Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,201
- 3,008
Nilikuwa siamini Kama Sumbawanga Kuna uchawi wa kweli, lakini kilichomkuta workmate wa ndugu yangu nimeshangaa.
Ndugu yangu ni Mwalimu uko sumbawanga vijijini, Basi anaishi nyumba moja na Mwalimu mwenzake, One week ago huyo Mwalimu alitoa adhabu kwa wanafunzi wa kidato Cha pili kwa makosa ya utovu wa nidhamu.
Wakati uyo Mwalimu anawaadhibu wanafunzi, mwanafunzi moja aligoma kuchapwa, aligoma kata kata, Sasa ili Mwalimu asidhalilike kwa mwanafunzi kumgomea akaamua kumuadhibu kwa nguvu, yule mwanafunzi alilia Sana akaapa kuwa ata mkomesha Mwalimu.
After three days, yule Mwalimu aliamka hasubui akajikuta amelala nje ya uwanja uku akiwa na boxer tu. Mwalimu huyu amepanic Sana anataka kuhama.
Nyie wakazi wa sumbawanga acheni uchawi, watumishi watawakimbia.
Ndugu yangu ni Mwalimu uko sumbawanga vijijini, Basi anaishi nyumba moja na Mwalimu mwenzake, One week ago huyo Mwalimu alitoa adhabu kwa wanafunzi wa kidato Cha pili kwa makosa ya utovu wa nidhamu.
Wakati uyo Mwalimu anawaadhibu wanafunzi, mwanafunzi moja aligoma kuchapwa, aligoma kata kata, Sasa ili Mwalimu asidhalilike kwa mwanafunzi kumgomea akaamua kumuadhibu kwa nguvu, yule mwanafunzi alilia Sana akaapa kuwa ata mkomesha Mwalimu.
After three days, yule Mwalimu aliamka hasubui akajikuta amelala nje ya uwanja uku akiwa na boxer tu. Mwalimu huyu amepanic Sana anataka kuhama.
Nyie wakazi wa sumbawanga acheni uchawi, watumishi watawakimbia.