Swahiba wa Putin, Rais wa Belarus, Alexander Lukashenko alazwa baada ya kuumwa ghafla

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,671
48,444
Nguvu nyingi ilikuwa inatumika kuficha hali ya afya ya huyu jamaa, wakawa wanakana na kusema yupo mzima anachapa kazi, maradhi yamemuumbua.

Hivi Putin yuko wapi maana naye anaishi kama nguchiro tangu ile siku alikoswa koswa pale Klemrin ambapo drones zilimfikishia salamu.

====

Belarus dictator Alexander Lukashenko has been taken seriously ill for the second time this month in Moscow, reports say.

The 68-year-old was said to have been hospitalized in a 'critical' condition after collapsing during a trip to meet close ally, Vladimir Putin.

He was seen struggling to speak and with a bandaged arm last week after disappearing from the public eye on May 9, sparking rumors about his health.

Despite efforts by local authorities to end speculation with photographs and video of the leader performing duties on May 15, doctors are again raising health concerns.

His office previously refused to comment.
 
Nguvu nyingi ilikuwa inatumika kuficha hali ya afya ya huyu jamaa, wakawa wanakana na kusema yupo mzima anachapa kazi, maradhi yamemuumbua.

Hivi Putin yuko wapi maana naye anaishi kama nguchiro tangu ile siku alikoswa koswa pale Klemrin ambapo drones zilimfikishia salamu..............

====

Belarus dictator Alexander Lukashenko has been taken seriously ill for the second time this month in Moscow, reports say.

The 68-year-old was said to have been hospitalized in a 'critical' condition after collapsing during a trip to meet close ally, Vladimir Putin.

He was seen struggling to speak and with a bandaged arm last week after disappearing from the public eye on May 9, sparking rumors about his health.

Despite efforts by local authorities to end speculation with photographs and video of the leader performing duties on May 15, doctors are again raising health concerns.

His office previously refused to comment.
Kwamba huyo rais hawezi kuumwa au?vitu vidogo mnakuza
 
Belarus dictator Alexander Lukashenko has been taken seriously ill for the second time this month in Moscow, reports say.

The 68-year-old was said to have been hospitalised in a 'critical' condition after collapsing during a trip to meet close ally Vladimir Putin.

My take:

Putin hamuanini Raisi wa Belarus Ruksshenko taarifa zinasema walinzi wa Putin walimuwekea Sumu Rukashenko baada ya Putin kuambiwa Rukashenko ana mawasiliano ya siri na mahasimu wa Putin ndani ya Russia wakiongozwa na mkuu wa Jeshi wa sasa anayetaka kumpindua Putin sababu kachoka vita na alishawahi mwambia Putin kuwa na yeye ni mzazi kama wazazi wa watoto kibao wanaoendelea kufa Ukraine kwa vita ambayo ngumu kuiielezea kwa wazazi wao kuwa wamefia jeshini kwa vita ya kitu gani hasa Ukraine? Wazazi wanejuwq wagumu kuekewa.

Putin na mkuu wake wa majeshi hawaivi na akipojua kuwa Rukashenko naye yyuko.karibu na mkuu wa majeshi akamwambia wampe sumu.

Siku yeyote na Saa yeyote bendera ya Belarus mtu ukisikia inapepea nusu mlingoti na wimbo wa Taifa la Belarus ukiimbwa mfulululizo Tv na Redioni.mtu usishtuke.

Au muda wowote mtu ukisikia Belarus wimbo wa Kikiristo wa parapanda Italia parapanda au wa kiislamu wa
La ilaha illa Allah Muhammad Rasool Allah jua Rukashenko kesha kata moto umebaki mwili mortuary.
 
Propaganda...
Walisema propaganda hizi hizi mwaka jana - mwisho wa siku wakaja kuabika mcjana kweupe - mbona hawatwambii chochote kuhusu kuanguka anguka ovyo kwenye ngazi wakati Biden anapo panda au kushuka kwenye Presidential plane au Biden anapo salimiana na hewa akifikiri kuna watu - juzi hapa aligundulika ana cancer ya utumbo mwembamba mbona hayo amiyasemi.
 
Walisema propaganda hizi hizi mwaka jana - mwisho wa siku wakaja kuabika mcjana kweupe - mbona hawatwambii chochote kuhusu kuanguka anguka ovyo kwenye ngazi wakati Biden anapo panda au kushuka kwenye Presidential plane au Biden anapo salimiana na hewa akifikiri kuna watu - juzi hapa aligundulika ana cancer ya utumbo mwembamba mbona hayo amiyasemi.

Mjiandae kwa rambirambi, na hata huyo nguchiro tunamuwinda, huu mchezo hauhitaji hasira.
 
Nguvu nyingi ilikuwa inatumika kuficha hali ya afya ya huyu jamaa, wakawa wanakana na kusema yupo mzima anachapa kazi, maradhi yamemuumbua.

Hivi Putin yuko wapi maana naye anaishi kama nguchiro tangu ile siku alikoswa koswa pale Klemrin ambapo drones zilimfikishia salamu.

====

Belarus dictator Alexander Lukashenko has been taken seriously ill for the second time this month in Moscow, reports say.

The 68-year-old was said to have been hospitalized in a 'critical' condition after collapsing during a trip to meet close ally, Vladimir Putin.

He was seen struggling to speak and with a bandaged arm last week after disappearing from the public eye on May 9, sparking rumors about his health.

Despite efforts by local authorities to end speculation with photographs and video of the leader performing duties on May 15, doctors are again raising health concerns.

His office previously refused to comment.
🤣🤣🤣 Kweli pro NATO mmepigika sana. Yahani mtu kuumwa mmeshaona bonge la news na kukimbilia kifungua tread. Binadamu kuumwa ni jambo la kawaida sasa hapo ajabu ni nini??
 
Back
Top Bottom