Sumaye: Wema Ashindwa Kutoa Ya Moyoni

Sumaye: Wema Ashindwa Kutoa Ya Moyoni

Mmesahau dodoma mlitenga muda kwenye mkutano mkuu wa chama chenu kwa ajili ya wolper!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
bahati mbaya mkuu mimi sio mshabiki wa siasa/chama chochote ndo maana nashangaa kutenga mda wa kumkaribisha muigizaji kwenye chama tena wakati mwingine hiyo shughuli huwa inafanyika na viongozi wakubwa kabisa!!
 
Tatizo watu wanakimbilia kujibu uzi bila kutafakari walau kidogo!Hizi propaganda na uzushi haziwezi kuwasaidia lumumba!
 
Mmesahau dodoma mlitenga muda kwenye mkutano mkuu wa chama chenu kwa ajili ya wolper!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Toka wakati huo umesikia kuzungumziwa au kupandishwa majukwaani. Alirudi CCM hadithi ikawa imeisha Leo Wema wakuitiwa ili kujaza watu? Yaani sumaye amekwisha hadi apate msaada wa Wema watu wajae kwenye mkutano wake?
 
Tatizo watu wanakimbilia kujibu uzi bila kutafakari walau kidogo!Hizi propaganda na uzushi haziwezi kuwasaidia lumumba!
Nafikiri wewe ndiye unakimbilia kujibu bila kuelewa. Huu ndio ukweli 'kamanda' Wema kachemka kunena ya moyoni.
 
hivi leo FREDERICK SUMAYE NI WA KUTOA UPDATES ZA WEMA SEPETU? hivi siasa huwa zinawafanyaga nini? Watu8 nisaisdie kuuliza pls
Hapo sasa, yaonesha jinsi binadamu anavyoweza kupanda na kushuka! Ila hamna cha mahakamani wala nini, wanamthibiti tu baada ya kuwatia aibu..Hivi kwenye upinzani tuanze kuwashangalia Act ACT Wazalendo nini?! Maana hawa jamaa wanaonekana hawana mbele wala nyuma...
 
Kwa mujibu wa Ndugu Sumaye ambaye ndiye amepewa jukumu la kumpokea Wema na Mamaake na kuwakabidhi kadi za kujiunga ameshindwa sababu ya kuchelewa mahakamani.
Sumaye maneni hayo kayazungumza akiwa wapi???Chanzo cha habari yako ni kipi?
Ngoja tuuondoe huu upuuzi humu JF!!!
 
hivi leo FREDERICK SUMAYE NI WA KUTOA UPDATES ZA WEMA SEPETU?

hivi siasa huwa zinawafanyaga nini?
Watu8 nisaisdie kuuliza pls
la Sumaye ni dogo kali kuliko ni pale ambapo Shonza na Mwampamba walipofukuzwa CHADEMA na kwenda kutafuta maficho CCM mtu aliye andaliwa kuwapokea ni mwenyekiti taifa wa CCM na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
,sijui siku ambayo mtu kama Mnyika akiamua kutimkia CCM naona mtu pekee atakayeandaliwa na CCM kumpokea atakuwa Trump rais wa Marekani.
 
hivi leo FREDERICK SUMAYE NI WA KUTOA UPDATES ZA WEMA SEPETU?

hivi siasa huwa zinawafanyaga nini?
Watu8 nisaisdie kuuliza pls
Kwamba na wewe Umekubali kuwa "Sumaye" anayetajwa na huyu mtoa post atakuwa Frederick Sumaye Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA?


Kiandiko kisicho rasmi wala kisicho na chanzo rasmi kutoka taasisi husika unakitilia maanani na kukiamini?


Wewe sio wa level hizo!
 
Back
Top Bottom