Support itolewayo na Avatar

Support itolewayo na Avatar

yaani inakuwa hivi MKUU una log in unakutana na picha yako live?
unazima faster kama ni sim au computer unakaaa unawaza ni nani kaisave faster unarudi tena analog in inatokea tena picha yako

Umewahi ku imagine iko kitu???Hatareeeee
 
Ukweli kabisaaaaa na siku za mbeleni huko, nitaweka yangu halisi. Kama sehemu zingine naweka hapa niogope nini?
Hahaaaa mwenyewe nini tena?

Sure naamini 100% Ukiwa si mtu wa tambo na majigambo, utaweka tu kama hutojali privacy, ila kama wewe ndio wale "am Cute" ama "am looking like an angel" alafu kumbe wala sio, utaweza thubutu. Ila Avatar zipo kusitiri, maana waweza stuka kumbe Eeeeh upo huku MMU mnachangia thread moja na Mdingi, wakati we bado mtoto wa nyumbani
 
Watu kama sisi tumeweka picha zetu halisi tena zilizopigwa recently na vinokia vya tochi...Unaogopa nini.?
 
Mimi hat siogopi cos whats matter ni comment zetu kama za kiudunya ndo utaona aibu
 
Sasa c bora avatar mi niliwaza pm 2one mitongozo ya watu! Ha ha ha! Ntamuona Excel anavyompa maneno ya mahaba beby ake miss neddy !!
 
Last edited by a moderator:
Sasa c bora avatar mi niliwaza pm 2one mitongozo ya watu! Ha ha ha! Ntamuona Excel anavyompa maneno ya mahaba beby ake miss neddy !!

hahahahaha Munkari weye mbona sikuoni siku hizi
king wangu huwa hasubiri pm ananipa maneno ya kimahaba live
si umeona kakupa mfano hapo juu jinsi anavyochombeza
 
Last edited by a moderator:
Bora mie natumia picha yangu tu...........

kweli..! lol!

nakuona na aibu yako!!

nose1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom