Sumaye: Wema Ashindwa Kutoa Ya Moyoni

Sumaye: Wema Ashindwa Kutoa Ya Moyoni

Huyu huyu Sumaye, leo anamsubiri Wema? Kweli zeros sio za kemia na fizikia tu.
 
Mimi ni zaidi ya bwana wako wa zamani. Naweza kukupatia mimba saba mfululizo hadi kule Songwe nikipita wananiamkia tu. Pussy we!
Sasa binti kwani siku hizi mwanamke anaweza kuowa mwanaume? kweli binti yangu unamtishia mwanaume utamuoa? umenikumbusha jinsi Halima Mdee aliwahi kumtishia Mbatia kuwa atamuoa mwaka 2010 kwenye kampeni za ubunge kawe. Au wewe ni Halima?
 
Stupid old woman! Kumbe unaandika kitu cha kutunga tu? Umeanza kuzeeka vibaya. Hata ugoro wazee wenzio sidhani kama watakugawia! Hopeless!
Aisee bora ungenyamaza!! Usiwekee dhamana heshima yako kwa mambo ya kisiasa utaipoteza bila kutarajia siku moja. Ona sasa jamaa kaweka ushahidi video clip.
 
Sasa binti kwani siku hizi mwanamke anaweza kuowa mwanaume? kweli binti yangu unamtishia mwanaume utamuoa? umenikumbusha jinsi Halima Mdee aliwahi kumtishia Mbatia kuwa atamuoa mwaka 2010 kwenye kampeni za ubunge kawe. Au wewe ni Halima?
Weye jichetue tu. Ila mikwega yako yenye "mp" tunazo. Unawadanganya wana JF weye ni mwanaume? Nywele za kwapani weye!
 
Huyu huyu Sumaye, leo anamsubiri Wema? Kweli zeros sio za kemia na fizikia tu.
Kwamba umeamini na kukubaliana na mtoa post alafu uka jump kwenye conclusion?

She is not a reliable source of information huyu ni mropokaji wa propaganda za CCM.

Hivi humu kila kinachoandikwa kinaaminiwa?
 
Aisee bora ungenyamaza!! Usiwekee dhamana heshima yako kwa mambo ya kisiasa utaipoteza bila kutarajia siku moja. Ona sasa jamaa kaweka ushahidi video clip.
Weye Matiti, hebu tulia. Utamwagikiwa mkojo wa shetani bure. Tulia!
 
Kwamba umeamini na kukubaliana na mtoa post alafu uka jump kwenye conclusion?

She is not a reliable source of information huyu ni mropokaji wa propaganda za CCM.

Hivi humu kila kinachoandikwa kinaaminiwa?
Ha ha ha dah unapiga ramli kweupe dogo. Rudia ulichoandika kisha muangalie Sumaye anavyojing'atang'ata kwenye video hapo juu.
 
Kwamba umeamini na kukubaliana na mtoa post alafu uka jump kwenye conclusion?

She is not a reliable source of information huyu ni mropokaji wa propaganda za CCM.

Hivi humu kila kinachoandikwa kinaaminiwa?
Hujaona swali?
 
Hivi kweli CHADEMA mmefikia stage ya kuanza kuangaika na WEMA kweli??????.....jamani jamani
Mnakijengea picha gani hiki CHAMA?????.......Wema is no more asset tena na si mtu wa kuwafikisha mnapotaka nyie....
EBU kirudisheni chama chenu kwenye misingi yake jamani.....
Dr Slaa MZEE WANGU kokote ulipo kule ebu rudi NCHINI uanzishe CHAMA KIPYA CHA SIASA.........
Soon watampa ubunge wa viti maalum.
Ni aibu, yaani from Prime Minister to Mwenzetu na Wema!! Kale kawimbo ka "Ikulu hii .... " hawakukosea.
 
Back
Top Bottom