Swali Fyatu: Tunaridhishwa Kirahisirahisi au na Mambo Madogomadogo? Au Yote 2

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,478
40,000
Na. M. M. Mwanakijiji

Unajua watoto unaweza kuwaridhisha na vitu vidogovidogo. Yaani wanaweza kulia hadi wanabadilisha Gia kama kupanda Kitonga. Hata hivyo unaweza usihitaji vingi, wakati mwingine maneno tu yanatosha.

Au unaweza kumpa peremende atanyamaza na kulia kwa kujibembeleza hadi usingiza case closed.

Au toa ahadi tu..kama utaitekeleza ni jambo jingine la maana ni iwe ahadi ya kuaminika. Utampeleka fulani au ukienda Dukakis utamletea nini au kitu fulani anachotamani.

Au mpige mkwara kuwa akiendelea kulialia basi HATOPATA kitu fulani. Mtoto mwenye kujielewa anaweza hata kuanza kujichekelesha utadhani alikuwa halii.

Au unaweza kumpa kile anachotaka wakati huo ili anyamaze lakini kwa masharti kuwa asilie tena na akilia hicho ulichompa utamnyang'anya umpe mtoto mwingine!!

Ukiangalia wakati mwingine kama siyo mwingi Watanzania tunakuwa hivi...
  • Angalia mafuriko
  • Angalia barabara
  • Angalia umeme
  • Angalia Bunge
  • Angalia CCM na Upinzani kama movie ya IP Man!
-Angalia timu ya Taifa

Ukitaka tunyamaze tusipige kelele sana au tusilie..basi...njoo na majibu rahisirahisi au tufanyie mambo madogomadogo...
 
Je, Swali hili laweza kujibiwa kifyatu fyatu?


Angalia Bandari.

Hili toto kwa ujeuri wake alinuna pale alipoona watoto wenzie nao wanalilia yale yale.

Bora wale watoto walio lia lia kwa Sauti ya Kitanganyika ndio wangepewa hiyo peremende.

Umoja ulitokomea wapi?
 
Je, Swali hili laweza kujibiwa kifyatu fyatu?


Angalia Bandari.

Hili toto kwa ujeuri wake alinuna pale alipoona watoto wenzie nao wanalilia yale yale.

Bora wale watoto walio lia lia kwa Sauti ya Kitanganyika ndio wangepewa hiyo peremende.

Umoja ulitokomea wapi?
Mabadiliko huletwa na kutokuridhika...
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Unajua watoto unaweza kuwaridhisha na vitu vidogovidogo. Yaani wanaweza kulia hadi wanabadilisha Gia kama kupanda Kitonga. Hata hivyo unaweza usihitaji vingi, wakati mwingine maneno tu yanatosha.

Au unaweza kumpa peremende atanyamaza na kulia kwa kujibembeleza hadi usingiza case closed.

Au toa ahadi tu..kama utaitekeleza ni jambo jingine la maana ni iwe ahadi ya kuaminika. Utampeleka fulani au ukienda Dukakis utamletea nini au kitu fulani anachotamani.

Au mpige mkwara kuwa akiendelea kulialia basi HATOPATA kitu fulani. Mtoto mwenye kujielewa anaweza hata kuanza kujichekelesha utadhani alikuwa halii.

Au unaweza kumpa kile anachotaka wakati huo ili anyamaze lakini kwa masharti kuwa asilie tena na akilia hicho ulichompa utamnyang'anya umpe mtoto mwingine!!

Ukiangalia wakati mwingine kama siyo mwingi Watanzania tunakuwa hivi...
  • Angalia mafuriko
  • Angalia barabara
  • Angalia umeme
  • Angalia Bunge
  • Angalia CCM na Upinzani kama movie ya IP Man!
-Angalia timu ya Taifa

Ukitaka tunyamaze tusipige kelele sana au tusilie..basi...njoo na majibu rahisirahisi au tufanyie mambo madogomadogo...
Nice to hear from legendary huyu, thanks!. Hivi ndivyo Watanzania tulivyo!, ndio tuko hivi!. Tena utasikia watu wanapiga kelele sana kujifanya wamekasirika sana!, lakini ule muda ukifika, ni wanachukua, wanaweka, waa!, mitano tena!.
P
 
Kwa ufupi Ni watu tunaoongozwa Na matukio Na kudandia dandia vijimambo mambo Kama ngedere wanao lukaluka msituni au digidigi ( warthog) anavyokurupuka akimuona simba...siku tukijitambua Na kusimamia vema tunachokitaka Kama nchi, siku hiyo ndio tutachukuliwa serious Na watawala...
Kwa sasa kila kitu ni Mwendo wa kusifia...hadi kufagia barabara, sijui siku nyingine ni Kwa nini huwa hazisafishwi... wanaziacha zinakaa wee, zinachafuka Halafu Askari jeshi wanaitwa kwenda kufanya usafi...ipo siku watasafisha kila kitu hadi huko Kwa anayewapa mchongo wa kufanya usafi...
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Unajua watoto unaweza kuwaridhisha na vitu vidogovidogo. Yaani wanaweza kulia hadi wanabadilisha Gia kama kupanda Kitonga. Hata hivyo unaweza usihitaji vingi, wakati mwingine maneno tu yanatosha.

Au unaweza kumpa peremende atanyamaza na kulia kwa kujibembeleza hadi usingiza case closed.

Au toa ahadi tu..kama utaitekeleza ni jambo jingine la maana ni iwe ahadi ya kuaminika. Utampeleka fulani au ukienda Dukakis utamletea nini au kitu fulani anachotamani.

Au mpige mkwara kuwa akiendelea kulialia basi HATOPATA kitu fulani. Mtoto mwenye kujielewa anaweza hata kuanza kujichekelesha utadhani alikuwa halii.

Au unaweza kumpa kile anachotaka wakati huo ili anyamaze lakini kwa masharti kuwa asilie tena na akilia hicho ulichompa utamnyang'anya umpe mtoto mwingine!!

Ukiangalia wakati mwingine kama siyo mwingi Watanzania tunakuwa hivi...
  • Angalia mafuriko
  • Angalia barabara
  • Angalia umeme
  • Angalia Bunge
  • Angalia CCM na Upinzani kama movie ya IP Man!
-Angalia timu ya Taifa

Ukitaka tunyamaze tusipige kelele sana au tusilie..basi...njoo na majibu rahisirahisi au tufanyie mambo madogomadogo...
Hizi Peremende ni pamoja na zile Peremende ulizopewa wewe na Dokta Slaa na JPM? Au hizi zingine?...umeamka Peremende zimeisha?unalia tena?
 
Kweli M. M Mwanakijiji umepotea ! Yaani nilikuwa najiandaa kuanzisha Uzi niulize upo wapi?! Nikaona nijiridhishe kwanza huenda unapita majukwaa ya Jokes,MMU, Mapishi au Yale ya Kimombo! Mara paap!Naukutana na Uzi wako humu kwenye Jukwaa ulilokuwa unatamba nalo enzi Zile !

Ila hakika Lowasa alibadilisha Uwanja wa. Siasa wa Nchi hii! Yaani tangu umuunge mkono Jpm dhidi ya Lowasa mwaka 2015!, heshima yako hapa jukwaani imeporomoka , na ilipotea Kabisa baada ya JPM kukengeuka na kuañza kusigina Demokrasia na wewe ukajitutumua kutetea!
Haiwezekani M. M. Mwanakijiji aandike Mada fikirishi kama hii ichangiwe na watu 16 Kwa Wiki takribni 2!?
Pengine ni yaleyale uliuoandika kuwa Watanzania tu.. pro petty issues! Come back Mzee Mwanakijiji ... Kuteleza sio kuanguka!
 
Kwa ufupi Ni watu tunaoongozwa Na matukio Na kudandia dandia vijimambo mambo Kama ngedere wanao lukaluka msituni au digidigi ( warthog) anavyokurupuka akimuona simba...siku tukijitambua Na kusimamia vema tunachokitaka Kama nchi, siku hiyo ndio tutachukuliwa serious Na watawala...
Kwa sasa kila kitu ni Mwendo wa kusifia...hadi kufagia barabara, sijui siku nyingine ni Kwa nini huwa hazisafishwi... wanaziacha zinakaa wee, zinachafuka Halafu Askari jeshi wanaitwa kwenda kufanya usafi...ipo siku watasafisha kila kitu hadi huko Kwa anayewapa mchongo wa kufanya usafi...
Siasa taka hizi zilianzishw nanduguye mleta màda !
 
Nice to hear from legendary huyu, thanks!. Hivi ndivyo Watanzania tulivyo!, ndio tuko hivi!. Tena utasikia watu wanapiga kelele sana kujifanya wamekasirika sana!, lakini ule muda ukifika, ni wanachukua, wanaweka, waa!, mitano tena!.
P
Kuna muda na nyakati lazima watu tuwe wakweli,tena tuzingatie ukweli kama ulivyo (objective truth). Tanzania hakuna uchaguzi bali ujinga wa mtu mweusi kwenye sanduku la Kura tukubali tukatae lakini huu ndo ukweli.

Kuna Uzi wako humu mzee Wangu,wenye maudhui ya kile tusicho weza tusaidiwe,nami naunga mkono wazo lako,lakini sio katika idara, taasisi au sekta fulani bali nchi nzima wapewa wageni kutoa Magharibi au Asia watutawale,sisi tumeshindwa kujitawala.
 
Kuna muda na nyakati lazima watu tuwe wakweli,tena tuzingatie ukweli kama ulivyo (objective truth). Tanzania hakuna uchaguzi bali ujinga wa mtu mweusi kwenye sanduku la Kura tukubali tukatae lakini huu ndo ukweli.

Kuna Uzi wako humu mzee Wangu,wenye maudhui ya kile tusicho weza tusaidiwe,nami naunga mkono wazo lako,lakini sio katika idara, taasisi au sekta fulani bali nchi nzima wapewa wageni kutoa Magharibi au Asia watutawale,sisi tumeshindwa kujitawala.
 
Back
Top Bottom