Belarus, officially the Republic of Belarus, is a landlocked country in Eastern Europe. It is bordered by Russia to the east and northeast, Ukraine to the south, Poland to the west, and Lithuania and Latvia to the northwest. Covering an area of 207,600 square kilometres (80,200 sq mi) and with a population of 9.4 million, Belarus is the thirteenth-largest and the twentieth-most populous country in Europe. The country is administratively divided into seven regions. Minsk is the capital and largest city.
Until the 20th century, different states at various times controlled the lands of modern-day Belarus, including Kievan Rus', the Principality of Polotsk, the Grand Duchy of Lithuania, the Polish–Lithuanian Commonwealth, and the Russian Empire. In the aftermath of the Russian Revolution in 1917, different states arose competing for legitimacy amidst the Civil War, ultimately ending in the rise of the Byelorussian SSR, which became a founding constituent republic of the Soviet Union in 1922. After the Polish-Soviet War, Belarus lost almost half of its territory to Poland. Much of the borders of Belarus took their modern shape in 1939, when some lands of the Second Polish Republic were reintegrated into it after the Soviet invasion of Poland, and were finalized after World War II. During World War II, military operations devastated Belarus, which lost about a quarter of its population and half of its economic resources. The republic was redeveloped in the post-war years. In 1945, the Byelorussian SSR became a founding member of the United Nations, along with the Soviet Union.
The parliament of the republic proclaimed the sovereignty of Belarus on 27 July 1990, and during the dissolution of the Soviet Union, Belarus declared independence on 25 August 1991. Following the adoption of a new constitution in 1994, Alexander Lukashenko was elected Belarus's first president in the country's first and only free election post-independence, serving as president ever since. Lukashenko's government is widely considered to be authoritarian and human rights groups consider human rights in the country to be poor. Belarus is the only country in Europe officially using the death penalty. Lukashenko continued a number of Soviet-era policies, such as state ownership of large sections of the economy. In 2000, Belarus and Russia signed a treaty for greater cooperation, forming the Union State.
Belarus is a developing country ranking very high in the Human Development Index. It has been a member of the United Nations since its founding and a member of the CIS, the CSTO, the EAEU, and the Non-Aligned Movement. It has shown no aspirations for joining the European Union but nevertheless maintains a bilateral relationship with the Union, and likewise participates in two EU projects: the Eastern Partnership and the Baku Initiative.
Mamlaka za usalama nchini BELARUS zimekamata kijana alieshangilia vifo vya raia wa kiberalus na kirusi waliouwawa na kujeruhiwak ktk tukio la kigaidi jijini Moscow kwenye ukumbi wa crocus city hall.
Baada ya Prigozhin kuwasili rasmi nchini Belarus jana jumanne, NATO wameanza kulialia na kulalamika kuwa kuhamishwa kwa kiongozi wa Wagner, Prigozhin, na askari wake nchini Belarus kunahatarisha zaidi usalama wa nchi za NATO zilizo karibu na Belarus.
Malalamiko hayo yamezungimzwa na marais wa...
Kukiwa kumebaki kilomita 200 tu msafara wa vifaru vya uasi wa Wagner mara ulisitishwa na kutolewa tangazo kuwa kiongozi wa uasi huo, Prigozhin amesitisha uasi huo na kuwataka askari wake warudi makambini mwao.
Pamoja na hivyo ikatangazwa kuwa kaika makubaliono ya Urusi na kiongozi huyo...
Nguvu nyingi ilikuwa inatumika kuficha hali ya afya ya huyu jamaa, wakawa wanakana na kusema yupo mzima anachapa kazi, maradhi yamemuumbua.
Hivi Putin yuko wapi maana naye anaishi kama nguchiro tangu ile siku alikoswa koswa pale Klemrin ambapo drones zilimfikishia salamu.
====
Belarus...
Urusi imekua ikitumia ardhi yake, ameomba hakikisho kwa Urusi kwamba itamlinda dhidi ya kichapo, mambo yanavyokwenda ni dhahiri Urusi imeshindwa, usupapawa umewaisha, wamekwama kwenye kamji ka Bakhmut na juzi kuna mikakati ya Ukraine imevujishwa namna wanajiandaa kurejesha vilivyoporwa...
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema amekubaliana na Rais wa Belarus Alexander Lukashenko kupelekea silaha za nyuklia za kimkakati nchini Belarus.
Katika mahojiano na chombo cha habari cha Urusi yaliyotolewa jana Jumamosi, Putin alisema Lukashenko kwa muda mrefu aliibua suala la kuweka silaha za...
Kiongozi wa upinzani wa Belarus Sviatlana Tsikhanouskaya, aliyeko uhamishoni, Jumatatu amepewa kifungo cha miaka 15 jela, licha ya kutokuwepo nchini, baada ya kupatikana na hatia ya jaribio la mapinduzi.
Uamuzi huo yeye ameutaja kuwa adhabu ya kujaribu kukuza demokrasia ya Belarus...
Wafuatiliaji wa shughuli za kijeshi wamesema kwamba rais wa Belarus Alexander Lukashenko anatoa msaada wa kijeshi na silaha kwa Russia katika vita vinavyoendelea Ukraine.
Belarus imeruhusu karibu wanajeshi wa Russia waliosajiliwa hivi karibuni kupokea mafunzo nchini humo, huku ikitoa karibu...
Vladimir Makey mwenye umri wa miaka 64 alishikilia wadhifa huo tangu 2012
Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus Vladimir Makey, alifariki ghafla siku ya Jumamosi, shirika la habari la Belta limeripoti, likimnukuu msemaji wa wizara hiyo, Anatoly Glaz. Alikuwa ameshikilia nafasi yake kwa muongo...
Mzuka wanajamvi!
Mara ya kwanza kuona hii picha nilidhani Bahi, Kongwa huko kumbe ni Belarus Ulaya ya Lukashenko mshirka wa Putin. Yani hapana tofauti na Bukombe na Nyarugusu kwa kina mwamba. imhotep
Nahisi kuna ujumbe unatumwa kwa Putin kwamba popote kambi na kinaweza kikanuka hata sebuleni kwake kiaina bila kombora kutumwa kutoka Ukraina.....kwamba humo humo jeshini kwake wenyewe kwa wenyewe wanaweza kuliamsha....
Military bases in Russia and Belarus were rocked by an outbreak in fires...
Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameahidi kuisaidia Belarus kwa kuwapelekea mifumo ya Iskander-M inayoweza kufyatua makombora ya nyuklia
Putin ameweka msimamo huo baada ya kukutana na Rais wa Belarus ambaye amekuwepo madarakani kwa miaka 27, Alexander Lukashenko Jijini Saint Petersburg.
Aidha...
Hali imekua ngumu, Ukraine waligeuza kibao na kuanza kuwasukuma Warusi, hao Warusi walijaribu kubembeleza Belarus waingie kwenye vita ikashindikana, sasa wameanza janja za kupiga mabomu ndani ya Belarus ili ionekane kana kwamba Ukraine wameshambulia.
Ndege ya Urusi ilipaa kutokea Belarus kisha...
Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na...
North Korea imesema ilicheki ufanisi wa mifumo ya kamera na mifumo mingine ktk jaribio lake muhimu zaidi la kutengeneza setilaiti ya udukuzi wa kivita. Hayo yanajiri baada ya nchi hiyo kulaumiwa jana kwa kurusha kombora la balistiki.
Setiliti hizi hutumika ktk oparesheni za kijeshi na...
Nchi ya Belarus kupitia kura iliyopigwa Jumatatu, imeamua kuachana na sera yake ya kutokuwa na silaha za nyuklia na hivyo ipo tayari kurejesha silaha zake za nyuklia iliyozikabidha kwa Putin pasi na masharti yoyote.
Pia imeamua kuyaweka majeshi ya Russia kwa kudumu katika ardhi yake. Hatua...
Kyiv to send delegation of officials for talks with Russian counterparts on the Ukraine-Belarus border, Zelensky says
Aljazeera
Ni wazi Putini amesarenda, hali si ya kawaida sana Russia wamekumbana na joto kali sana miji ya Kiev., Russia ndio walitaka haya mazungumzo awali nadhan vikwazo...
Urusi na Belarus zinaanza siku 10 za mazoezi ya pamoja ya kijeshi huku kukiwa na hofu inayoendelea ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Belarus ni mshirika wa karibu wa Urusi na ina mpaka mrefu wa kusini na Ukraine.
Marekani imetaja mazoezi hayo - ambayo yanaaminika kuwa ndiyo makubwa zaidi ya...
Urusi na Belarus zinaanza siku 10 za mazoezi ya pamoja ya kijeshi huku kukiwa na hofu inayoendelea ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Belarus ni mshirika wa karibu wa Urusi na ina mpaka mrefu wa kusini na Ukraine.
Marekani imetaja mazoezi hayo - ambayo yanaaminika kuwa ndiyo makubwa zaidi ya...
Sergei Tikhanovsky ambaye aliongoza maandamano makubwa dhidi ya Rais Alexander Lukashenko amehukumiwa kifungo cha miaka 18 jela kwa hatia ya kuandaa machafuko na kuchochea chuki
Tikhanovsky alipanga kugombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 dhidi ya Rais Lukashenko lakini alikamatwa
Lukashenko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.