Sumaye: Wema Ashindwa Kutoa Ya Moyoni

Sumaye: Wema Ashindwa Kutoa Ya Moyoni

Kweli huyo Sumaye ni Mr Zero... Yaani kutoka kuwa waziri mkuu wa JMT, mkuu wa shughuli za serikali bungeni, mtu wa tatu kwa cheo ktk nchi hii hadi leo kuwa sijui mwenyekiti wa Kanda wa Saccos ya Mbowe ambaye kazi yake ni kutoa briefing ya akina Wema Sepetu na mama yake!!!. Ama kweli wahenga walisema mtaka nyingi nasaba hupata mingi musiba.
 
Sumaye anamzungumzia Wema sepetu?
Sumaye yule alokua waziri mkuu? Leo anamzungumzia Wema kiponeo cha watu

Kweli msimu huu mgumu sana
Si ndiyo hapo sasa. Chama kinahangaika kujaza viponeo na vipozeo vya watu ili vipate kura ya kutinga ikulu 2020. Mkakati huu haujawahi tokea kwingine duniani. Only in Tanzania. Ila inapendeza hata kama haitafanikiwa. Tuwe na warembo political party badala ya commanders political party. Haya ndiyo mabadiliko mwanana.
 
Kwa mujibu wa Ndugu Sumaye ambaye ndiye amepewa jukumu la kumpokea Wema na Mamaake na kuwakabidhi kadi za kujiunga ameshindwa sababu ya kuchelewa mahakamani.

Chadema hawana kazi.Huyu wema alishakabidhiwa kadi rasmi na mama yake ausasa wanapewa kadi za bawacha?
 
Hivi kweli CHADEMA mmefikia stage ya kuanza kuangaika na WEMA kweli??????.....jamani jamani
Mnakijengea picha gani hiki CHAMA?????.......Wema is no more asset tena na si mtu wa kuwafikisha mnapotaka nyie....
EBU kirudisheni chama chenu kwenye misingi yake jamani.....
Dr Slaa MZEE WANGU kokote ulipo kule ebu rudi NCHINI uanzishe CHAMA KIPYA CHA SIASA.........
Kumbuka kuwa Ktk kile watanzania wa nne mmoja ni mpumbavu Kama utafiti ulivyobaini kwahiyo Ktk watanzania milionin 40 tuna wapumbavu milioni 10. Kwahiyo wema akitupatia nusu ya kura za hawa milioni 10 mbona chadema ushindi ni Wetu.halafu Chadema ni chama cha kila mtanzania Bila kujali uwezo wako.tunawakaribisha ma professor mpaka machizi.
 
Kumbuka kuwa Ktk kile watanzania wa nne mmoja ni mpumbavu Kama utafiti ulivyobaini kwahiyo Ktk watanzania milionin 40 tuna wapumbavu milioni 10. Kwahiyo wema akitupatia nusu ya kura za hawa milioni 10 mbona chadema ushindi ni Wetu.halafu Chadema ni chama cha kila mtanzania Bila kujali uwezo wako.tunawakaribisha ma professor mpaka machizi.
acha bangi kijana
 
Waziri mkuu mstaafu (10yrs) wa JMT kiongozi wa tatu kutoka juu!!!
 
Nimeona mahali inasemekana ati ana "folowaaz" milioni moja huko Insta na hizo ni kura atakazopeleka kwenye chama. Different ways za kuyaangalia mambo. 🙂
Sijui nani kaleta dhana hii CDM. Wanataka kusema followers wote wa Diamond wataipigia kura CCM? Utafiti huu ....
 
Kumbuka kuwa Ktk kile watanzania wa nne mmoja ni mpumbavu Kama utafiti ulivyobaini kwahiyo Ktk watanzania milionin 40 tuna wapumbavu milioni 10. Kwahiyo wema akitupatia nusu ya kura za hawa milioni 10 mbona chadema ushindi ni Wetu.halafu Chadema ni chama cha kila mtanzania Bila kujali uwezo wako.tunawakaribisha ma professor mpaka machizi.
Mbona Mkapa alivyowaita wapumbavu mlilalamika haki za binadamu.
 
Hivi Mahakama humaliza shughuli zake saa ngapi?
 
Kuna mwimbaji aliimba "maisha ni mlima eee kuna kupanda na kushuka ee" kweli kumbe inawezekana ukaendelea kutembelea lexus lakini ukashuka kivingine!.....sumaye amekuwa mbadala wa shigongo..
 
Wakati mwingine huwa siielewi siasa aisee...full mkorogano!!
LIKE SERIOUS!
WAZIRI MKUU WA NCHI!
VIPINDI VIWILI MFULULIZO!
ANASIMAMA NA KUZUNGUMZA MWENZETU WEMA SEPETU ,ALIKUWA NA YAKE YA MOYONI!
MWENZETU WEMA SEPETU!

aaaaaaah FREDIIIIIIEEEE !
YOU SHUDNT STOOOOP THIS LOW BANA!
 
Back
Top Bottom