kujali ubaya au uzito wake. Utashangaa chawa mwenye umri wa miaka 30 hana mradi wowote lakini anamiliki mali za thamani kubwa. Kumbe ni shoga, msagaji, msagwaji au punda. Anakubali kutumikishwa kwenye ushoga, usagaji au upunda ilmradi mkono uende kinywani. Halafu anatoka hadharani kuwatangazia watu utajiri wake bila kutangaza utumikishwaji wake.

Tabia ya uchawa inawafanya vijana wawe wategemezi na kukubali kutumiwa na wamiliki wa chawa bila kuhoji. Pia linapelekea vijana kutoweka juhudi zozote kujitafutia mali kwa njia halali zinazokubalika kisheria na kijamii.

Vijana waliopo shuleni na vyuoni wanashindwa kuweka jitihata kwenye masomo baada ya kuona vijana wenzao wanafanikiwa kwenye uchawa hata bila kwenda shule. Aidha, vijana waliohitimu masomo na wakakosa kazi nao watajitumbukiza kwenye uchawa kwa kudhani kuwa watafanikiwa kwa haraka, hivyo kuwafanya wasitafute kazi halali kwa mujibu wa taaluma zao.

Matokeo ya haya yote ni kuongezeka kwa idadi ya watu wasiofikiri na wasiokuwa na ubunifu wowote kwenye kazi binafsi au za kuajiriwa. Na kibaya zaidi ni kuongezeka kwa idadi ya vijana wasiofaa katika jamii kama vile mashoga, wasagaji, waswagaji, changudoa, punda, n.k.

USHAURI
Serikali isipokuwa makini, hivi vitendo vya uchawa kwa vijana vilivyoshamiri hapa nchini vitasababisha madhara makubwa sana kwa vizazi vijavyo. Ni wakati muafaka sasa serikali ichukue hatua maridhawa kuupiga vita uchawa lakini pia viongozi na wanasiasa wanaotumikisha vijana kwenye uchawa yafaa waache tabia hiyo mara moja.

Kiongozi anaweza asione uchungu kumtumikisha mtoto wa mwenzake kwenye uchawa lakini atambue kuwa uchawa ni kansa ambayo ikisambaa kwenye jamii haiwezi kuwaacha salama watoto wake pia. Ubaya wa uchawa ni kutoridhika. Anaweza akadhani watoto wake wanaridhika na mali anazomiliki na kuwa hawawezi kuwa chawa. Anajidanganya sana. Ipo siku atawakuta watoto wake nao wakitumikishwa kwenye uchawa.

Haya mambo tumekuwa tukiyashuhudia hapa nchini kwa muda mrefu. Lazima tukubaliane kuwa uchawa una madaraja mengi. Ikiwa mwanao hatatumikishwa kwenye uchawa wa daraja la kwanza, lazima tu atakuja kutumikishwa kwenye uchawa wa daraja la pili au la tau. Tunashuhudia watoto wa vigogo nao wameanza kuingia kwenye uchawa wa daraja la juu.


1704629812253.png

Madaraja ya chawa

Hivyo basi, natoa rai kwa serikali kupiga marufuku vitendo vya uchawa na utumikishwaji kwani madhara yake yanaenea kwa haraka sana. Tusikubali kujenga ukuta wakati uwezo wa kuziba ufa tunao.

In short, chawaism has got detrimental and far-reaching consequences in the community. That is the reason I stress this habit to be banned forthwith before it destroys our society to an irreparable existent.

Nawasilisha.
 

Attachments

  • 1704629602386.png
    1704629602386.png
    27.6 KB · Views: 4
Inasikitisha sana kumkuta kijana mwenye nguvu chini ya miaka 40 anakuwa chawa na kushabikia vitendo vya uchawa. Mtu aliyechagua maisha ya uchawa anaweza kudhani kuwa amechagua maisha ya mteremko (kitonga) ama kwa kujitoa ufahamu au kuchukulia kirahisi madhara ya uchawa. Tatizo chawa huwa wanatangaza mafanikio yao tu lakini wanachelea kutangaza gharama wanazoingia kwenye kazi yao ya uchawa.

Ni rahisi, kwa mfano, changudoa au punda wa madawa ya kulevya kutangaza mafanikio yake kimaisha lakini kamwe hawezi kutangaza madhira anayoyapata. Kazi za aina hii ni mbaya sana kwani licha ya kumdhalilisha mtu kwenye jamii, humsababishia maumivu ya kisaikolojia ya muda mrefu ambayo hudumu nayo katika kipindi chote cha maisha yake.

Watu wanaoishi na chawa hawawezi kukubali kunyonywa bila kuweka masharti magumu. Na chawa ili aendelee kunyonya hana chaguo lingine zaidi ya kukubali masharti hayo, bila kujali ubaya au uzito wake. Utashangaa chawa mwenye umri wa miaka 30 hana mradi wowote lakini anamiliki mali za thamani kubwa. Kumbe ni shoga, msagaji, msagwaji au punda. Anakubali kutumikishwa kwenye ushoga, usagaji au upunda ilmradi mkono uende kinywani. Halafu anatoka hadharani kuwatangazia watu utajiri wake bila kutangaza utumikishwaji wake.

Tabia ya uchawa inawafanya vijana wawe wategemezi na kukubali kutumiwa na wamiliki wa chawa bila kuhoji. Pia linapelekea vijana kutoweka juhudi zozote kujitafutia mali kwa njia halali zinazokubalika kisheria na kijamii.

Vijana waliopo shuleni na vyuoni wanashindwa kuweka jitihata kwenye masomo baada ya kuona vijana wenzao wanafanikiwa kwenye uchawa hata bila kwenda shule. Aidha, vijana waliohitimu masomo na wakakosa kazi nao watajitumbukiza kwenye uchawa kwa kudhani kuwa watafanikiwa kwa haraka, hivyo kuwafanya wasitafute kazi halali kwa mujibu wa taaluma zao.

Matokeo ya haya yote ni kuongezeka kwa idadi ya watu wasiofikiri na wasiokuwa na ubunifu wowote kwenye kazi binafsi au za kuajiriwa. Na kibaya zaidi ni kuongezeka kwa idadi ya vijana wasiofaa katika jamii kama vile mashoga, wasagaji, waswagaji, changudoa, punda, n.k.

USHAURI
Serikali isipokuwa makini, hivi vitendo vya uchawa kwa vijana vilivyoshamiri hapa nchini vitasababisha madhara makubwa sana kwa vizazi vijavyo. Ni wakati muafaka sasa serikali ichukue hatua maridhawa kuupiga vita uchawa lakini pia viongozi na wanasiasa wanaotumikisha vijana kwenye uchawa yafaa waache tabia hiyo mara moja.

Kiongozi anaweza asione uchungu kumtumikisha mtoto wa mwenzake kwenye uchawa lakini atambue kuwa uchawa ni kansa ambayo ikisambaa kwenye jamii haiwezi kuwaacha salama watoto wake pia. Ubaya wa uchawa ni kutoridhika. Anaweza akadhani watoto wake wanaridhika na mali anazomiliki na kuwa hawawezi kuwa chawa. Anajidanganya sana. Ipo siku atawakuta watoto wake nao wakitumikishwa kwenye uchawa.

Haya mambo tumekuwa tukiyashuhudia hapa nchini kwa muda mrefu. Lazima tukubaliane kuwa uchawa una madaraja mengi. Ikiwa mwanao hatatumikishwa kwenye uchawa wa daraja la kwanza, lazima tu atakuja kutumikishwa kwenye uchawa wa daraja la pili au la tau. Tunashuhudia watoto wa vigogo nao wameanza kuingia kwenye uchawa wa daraja la juu.


View attachment 2864555
Madaraja ya chawa

Hivyo basi, natoa rai kwa serikali kupiga marufuku vitendo vya uchawa na utumikishwaji kwani madhara yake yanaeneakwa mustakababali wa jamii nawtharaka sana. Tusikubali kujenga ukuta wakati uwezo wa kuziba ufa tunao.

In short, chawaism has got detrimental and far-reaching consequences in the community. That is the reason I stress this habit to be banned forthwith before it destroys our society to an irreparable existent.

Nawasilisha.
Uchawa una hatari katika mustakabali wa jamii na taifa kwa ujumla kuliko madawa ya kulevya.
Sababu kuu ni kwamba unasababisha ulemavu wa fikra makini (critical thinking), na unahusiana moja kwa moja na utawala au maamuzi ya kitaifa tofauti na madawa ambayo hupigwa vita.
Taifa ambalo raia/viongozi wao hawafikirii kwa umakini (critically) linakufa polepole.
Tukumbuke kwamba, machawa wanaweza kuwa viongozi kupitia uchawa wao.
 
Mkuu ukipata shortcut na haina madhara kwa misingi ulio lelewa wala hauvunji sheria za nchi ... pita nayo

maisha mafupi na hamna tuzo ya kuteseka.
Mkuu tatizo uchawa haukosi gharama. Ni kwa sababu tu huwa madhara hayatangazwi hadhatani ndio maana watu wengine wanafikiri uchawa ni deal.
 
Uchawa una hatari katika mustakabali wa jamii na taifa kwa ujumla kuliko madawa ya kulevya.
Sababu kuu ni kwamba unasababisha ulemavu wa fikra makini (critical thinking), na unahusiana moja kwa moja na utawala au maamuzi ya kitaifa tofauti na madawa ambayo hupigwa vita.
Taifa ambalo raia/viongozi wao hawafikirii kwa umakini (critically) linakufa polepole.
Tukumbuke kwamba, machawa wanaweza kuwa viongozi kupitia uchawa wao.
Mkuu umenena vema.
Strictly speaking, chawaism is a big problem in the society as it has the capability to replicate like an HIV virus.
 
Mitandao imesaidia sana kuwakuza na kuwawezesha machawa. Yoyote anaweza akaanza kusifia mazuri, ujinga, na upumbavu wowote hata kama anajua hauna faida na maslahi kwa taifa.

Wakipiga kelele zaidi kusifia upuuzi ndivyo thamani yao inaongezeka zaidi na kiasi wanacholipwa na kulamba teuzi na asali.

Mifano ni mingi ya machawa na akili zao hapa JF, bungeni na kwenye majukwaa na mitandao mingine ya kijamii.
 
Mitandao imesaidia sana kuwakuza na kuwawezesha machawa. Yoyote anaweza akaanza kusifia mazuri, ujinga, na upumbavu wowote hata kama anajua hauna faida na maslahi kwa taifa.

Wakipiga kelele zaidi kusifia upuuzi ndivyo thamani yao inaongezeka zaidi na kiasi wanacholipwa na kulamba teuzi na asali.

Mifano ni mingi ya machawa na akili zao hapa JF, bungeni na kwenye majukwaa na mitandao mingine ya kijamii.
Mkuu hata hapa JF kumbe wamo? Tusubiri wenyewe waje.
CC MamaSamia2025
 
Mitandao imesaidia sana kuwakuza na kuwawezesha machawa. Yoyote anaweza akaanza kusifia mazuri, ujinga, na upumbavu wowote hata kama anajua hauna faida na maslahi kwa taifa.

Wakipiga kelele zaidi kusifia upuuzi ndivyo thamani yao inaongezeka zaidi na kiasi wanacholipwa na kulamba teuzi na asali.

Mifano ni mingi ya machawa na akili zao hapa JF, bungeni na kwenye majukwaa na mitandao mingine ya kijamii.
Tabia kubwa ya chawa ni kutokuwa na aibu. Hawa machawa wanadhalilika sana laikini kwa kuwa hawana chembe ya aibu, wanazidi kudhalilishwa na kutumikishwa na wadosi kila kukicha.
 
Inasikitisha sana kumkuta kijana mwenye nguvu chini ya miaka 40 ameingia kwenye uchawa na kushabikia vitendo vya uchawa. Mtu aliyechagua maisha ya uchawa anaweza kudhani kuwa amechagua maisha ya mteremko (kitonga) ama kwa kujitoa ufahamu au kuchukulia kirahisi madhara ya uchawa. Tatizo chawa huwa wanatangaza mafanikio yao tu lakini wanachelea kutangaza gharama wanazoingia kwenye kazi yao ya uchawa.

Ni rahisi, kwa mfano, changudoa au punda wa madawa ya kulevya kutangaza mafanikio yake kimaisha lakini kamwe hawezi kutangaza madhira anayoyapata. Kazi za aina hii ni mbaya sana kwani licha ya kumdhalilisha mtu kwenye jamii, humsababishia maumivu ya kisaikolojia ya muda mrefu ambayo hudumu nayo katika kipindi chote cha maisha yake.

Watu wanaoishi na chawa hawawezi kukubali kunyonywa bila kuweka masharti magumu. Na chawa ili aendelee kunyonya hana chaguo lingine zaidi ya kukubali masharti hayo, bila kujali ubaya au uzito wake. Utashangaa chawa mwenye umri wa miaka 30 hana mradi wowote lakini anamiliki mali za thamani kubwa. Kumbe ni shoga, msagaji, msagwaji au punda. Anakubali kutumikishwa kwenye ushoga, usagaji au upunda ilmradi mkono uende kinywani. Halafu anatoka hadharani kuwatangazia watu utajiri wake bila kutangaza utumikishwaji wake.

Tabia ya uchawa inawafanya vijana wawe wategemezi na kukubali kutumiwa na wamiliki wa chawa bila kuhoji. Pia linapelekea vijana kutoweka juhudi zozote kujitafutia mali kwa njia halali zinazokubalika kisheria na kijamii.

Vijana waliopo shuleni na vyuoni wanashindwa kuweka jitihata kwenye masomo baada ya kuona vijana wenzao wanafanikiwa kwenye uchawa hata bila kwenda shule. Aidha, vijana waliohitimu masomo na wakakosa kazi nao watajitumbukiza kwenye uchawa kwa kudhani kuwa watafanikiwa kwa haraka, hivyo kuwafanya wasitafute kazi halali kwa mujibu wa taaluma zao.

Matokeo ya haya yote ni kuongezeka kwa idadi ya watu wasiofikiri na wasiokuwa na ubunifu wowote kwenye kazi binafsi au za kuajiriwa. Na kibaya zaidi ni kuongezeka kwa idadi ya vijana wasiofaa katika jamii kama vile mashoga, wasagaji, waswagaji, changudoa, punda, n.k.

USHAURI
Serikali isipokuwa makini, hivi vitendo vya uchawa kwa vijana vilivyoshamiri hapa nchini vitasababisha madhara makubwa sana kwa vizazi vijavyo. Ni wakati muafaka sasa serikali ichukue hatua maridhawa kuupiga vita uchawa lakini pia viongozi na wanasiasa wanaotumikisha vijana kwenye uchawa yafaa waache tabia hiyo mara moja.

Kiongozi anaweza asione uchungu kumtumikisha mtoto wa mwenzake kwenye uchawa lakini atambue kuwa uchawa ni kansa ambayo ikisambaa kwenye jamii haiwezi kuwaacha salama watoto wake pia. Ubaya wa uchawa ni kutoridhika. Anaweza akadhani watoto wake wanaridhika na mali anazomiliki na kuwa hawawezi kuwa chawa. Anajidanganya sana. Ipo siku atawakuta watoto wake nao wakitumikishwa kwenye uchawa.

Haya mambo tumekuwa tukiyashuhudia hapa nchini kwa muda mrefu. Lazima tukubaliane kuwa uchawa una madaraja mengi. Ikiwa mwanao hatatumikishwa kwenye uchawa wa daraja la kwanza, lazima tu atakuja kutumikishwa kwenye uchawa wa daraja la pili au la tau. Tunashuhudia watoto wa vigogo nao wameanza kuingia kwenye uchawa wa daraja la juu.


View attachment 2864555
Madaraja ya chawa

Hivyo basi, natoa rai kwa serikali kupiga marufuku vitendo vya uchawa na utumikishwaji kwani madhara yake yanaenea kwa haraka sana. Tusikubali kujenga ukuta wakati uwezo wa kuziba ufa tunao.

In short, chawaism has got detrimental and far-reaching consequences in the community. That is the reason I stress this habit to be banned forthwith before it destroys our society to an irreparable existent.

Nawasilisha.
Machawa👇
 

Attachments

  • IMG_20240107_170508.jpg
    IMG_20240107_170508.jpg
    53.2 KB · Views: 5
Inasikitisha sana kumkuta kijana mwenye nguvu chini ya miaka 40 ameingia kwenye uchawa na kushabikia vitendo vya uchawa. Mtu aliyechagua maisha ya uchawa anaweza kudhani kuwa amechagua maisha ya mteremko (kitonga) ama kwa kujitoa ufahamu au kuchukulia kirahisi madhara ya uchawa. Tatizo chawa huwa wanatangaza mafanikio yao tu lakini wanachelea kutangaza gharama wanazoingia kwenye kazi yao ya uchawa.

Ni rahisi, kwa mfano, changudoa au punda wa madawa ya kulevya kutangaza mafanikio yake kimaisha lakini kamwe hawezi kutangaza madhira anayoyapata. Kazi za aina hii ni mbaya sana kwani licha ya kumdhalilisha mtu kwenye jamii, humsababishia maumivu ya kisaikolojia ya muda mrefu ambayo hudumu nayo katika kipindi chote cha maisha yake.

Watu wanaoishi na chawa hawawezi kukubali kunyonywa bila kuweka masharti magumu. Na chawa ili aendelee kunyonya hana chaguo lingine zaidi ya kukubali masharti hayo, bila kujali ubaya au uzito wake. Utashangaa chawa mwenye umri wa miaka 30 hana mradi wowote lakini anamiliki mali za thamani kubwa. Kumbe ni shoga, msagaji, msagwaji au punda. Anakubali kutumikishwa kwenye ushoga, usagaji au upunda ilmradi mkono uende kinywani. Halafu anatoka hadharani kuwatangazia watu utajiri wake bila kutangaza utumikishwaji wake.

Tabia ya uchawa inawafanya vijana wawe wategemezi na kukubali kutumiwa na wamiliki wa chawa bila kuhoji. Pia linapelekea vijana kutoweka juhudi zozote kujitafutia mali kwa njia halali zinazokubalika kisheria na kijamii.

Vijana waliopo shuleni na vyuoni wanashindwa kuweka jitihata kwenye masomo baada ya kuona vijana wenzao wanafanikiwa kwenye uchawa hata bila kwenda shule. Aidha, vijana waliohitimu masomo na wakakosa kazi nao watajitumbukiza kwenye uchawa kwa kudhani kuwa watafanikiwa kwa haraka, hivyo kuwafanya wasitafute kazi halali kwa mujibu wa taaluma zao.

Matokeo ya haya yote ni kuongezeka kwa idadi ya watu wasiofikiri na wasiokuwa na ubunifu wowote kwenye kazi binafsi au za kuajiriwa. Na kibaya zaidi ni kuongezeka kwa idadi ya vijana wasiofaa katika jamii kama vile mashoga, wasagaji, waswagaji, changudoa, punda, n.k.

USHAURI
Serikali isipokuwa makini, hivi vitendo vya uchawa kwa vijana vilivyoshamiri hapa nchini vitasababisha madhara makubwa sana kwa vizazi vijavyo. Ni wakati muafaka sasa serikali ichukue hatua maridhawa kuupiga vita uchawa lakini pia viongozi na wanasiasa wanaotumikisha vijana kwenye uchawa yafaa waache tabia hiyo mara moja.

Kiongozi anaweza asione uchungu kumtumikisha mtoto wa mwenzake kwenye uchawa lakini atambue kuwa uchawa ni kansa ambayo ikisambaa kwenye jamii haiwezi kuwaacha salama watoto wake pia. Ubaya wa uchawa ni kutoridhika. Anaweza akadhani watoto wake wanaridhika na mali anazomiliki na kuwa hawawezi kuwa chawa. Anajidanganya sana. Ipo siku atawakuta watoto wake nao wakitumikishwa kwenye uchawa.

Haya mambo tumekuwa tukiyashuhudia hapa nchini kwa muda mrefu. Lazima tukubaliane kuwa uchawa una madaraja mengi. Ikiwa mwanao hatatumikishwa kwenye uchawa wa daraja la kwanza, lazima tu atakuja kutumikishwa kwenye uchawa wa daraja la pili au la tau. Tunashuhudia watoto wa vigogo nao wameanza kuingia kwenye uchawa wa daraja la juu.


View attachment 2864555
Madaraja ya chawa

Hivyo basi, natoa rai kwa serikali kupiga marufuku vitendo vya uchawa na utumikishwaji kwani madhara yake yanaenea kwa haraka sana. Tusikubali kujenga ukuta wakati uwezo wa kuziba ufa tunao.

In short, chawaism has got detrimental and far-reaching consequences in the community. That is the reason I stress this habit to be banned forthwith before it destroys our society to an irreparable existent.

Nawasilisha.
Survival for the fittest, kasome tena msomi wetu wa Uma, kila kiumbe kina rizki yake, hujawaona traffic police wao husubiri mavuno ya mlalahoi barabarani, CCM wao huwahonga khanga bibi zetu vijijini na unga wa sembe' mifano ni mingi aisee, kuna walioingia kwenye ulaji kwa mlango wa unabii wakavune sadaka vijana wetu wavyuoni wanawaona, kuna kinakibajaji bungeni wao mali za chama na Chama dola ukiwasema utajichosha, otherwise ishi kama wao muhimu uinoe Bongo yako tu ##struggle for existance## kama mbweha na minofu ya wanyama wenzie no mercy ###
 
Survival for the fittest, kasome tena msomi wetu wa Uma, kila kiumbe kina rizki yake, hujawaona traffic police wao husubiri mavuno ya mlalahoi barabarani, CCM wao huwahonga khanga bibi zetu vijijini na unga wa sembe' mifano ni mingi aisee, kuna walioingia kwenye ulaji kwa mlango wa unabii wakavune sadaka vijana wetu wavyuoni wanawaona, kuna kinakibajaji bungeni wao mali za chama na Chama dola ukiwasema utajichosha, otherwise ishi kama wao muhimu uinoe Bongo yako tu ##struggle for existance## kama mbweha na minofu ya wanyama wenzie no mercy ###
Mkuu binadmu ni kiumbe kilichoumbwa na haya. Huwezi kushabikia vitendo vya vijana kugeuzwa mashoga na punda kwa kisingizio cha survival of the fittest. Mfano wako hausadifu mada iliyopo hewani.

The fittest cannot survive without struggling for existence. Machawa don't struggle for existence. They only open their mouths wide and fetch whatever they are offered by their masters. So, your example in this case is void.
 
Mwijaku amejenga jumba la analodai Ni bilioni 1.3 huko kigamboni kisa uchawa Kwa Diamond,sasa kama uchawa usiokudhalilisha kama kutokuwa shoga Kwa mwanaume au msagaji au msagwaji au punda,una washauri vijana wasitembelee Neutral gear kwenye Mlima?
 
Mkuu hata hapa JF kumbe wamo? Tusubiri wenyewe waje.
CC MamaSamia2025
Mkuu mimi sio chawa na wala sifikirii kabisa. Ningetaka hayo mambo ya siasa ningeshapata nafasi kwasababu ya connection niliyo nayo. Nimeridhika na shughuli zangu binafsi zinazoniingizia kipato cha kutosha kabisa. CHA MUHIMU JUA KWAMBA NINARIDHISHWA NA SERA ZA CCM HASA KWENYE HUU UONGOZI WA DR SAMIA. NITAENDELEA KUMSAPOTI MAMA SAMIA HAPA JF.
 
Mkuu tatizo uchawa haukosi gharama. Ni kwa sababu tu huwa madhara hayatangazwi hadhatani ndio maana watu wengine wanafikiri uchawa ni deal.
Kaka katika utafutaji unatakiwa uwe flexible ila kwa mipaka ....usiwe shoga

Wenzetu wanasema "when in Rome behave like Rome" usiwe kinyume ....Africa ukiwa straight you will be down always

sabab only straight trees are cut first kutokana na kuwa na matumizi mengi ....

kama unaona bora kupambana miaka mingi ndio ufanikiwe utachelewa sana .... Soma tabia za alie juu yako Kisha fanya manipulation (kusifia/kujishusha...) ufanikishe mambo yako
 
Mwijaku amejenga jumba la analodai Ni bilioni 1.3 huko kigamboni kisa uchawa Kwa Diamond,sasa kama uchawa usiokudhalilisha kama kutokuwa shoga Kwa mwanaume au msagaji au msagwaji au punda,una washauri vijana wasitembelee Neutral gear kwenye Mlima?
Mkuu kwa hiyo wewe unatamani kuwa chawa, huna haya? Uchawa ni utumwa, usithubutu kuingia kwenye kundi la uchawa hata kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom