Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Wakuu JF,
Greetings and I hope you are doing well.
Niende kwenye Mada, Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi, CCM, Imemteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi akichukua Nafasi ya Sophia Mjema.
Pia soma >>>Uteuzi wa Makonda na mustakabali wa wahanga wake
Kama ni Mchezo wa Soccer, haya unaweza kuyaita ni Mabadiliko ya Kiufundi, na CCM kama chama, wamekuwa na sababu zao za kufanya mabadiliko hayo kuendana na hali halisi ya ki Siasa kwa wakati huu, Details za sababu hizo sio maudhui ya uzi huu. Kumekuwa na maoni tofauti kuhusu mabadiliko haya, mimi naomba nijikite kwenye subject ya uzi huu.
CHADEMA kama chaka Kikuu cha upinzani, ni kama kimepewa Nafasi ya wazi kabisa ku shine na kufikisha sera zao kwa urahisi kabisa, ni kama wamepewa ajenda zaidi ya 10,000
Paul Makonda ni Mwepesi sana kwenye Siasa za ushindani wa wazi na hana ushawishi wa hoja, ni Mweupe sana, kipindi cha Raisi Magufuli alitokea kuwa Mtu mwenye Nguvu sababu ya Nguvu ya Dola aliyokuwa nayo, kama Mkuu wa Mkoa na Kama Right hand ya Rais John Magufuli dhidi ya wapinzani wake.
Kwa hulka ya Rais Samia, bado sishawishiki kuona Paul Makonda akipewa Mamlaka ya kutumia Vyombo vya dola, Mpaka kutumia Unit Maalum ya ulinzi wa Raisi (President Secuiryt Unit) kuvamia kituo cha Redio na Luninga na kutetewa na Rais.
Kuna Mambo mengi ya hovyo yalizungumzwa kumhusu Paul Makonda na uhusika wake wa kudhulumu haki za kuishi za watu, 3 1 Januari 2020, akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam.
Pia soma>>> Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ilimpiga Marufuku Ndugu Makonda Kuingia Marekani, marufuku hiyo pia inamhusisha mke wa Makonda Bi Mary Felix Massenge.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Makonda anashutumiwa kwa kushiriki katika ukandamizaji wa haki za binaadamu.
Kwa Mambo mengi ya hovyo aliyoyafanya Makonda, uteuzi wake bado unabaki kuwa ni kosa la Kiufundi kwa CCM, CHADEMA wana Nafasi kubwa ya kulitumia kosa hili kurahishisha ajenda zao za Ki Siasa
Greetings and I hope you are doing well.
Niende kwenye Mada, Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi, CCM, Imemteua Ndugu Paul Makonda kuwa Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi akichukua Nafasi ya Sophia Mjema.
Pia soma >>>Uteuzi wa Makonda na mustakabali wa wahanga wake
Kama ni Mchezo wa Soccer, haya unaweza kuyaita ni Mabadiliko ya Kiufundi, na CCM kama chama, wamekuwa na sababu zao za kufanya mabadiliko hayo kuendana na hali halisi ya ki Siasa kwa wakati huu, Details za sababu hizo sio maudhui ya uzi huu. Kumekuwa na maoni tofauti kuhusu mabadiliko haya, mimi naomba nijikite kwenye subject ya uzi huu.
CHADEMA kama chaka Kikuu cha upinzani, ni kama kimepewa Nafasi ya wazi kabisa ku shine na kufikisha sera zao kwa urahisi kabisa, ni kama wamepewa ajenda zaidi ya 10,000
Paul Makonda ni Mwepesi sana kwenye Siasa za ushindani wa wazi na hana ushawishi wa hoja, ni Mweupe sana, kipindi cha Raisi Magufuli alitokea kuwa Mtu mwenye Nguvu sababu ya Nguvu ya Dola aliyokuwa nayo, kama Mkuu wa Mkoa na Kama Right hand ya Rais John Magufuli dhidi ya wapinzani wake.
Kwa hulka ya Rais Samia, bado sishawishiki kuona Paul Makonda akipewa Mamlaka ya kutumia Vyombo vya dola, Mpaka kutumia Unit Maalum ya ulinzi wa Raisi (President Secuiryt Unit) kuvamia kituo cha Redio na Luninga na kutetewa na Rais.
Kuna Mambo mengi ya hovyo yalizungumzwa kumhusu Paul Makonda na uhusika wake wa kudhulumu haki za kuishi za watu, 3 1 Januari 2020, akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam.
Pia soma>>> Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ilimpiga Marufuku Ndugu Makonda Kuingia Marekani, marufuku hiyo pia inamhusisha mke wa Makonda Bi Mary Felix Massenge.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Makonda anashutumiwa kwa kushiriki katika ukandamizaji wa haki za binaadamu.
Kwa Mambo mengi ya hovyo aliyoyafanya Makonda, uteuzi wake bado unabaki kuwa ni kosa la Kiufundi kwa CCM, CHADEMA wana Nafasi kubwa ya kulitumia kosa hili kurahishisha ajenda zao za Ki Siasa