NATO walalamika kuwa Prigozhin kuhamishiwa Belarus kunahatarisha zaidi usalama wa nchi za NATO za ukanda huo

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Dec 27, 2019
2,921
15,613
Baada ya Prigozhin kuwasili rasmi nchini Belarus jana jumanne, NATO wameanza kulialia na kulalamika kuwa kuhamishwa kwa kiongozi wa Wagner, Prigozhin, na askari wake nchini Belarus kunahatarisha zaidi usalama wa nchi za NATO zilizo karibu na Belarus.

Malalamiko hayo yamezungimzwa na marais wa Lithuania na wa Poland baada ya kikao cha NATO, the Hague. Wamemba vikao vya NATO viitishwe haraka mno kujadili janga hilo kubwa kwa nchi zao.

Source: aljazeera
========
SmartSelect_20230628-121504_Chrome.jpg

NATO will defend members from threat of Wagner forces in Belarus​

Published On 28 Jun 202328 Jun 2023

NATO Secretary-General Jens Stoltenberg has said the Western military alliance is ready to defend itself against any threat posed by the move of Russia’s Wagner mercenary force to Belarus amid fears the relocation of the private army could create instability for NATO’s Eastern European members.

Wagner boss Yevgeny Prigozhin was reported to have arrived in Belarus on Tuesday under a deal negotiated by Belarusian President Alexander Lukashenko, which narrowly prevented the mercenaries from marching on Moscow on Saturday after the private army mutinied against Russia’s military leaders.

“If Wagner deploys its serial killers in Belarus, all neighbouring countries face even bigger danger of instability,” Lithuanian President Gitanas Nauseda said after a meeting in The Hague with NATO’s Stoltenberg and government leaders from six other NATO allies.

Polish President Andrzej Duda said he hoped the threat posed by Wagner mercenaries to NATO would be on the agenda at a summit of all 31 members in Vilnius, Lithuania, on July 11-12.
“This is really serious and very concerning, and we have to make very strong decisions. It requires a very, very tough answer of NATO,” Duda said.
 
Kuna mdau alilitabiri hili kule kwenye uzi wa Russia na Ukraine. Alisema siku si nyingi utasikia nato wanalalamika kwa Prigozin kuwa Belarus na kweli leo imekuwa. Nato imejaa na kuendeshwa na walalamishi
Nilona kabisa hii ni planned game ,uhaini na prigo kwenda kishkaji kabisa pale Bela na Russia wamefutilia mbali uchunguzi wa kuwachunguza Wagner na wanaingizwa kwenye kikosi Cha Rusia Moja kwa Moja ...what a game Putin ni mtu mjanja na katili sana ila amecheza na akili zao na Lengo ni kuchkua kyiv ambapo ni karibia km 400 tuu Toka Belarus
 
Nilona kabisa hii ni planned game ,uhaini na prigo kwenda kishkaji kabisa pale Bela na Russia wamefutilia mbali uchunguzi wa kuwachunguza Wagner na wanaingizwa kwenye kikosi Cha Rusia Moja kwa Moja ...what a game Putin ni mtu mjanja na katili sana ila amecheza na akili zao na Lengo ni kuchkua kyiv ambapo ni karibia km 400 tuu Toka Belarus
Anacheza na akili zao,nao wanachezeka
 
Nilona kabisa hii ni planned game ,uhaini na prigo kwenda kishkaji kabisa pale Bela na Russia wamefutilia mbali uchunguzi wa kuwachunguza Wagner na wanaingizwa kwenye kikosi Cha Rusia Moja kwa Moja ...what a game Putin ni mtu mjanja na katili sana ila amecheza na akili zao na Lengo ni kuchkua kyiv ambapo ni karibia km 400 tuu Toka Belarus
Kama Putin alishindwa kuichukua Kyiv February Mwaka jana na jeshi rasmi akitokea Belarus kukiwa na msafara wa kilometa zaidi ya 60 wa vifaru huku Ukraine ikiwa haina silaha kama ilizo nazo leo basahu sahau kuichukua akiwa na jeshi la mamluki.
 
Nilona kabisa hii ni planned game ,uhaini na prigo kwenda kishkaji kabisa pale Bela na Russia wamefutilia mbali uchunguzi wa kuwachunguza Wagner na wanaingizwa kwenye kikosi Cha Rusia Moja kwa Moja ...what a game Putin ni mtu mjanja na katili sana ila amecheza na akili zao na Lengo ni kuchkua kyiv ambapo ni karibia km 400 tuu Toka Belarus
Watu wasiofikiri vizuri hawaelewi haya,uasi ahamishwe?Putin akili mingi sana.Sasa anawazunguka.
 
Kuna mdau alilitabiri hili kule kwenye uzi wa Russia na Ukraine. Alisema siku si nyingi utasikia nato wanalalamika kwa Prigozin kuwa Belarus na kweli leo imekuwa. Nato imejaa na kuendeshwa na walalamishi
Baada ya Prigozhin kuwasili rasmi nchini Belarus jana jumanne, NATO wameanza kulialia na kulalamika kuwa kuhamishwa kwa kiongozi wa Wagner, Prigozhin, na askari wake nchini Belarus kunahatarisha zaidi usalama wa nchi za NATO zilizo karibu na Belarus.

Malalamiko hayo yamezungimzwa na marais wa Lithuania na wa Poland baada ya kikao cha NATO, the Hague. Wamemba vikao vya NATO viitishwe haraka mno kujadili janga hilo kubwa kwa nchi zao.

Source: aljazeera
========
View attachment 2671526

NATO will defend members from threat of Wagner forces in Belarus​

Published On 28 Jun 202328 Jun 2023

NATO Secretary-General Jens Stoltenberg has said the Western military alliance is ready to defend itself against any threat posed by the move of Russia’s Wagner mercenary force to Belarus amid fears the relocation of the private army could create instability for NATO’s Eastern European members.

Wagner boss Yevgeny Prigozhin was reported to have arrived in Belarus on Tuesday under a deal negotiated by Belarusian President Alexander Lukashenko, which narrowly prevented the mercenaries from marching on Moscow on Saturday after the private army mutinied against Russia’s military leaders.

“If Wagner deploys its serial killers in Belarus, all neighbouring countries face even bigger danger of instability,” Lithuanian President Gitanas Nauseda said after a meeting in The Hague with NATO’s Stoltenberg and government leaders from six other NATO allies.

Polish President Andrzej Duda said he hoped the threat posed by Wagner mercenaries to NATO would be on the agenda at a summit of all 31 members in Vilnius, Lithuania, on July 11-12.
“This is really serious and very concerning, and we have to make very strong decisions. It requires a very, very tough answer of NATO,” Duda sa
Achana na NATO wewe., Kama Ukraine tu kaisambaratisha Wagner bakhmuti itakuwa mziki wa NATO, ivi NATO unaijua au unisikia tu zaidi ya nchi 32.,

Kuna mdau alilitabiri hili kule kwenye uzi wa Russia na Ukraine. Alisema siku si nyingi utasikia nato wanalalamika kwa Prigozin kuwa Belarus na kweli leo imekuwa. Nato imejaa na kuendeshwa na walalamishi
Achana na NATO wewe., Kama Ukraine tu kaisambaratisha Wagner bakhmuti itakuwa mziki wa NATO, ivi NATO unaijua au unisikia tu zaidi ya nchi 32.,
 
Kama Putin alishindwa kuichukua Kyiv February Mwaka jana na jeshi rasmi akitokea Belarus kukiwa na msafara wa kilometa zaidi ya 60 wa vifaru huku Ukraine ikiwa haina silaha kama ilizo nazo leo basahu sahau kuichukua akiwa na jeshi la mamluki.
Prigo in mission naamini maana February Putin hakuwa amezogeza silaha za nyuklia pale
 
Prigo in mission naamini maana February Putin hakuwa amezogeza silaha za nyuklia pale
Putin hatakaa atumie silaha za nuclear kama hajavamiwa na nchi mwanachama wa NATO.
Anajua vizuri Jaribio lolote la kutumia silaha za nuclear linaweza karibisha jaribio la kumpindua na kwa uhakika litaifanya Urusi total pariah state zaid ya Korea Kaskazini ya Kiduku.
 
Putin hatakaa atumie silaha za nuclear kama hajavamiwa na nchi mwanachama wa NATO.
Anajua vizuri Jaribio lolote la kutumia silaha za nuclear linaweza karibisha jaribio la kumpindua na kwa uhakika litaifanya Urusi total pariah state zaid ya Korea Kaskazini ya Kiduku.
na NATO haitothubutu kumpiga mrusi wanaogopa hicho hicho
 
Back
Top Bottom