excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
We ni mkali unajua hadi kumsoma mtu kua ana kiburi au la kupitia Avata yake
hahahaaa!! nime-guess tu mkuu!
We ni mkali unajua hadi kumsoma mtu kua ana kiburi au la kupitia Avata yake
ingekuwa hivyo nadhani midume yote humu ingemfakamia my miss chagga..
huwa namchukulia kama the most cutiest girl in this forum.
mrefu,
anajua kuongea,
kaumbika,
ana rangi nzuri,
anafanya kazi kwa bidii,
ana care sana.
sitamani hiyo siku kabisaa ya avatar zetu kuwa exposed,
coz naamini wanawake wengine kama huyu wangu,
msururu wa wanaume ungefika donyo.
CC: Eli79 & Tyta.
Bora mie natumia picha yangu tu...........
Nataman iwe hivo MMU tubaki wachache tujinafasi
Mi ata sijui wanawekaje hizo avatar ila I wish
Wewe warumi wewe!!!Umekimbia kule kwa ma celebrity eeeh, weka Avatar bwana!!Hujui kua moja ya sifa ya Avatar ukiacha sifa ya kusitiri nyingine ni kufanya watu wazidi kutamani kukufahamu na kukuona live pindi wanaionapo.
Heaven on Earth Mtoto Black Beauty.
Dinazarde upoooo!!nakumbuka kama uliwahi kusema uyu si wewe
mi nakusalimia tu mama!!Hahahaa haaaa uwiii nimecheka
Bora mi huwa natumia pics zangu tu.
Ht siogopi
JF ni zaidi burudani aisee
Wewe warumi wewe!!!Umekimbia kule kwa ma celebrity eeeh, weka Avatar bwana!!Hujui kua moja ya sifa ya Avatar ukiacha sifa ya kusitiri nyingine ni kufanya watu wazidi kutamani kukufahamu na kukuona live pindi wanaionapo.