maandamano
JF-Expert Member
- Nov 12, 2025
- 686
- 1,491
Hivi unajiuliza haya iliyokuwa inayafanya CCM kuanzia kutoa hongo, kununua wapinzani,kuteka watu, kuuwa wapinzani mpaka kuja kuuwa maelfu kwenye maandamano bado kuna mijitu inamtetea huyu Mama?
Nyie Viongozi wa Kiisilamu mnaakili kweli? Au tatizo ndiyo kumaliza darasa la nne na la saba na kwende kusomea Dini halafu mtu aanajiita Shekhe.
Amani mnayoitetea ipi wakati kila uchaguzi CCM wamekuwa wakiteka na kuuwa watu,Mnashindwa muungane na wakristo waandamanji kuikemea serikali baadala yake mnaitetea,iliyouwa watu na kushindwa kuwakabidhi mili ndugu zao ili wakaizike kwa heshima za imani zao. Mimi sidhani kama huyu mama bado anaweza kusimama na akahubiri Amani na watu wakamsikili.
Tumefikishwa hapa na hii serikali iliyotuongoza miaka yote toka uhuru hakuna wa kulaumiwa zaidi ya viongozi wetu
Nyie Viongozi wa Kiisilamu mnaakili kweli? Au tatizo ndiyo kumaliza darasa la nne na la saba na kwende kusomea Dini halafu mtu aanajiita Shekhe.
Amani mnayoitetea ipi wakati kila uchaguzi CCM wamekuwa wakiteka na kuuwa watu,Mnashindwa muungane na wakristo waandamanji kuikemea serikali baadala yake mnaitetea,iliyouwa watu na kushindwa kuwakabidhi mili ndugu zao ili wakaizike kwa heshima za imani zao. Mimi sidhani kama huyu mama bado anaweza kusimama na akahubiri Amani na watu wakamsikili.
Tumefikishwa hapa na hii serikali iliyotuongoza miaka yote toka uhuru hakuna wa kulaumiwa zaidi ya viongozi wetu