Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,755
Preamble ipo kwenye heading.
Kupitia mikutano ya chamchela ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM bw. Makonda, tumeshuhudia kero mbalimbali zikiibuliwa na wananchi wanaofika mikutano hiyo.
Awali yule dikteta alikuwa anazifanyia maamuzi palepale. Lakini Hangaya alishasema kuwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Kuna syndicate ya uhuni kwenye watumishi wa umma hususani wateule na wakuu wa idara mbalimbali. Mengi ya malalamiko ya wananchi yanatokana na maamuzi mabovu ya wateule, au ubabe au dhuluma au ubadhirifu unaopelekea watu kupokwa haki zao.
Lakini kwa sisi raia pacha wa Cuba na Tz tumeona mbali zaidi na kujiuliza maswali kadhaa ikiwemo haya
Pascal Mayalla Retired Ritz Demi Mamndenyi ChoiceVariable Lucas mwashambwa NAMBA MOJA AJAYE NCHINI TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Myebusi Mweusi Erythrocyte Earthmover figganigga Samiaagain2025 CM 1774858 NANGA WA DEPO johnthebaptist FaizaFoxy Tatabhyala Mzee Mwanakijiji Kijana LOGICS KUKU PORI raraa reree Extrovert min -me
Kupitia mikutano ya chamchela ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM bw. Makonda, tumeshuhudia kero mbalimbali zikiibuliwa na wananchi wanaofika mikutano hiyo.
Awali yule dikteta alikuwa anazifanyia maamuzi palepale. Lakini Hangaya alishasema kuwa kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Kuna syndicate ya uhuni kwenye watumishi wa umma hususani wateule na wakuu wa idara mbalimbali. Mengi ya malalamiko ya wananchi yanatokana na maamuzi mabovu ya wateule, au ubabe au dhuluma au ubadhirifu unaopelekea watu kupokwa haki zao.
Lakini kwa sisi raia pacha wa Cuba na Tz tumeona mbali zaidi na kujiuliza maswali kadhaa ikiwemo haya
- Idara ambayo imejaza maofisa lukuki ngazi ya wikaya na mikoa, ina maana hawakusanyi taarifa za utendaji mbovu unaodhalilisha mamlaka ya uteuzi?
- Kamati za ulinzi na usalama za wilaya na mkoa ina maana hawayaoni haya matatizo na kuyapatia ufumbuzi kwa wakati?
- Tuseme labda IDARA wanakusanya taarifa na kuzifikisha kwenye meza ya mamlaka ya uteuzi. Je zinapuuzwa au zinawekwa akiba kwa minajili ya mtaji wa kisiasa?
- Sote tunajua Katiba na Sheria za nchi zimepelekwa likizo ya lazima na watawala wetu. Je wanajisikiaje kuona asilimia kubwa ya kero za wananchi zinasababishwa na wateule wa Rais?
Pascal Mayalla Retired Ritz Demi Mamndenyi ChoiceVariable Lucas mwashambwa NAMBA MOJA AJAYE NCHINI TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Myebusi Mweusi Erythrocyte Earthmover figganigga Samiaagain2025 CM 1774858 NANGA WA DEPO johnthebaptist FaizaFoxy Tatabhyala Mzee Mwanakijiji Kijana LOGICS KUKU PORI raraa reree Extrovert min -me