Sumaye ndani ya Uingereza!

Status
Not open for further replies.
ana haki zote za kulindwa na kutibiwa ila ASI ABUSE system.ukiweza soma makala ya Majjid Mjengwa kwenye gazeti la Kwanza Jamii la tarehe 19 may.ameeleza mfano wa viongozi waadilifu wako vipi.mzee KAWAWA ni kati ya watu wanaotumia rasilimali au kodi zetu kwa umakini mkubwa sana,historia itamkumbuka kwa uadilifu wake.wadhifa hauendani na ufisadi wala mahubiri ya neno la bwana yanakataza ufisadi, hakuna point ya yeye kwenda kanisani huku mafundisho ya kanisa yanakataza ufisadi na kupupia mali za wananchi.
Hapa umeni chekesha. Asiende kanisani kwa sababu hiyo? kwa hiyo siku hizi wenye dhambi wasiende kanisani? Kanisani si sehemu ya kutubu dhambi? Hata siku moja hauwezi kusema mtu asiende kanisani kwa sababu ana dhambi fulani because kanisa ni sehemu ya kutubu dhambi. Na kaabuse vipi system kama hata huyo Kawawa anaendaga nje kutibiwa? Mbona unakua na double standards? Viongozi wote wastaafu pamoja na huyo Kawawa hupelekwa nje kwa matibabu. Mwanzo nilikua nakuelewa vizuri ila sasa naona wewe una personal vendetta tu, kila kitu kinarudi kuwa alienda kanisani na sasa umeongeza nakusema yeye hapaswi kwenda kanisani. You are getting personal with this issue and you are now driven by passion not facts.
 
We we Boma nchi inaendeshwa na katiba na sheria kama viongozi wako entitled na hizo rights huwezi walalamikia wakizitumia, for your info;Salim , Msuya, Warioba, Malecela and the list goes on to Kawawa wanatunzwa na Serikali, tena huyu Kawawa (jirani yangu), nyumba yake ambayo hakai inalindwa masaa 24 na huduma nyingine kede kede. Mwacheni atumie mafao yake ya Uongozi awe fisadi au la hiyo ni haki yake inayoendana na wadhifa.

..tena kati ya viongozi wote wastaafu..mwenye bili kubwa ya matibabu na check up kuliko wote ni kawawa.....nadhani afya yake na uzee vinachangia ...hizo ndizo gharama za nchi..tukitaka tuzifute .....kwenye sheria....kama sheria ipo ..wataendelea kupeta hata tukipiga kelele..sana sana tutapoteza muda hapam...kama mtoa hoja ..hataleta petition ya kutaka viongozi wastaafu wasihudumiwe matibabu ngambo......!!..hata lowassa aliyekaa uwaziri mkuu mwaka mmoja atahudumiwa hadi afe!!!
 
kanda2,

..kwani Sumaye alifanya mahubiri mangapi, na ktk miji mingapi huko UK?

..viongozi wengine wakuu wastaafu pia wanashiriki ktk shughuli za kidini. nakumbuka Mkapa alikuwa Iringa kwa Waluteri, wakati yeye ni Mkatoliki, na nina hakika alikuwa chini ya uangalizi na matunzo ya serikali. je, Mkapa naye anastahili kushutumiwa kama Sumaye?

Mkapa alikwenda kwenye sherehe za mahafali ya waislam Morogoro,KIKWETE alikwenda Nyegezi kwenye mahafali ya wakristu.msafara wao ulipangwa na kujukana kuwa wanakwenda kwa jambo moja na ndio ratiba ilivyokuwa.Sumaye kasema anakwenda kutibiwa nje ya nchi kwa pesa za kigeni kumbe sio mgonjwa wa kiasi hicho yuko kwenye kuhubiri injili.mkapa hastahili kushutumiwa kwa kwenda Iringa.

Mkapa anaweza kutoka asubuhi kwenda Morogoro baada ya mahafali anakarudi DSM hakuna gharama kubwa kama za malazi nk. ukienda ulaya hurudi siku hiyo hiyo na wanaosema wanakwenda kutibiwa unajua gharama ngapi wanatumia?gharama za kumuona daktari ST.THOMAS mnazijua?
 
Mkapa alikwenda kwenye sherehe za mahafali ya waislam Morogoro,KIKWETE alikwenda Nyegezi kwenye mahafali ya wakristu.msafara wao ulipangwa na kujukana kuwa wanakwenda kwa jambo moja na ndio ratiba ilivyokuwa.Sumaye kasema anakwenda kutibiwa nje ya nchi kwa pesa za kigeni kumbe sio mgonjwa wa kiasi hicho yuko kwenye kuhubiri injili.mkapa hastahili kushutumiwa kwa kwenda Iringa.

Mkapa anaweza kutoka asubuhi kwenda Morogoro baada ya mahafali anakarudi DSM hakuna gharama kubwa kama za malazi nk. ukienda ulaya hurudi siku hiyo hiyo na wanaosema wanakwenda kutibiwa unajua gharama ngapi wanatumia?gharama za kumuona daktari ST.THOMAS mnazijua?

Mkuu mbona unajichanganya mara kaenda kutibiwa mara kaenda kuchekiwa afya sasa tushike lipi na tuache lipi?
 
Bado nasubiriwa kujibiwa hoja zangu. Naona ana ruka post zangu makusudi na kujibu za wengine. Anyway nita assume ana jipanga vizuri kuzi jibu.
 
Hapa umeni chekesha. Asiende kanisani kwa sababu hiyo? kwa hiyo siku hizi wenye dhambi wasiende kanisani? Kanisani si sehemu ya kutubu dhambi? Hata siku moja hauwezi kusema mtu asiende kanisani kwa sababu ana dhambi fulani because kanisa ni sehemu ya kutubu dhambi. Na kaabuse vipi system kama hata huyo Kawawa anaendaga nje kutibiwa? Mbona unakua na double standards? Viongozi wote wastaafu pamoja na huyo Kawawa hupelekwa nje kwa matibabu. Mwanzo nilikua nakuelewa vizuri ila sasa naona wewe una personal vendetta tu, kila kitu kinarudi kuwa alienda kanisani na sasa umeongeza nakusema yeye hapaswi kwenda kanisani. You are getting personal with this issue and you are now driven by passion not facts.

Huruhusiwi kuuuza madawa ya kulevya ili ujenge kanisa au msikiti.mengine juu ya mtazamo wako kwangu sawa ni uoni wako.kama mimi ninavyomuona SUMAYE hakuwa na sababu ya kuzurura mikoa ya uingereza wakati mji aliofikia wa London una kanisa lake.

wewe useme unaenda kutibiwa Bombay halafu ukahubiri dini mji wa New Delhi.au unaenda kutibiwa Nairobi halafu ukafanyie ibada Mombasa,ukitizama kwenye google hakuna kanisa la KILUTHERI katika mji wa Reading.kanisa lake lipo London.mzungu aje Dar kutibiwa kwa pesa za nchi yake aache kusali AZANIA FRONT aende kuhubiri injili Mwanza.
 
..tena kati ya viongozi wote wastaafu..mwenye bili kubwa ya matibabu na check up kuliko wote ni kawawa.....nadhani afya yake na uzee vinachangia ...hizo ndizo gharama za nchi..tukitaka tuzifute .....kwenye sheria....kama sheria ipo ..wataendelea kupeta hata tukipiga kelele..sana sana tutapoteza muda hapam...kama mtoa hoja ..hataleta petition ya kutaka viongozi wastaafu wasihudumiwe matibabu ngambo......!!..hata lowassa aliyekaa uwaziri mkuu mwaka mmoja atahudumiwa hadi afe!!!

PM hivi kuna sheria inayomkataza JK kusafiri? Mbona tunapiga kelele?...Si wewe unaedai kuwa JK ndie anaemaliza Dolla zilizoachwa na Mkapa kwa safari?.....
...Akitumia JK hafai..fisadi...anapenda matanuzi....akitumia Sumaye its OK kwa kuwa sheria inayomlinda ipo....tena anafaa kuwa RAIS!!!!....ni kweli...are you serious ktk Vita dhidi ya Ufisadi au kuna watu wako unaowataka kuwa ma-rais...?....Kweli vita dhidi ya Ufisadi Bongo Ngumu.....!!!

.....
 
..tena kati ya viongozi wote wastaafu..mwenye bili kubwa ya matibabu na check up kuliko wote ni kawawa.....nadhani afya yake na uzee vinachangia ...hizo ndizo gharama za nchi..tukitaka tuzifute .....kwenye sheria....kama sheria ipo ..wataendelea kupeta hata tukipiga kelele..sana sana tutapoteza muda hapam...kama mtoa hoja ..hataleta petition ya kutaka viongozi wastaafu wasihudumiwe matibabu ngambo......!!..hata lowassa aliyekaa uwaziri mkuu mwaka mmoja atahudumiwa hadi afe!!!

sichukii sumaye kutiwa nje ya nchi akiwa ni mgonjwa ni haki yake ya kikatiba.jee mzee kawawa unaona anaumwa au anatengeneza mazingira ya kula pesa kama sumaye? Kama alikuwa na nguvu ya kuzurura kwenye miji mbali mbali asingetumia njia ya kuumwa.angesema yuko holiday anahubiri injili.nisingelalamika.ametumia fursa ya kusema mgonjwa ili achote akiba yetu ya taifa.mind u anaongozana na daktari anayelipwa wiki zote nne anazokuwa nje.
 
Huruhusiwi kuuuza madawa ya kulevya ili ujenge kanisa au msikiti.mengine juu ya mtazamo wako kwangu sawa ni uoni wako.kama mimi ninavyomuona SUMAYE hakuwa na sababu ya kuzurura mikoa ya uingereza wakati mji aliofikia wa London una kanisa lake.

wewe useme unaenda kutibiwa Bombay halafu ukahubiri dini mji wa New Delhi.au unaenda kutibiwa Nairobi halafu ukafanyie ibada Mombasa,ukitizama kwenye google hakuna kanisa la KILUTHERI katika mji wa Reading.kanisa lake lipo London.mzungu aje Dar kutibiwa kwa pesa za nchi yake aache kusali AZANIA FRONT aende kuhubiri injili Mwanza.

Haruhusiwi kivipi kuzuru maeneo mengine ya nchi? Na sikuelewi kama ni kaenda kusali kanisa fulani au kuhubiri. Alienda kanisani kama muumini au ali hubiri kama mchungaji? Na kwani kajenga kanisa lipi mpaka utoe mfano kuwa hauwezi kujenga kanisa au msikiti kwa hela ya madawa ya kulevya? Na hayo makanisa na misikiti mingine inayo jengwa na pesa za watu binafsi una uhakika gani hizo pesa ni halali? Na bado hauja jibu swali nililo kuuliza kuhusu security detail. Una ushahidi gani hakuwaarifu security detail ratiba ya kwenda kanisani? Kwani ikitokea mtu aka badilisha ratiba security detail hawawezi kumaccomodate? Kwa maana mtu hauwezi kuanticipate kila kitu. Pia kwa nini jinsi anavyo lindwa inaku concern sana wewe mpaka ukasema asipo toa details za anapokwenda akipatwa na matatizo? Please mtoa hoja jibi maswali yote unayo ulizwa siyo kujibu moja moja.
Mimi siku fikirii vyovyote mkuu mimi nachambua hoja zako tu.
 
kanda2,

..kwani Sumaye alifanya mahubiri mangapi, na ktk miji mingapi huko UK?

..viongozi wengine wakuu wastaafu pia wanashiriki ktk shughuli za kidini. nakumbuka Mkapa alikuwa Iringa kwa Waluteri, wakati yeye ni Mkatoliki, na nina hakika alikuwa chini ya uangalizi na matunzo ya serikali. je, Mkapa naye anastahili kushutumiwa kama Sumaye?
.

...Ninavyojua ukiwa Ndani ya nchi ya Tanzania sio Ufisadi...JK tunamlalamikia kwa kuwa anakwenda zaid Nje ya Tanzania...lau kama angalikuwa anatembelea mikoa ya Tanzania kelele zinazopigwa sasa zisingalikuwepo...!!!

au labda mwenzetu unatafuta justifications kwa bro Sumaye!!!
 
.

...Ninavyojua ukiwa Ndani ya nchi ya Tanzania sio Ufisadi...JK tunamlalamikia kwa kuwa anakwenda zaid Nje ya Tanzania...lau kama angalikuwa anatembelea mikoa ya Tanzania kelele zinazopigwa sasa zisingalikuwepo...!!!

au labda mwenzetu unatafuta justifications kwa bro Sumaye!!!

Lakini huyo Sumaye anaenda je mara ngapi kwa tiba? Anacho lalamikiwa JK ni safari za nje au safari nyingi za nje? ujue kwamba kama raisi wa nchi JK has to travel abroad lakini watu wanacho mlalamikia JK ni kuwa anaenda mara nyingi mno. So you can't compare Sumaye & JK in this case. Kama kuna hoja ya kupinga safari ya Sumaye iwe nyingine lakini hauwezi kucompare the number of times Sumaye anayo safiri nje ya nchi na JK.

Mimi sikatai kuwa viongozi wetu hawatakiwi kusafiri nje kila wakati ila naangalia justification ya hoja. Kanda2 kaanza kusema Sumaye alienda kutibiwa mara ikawa check-up mara akasema oh alienda kanisani mara alienda kuhubiri. Kali zaidi akadai Sumaye haku taarifu security detail schedule yake yote. Tumemuomba ushahidi atoe kuwa Sumaye hakutoa schedule nzima kwa security detail hajasema bado. Nimemuuliza Sumaye aliingia ibadani kama mshirika au alienda kuhubiri nidyo nasubiria jibu lake. Kinacho nishangaza ni reasons za kupinga safari ya Sumaye Kanda2 kila post ana badilisha. Astick tu a set of points azitetee siyo akiona anashindwa kwenye hoja fulani ana hamia kwenye nyingine.
 
pm hivi kuna sheria inayomkataza jk kusafiri? Mbona tunapiga kelele?...si wewe unaedai kuwa jk ndie anaemaliza dolla zilizoachwa na mkapa kwa safari?.....
...akitumia jk hafai..fisadi...anapenda matanuzi....akitumia sumaye its ok kwa kuwa sheria inayomlinda ipo....tena anafaa kuwa rais!!!!....ni kweli...are you serious ktk vita dhidi ya ufisadi au kuna watu wako unaowataka kuwa ma-rais...?....kweli vita dhidi ya ufisadi bongo ngumu.....!!!

.....

vita ya ufisadi ngumu na haiwezi kufanikiwa kutokana na mitazamo yetu.tanzania inatumia zaidi ya bilioni nne kwa mwaka kwa matibabu ya viongozi hawa kwanini tusiwapeleke pale inapostahiki?
 
vita ya ufisadi ngumu na haiwezi kufanikiwa kutokana na mitazamo yetu.tanzania inatumia zaidi ya bilioni nne kwa mwaka kwa matibabu ya viongozi hawa kwanini tusiwapeleke pale inapostahiki?

Sawa mkuu hapa nakubaliana na wewe ila naomba kuuliza
1.Ume fikiaje kiwango cha bilioni nne? Kama ume estimate tuambie ume estimate vipi.
2.Kwani anaye pelekwa nje kwa hayo matibabu ni Sumaye pekee yake? Si na wengine wana pelekwa kwa hayo hayo matibabu? Sasa iweje akienda Sumaye tu ndiyo iwe ufisadi?
3.Ulisha sema tatizo siyo kwenda nje tatizo ni alienda nje halafu aka hudhuria kanisa nje ya London siyo? Sasa sasa hivi hauja taja yeye kwenda huko kanisani ulipo kua unaku lalamikia umesema ni bei tu za matibau(which ni kwa viongozi wote wakuu wastaafu siyo Sumaye tu).
 
Lakini mbona tunapenda mno kuandikiana blank cheques? Ni stahili gani isiyo na kiwango! Nchi yetu ni masikini na ni wajibu wetu tuwe makini na matumizi yetu. Leo waingereza wanatoana makamasi kwa sababu watu wamenunua fanicha au wametia ndani vi-pauni mbuzi! Kama kweli kila kitu ni aboe board basi tuanzishe mtindo wa kuwajibika kwa wanaotulipia. Kwa nini tusielezwe kila mwisho wa mwaka wa fedha ni kiasi gani kimetumika kwa ajili ya hizi "stahili"! Wakati huo huo wenzetu wanatuchangia hela ya kununua chandarua! Ni lazima sote tuwe na uchungu na nchi yetu. Tusiendekeze hii sense of entitlement ambayo kila ambae tulimpa heshima ya kutuongoza anakuwa nayo! Tubadilishe priorities na kulia na hao wenzetu wanaokufa kwa kukosa mkunga. Au wastaafu vikongwe tuliowadhulumu mafao yao. Lazima tuanze mahali. Kwa nini tusianze hapa?

Amandla.......

Fundi Utumbo a.k.a Uwiano Usio Maalum
 
Lakini mbona tunapenda mno kuandikiana blank cheques? Ni stahili gani isiyo na kiwango! Nchi yetu ni masikini na ni wajibu wetu tuwe makini na matumizi yetu. Leo waingereza wanatoana makamasi kwa sababu watu wamenunua fanicha au wametia ndani vi-pauni mbuzi! Kama kweli kila kitu ni aboe board basi tuanzishe mtindo wa kuwajibika kwa wanaotulipia. Kwa nini tusielezwe kila mwisho wa mwaka wa fedha ni kiasi gani kimetumika kwa ajili ya hizi "stahili"! Wakati huo huo wenzetu wanatuchangia hela ya kununua chandarua! Ni lazima sote tuwe na uchungu na nchi yetu. Tusiendekeze hii sense of entitlement ambayo kila ambae tulimpa heshima ya kutuongoza anakuwa nayo! Tubadilishe priorities na kulia na hao wenzetu wanaokufa kwa kukosa mkunga. Au wastaafu vikongwe tuliowadhulumu mafao yao. Lazima tuanze mahali. Kwa nini tusianze hapa?

Amandla.......


Fundi Utumbo a.k.a Uwiano Usio Maalum
You are right mkuu kwa hiyo tatizo si Sumaye ni sheria zilizopo regarding privileges za viongozi na viongozi wastaafu. Kinacho takiwa kurekebishwa ni sheria. Hizi privileges na entitlements zao zote ziwekwe wazi kwa jamii na zilizo za kifisadi au ambazo haziendani na uwezo wetu zirekebishwe/zifutwe. The problem siyo Sumaye kwenda nje because viongozi wote wastaafu hufanya hivyo, tatizo narudia ni sheria zilizopo. As long as sheria zipo na mtu akifanya kazi within the boundaries of that law tuta lalamika mpaka kesho. Cha kufanya ni sheria ibadilishwe ili kama ni Sumaye or hueva wasi tumie pesa kama wanavyo tumia sasa.
 
sawa mkuu hapa nakubaliana na wewe ila naomba kuuliza
1.ume fikiaje kiwango cha bilioni nne? Kama ume estimate tuambie ume estimate vipi.
2.kwani anaye pelekwa nje kwa hayo matibabu ni sumaye pekee yake? Si na wengine wana pelekwa kwa hayo hayo matibabu? Sasa iweje akienda sumaye tu ndiyo iwe ufisadi?
3.ulisha sema tatizo siyo kwenda nje tatizo ni alienda nje halafu aka hudhuria kanisa nje ya london siyo? Sasa sasa hivi hauja taja yeye kwenda huko kanisani ulipo kua unaku lalamikia umesema ni bei tu za matibau(which ni kwa viongozi wote wakuu wastaafu siyo sumaye tu).
basi tusijadili kwani tutakuwa tunamjadili sumaye.mapolisi wengi wanafanya vitendo kinyume na maadili ya kazi zao.walianza na zombe wengine watafuata.
Kwenye hili mie nimeanza na sumaye na wewe taja wengine.
 
you are right mkuu kwa hiyo tatizo si sumaye ni sheria zilizopo regarding privileges za viongozi na viongozi wastaafu. Kinacho takiwa kurekebishwa ni sheria. Hizi privileges na entitlements zao zote ziwekwe wazi kwa jamii na zilizo za kifisadi au ambazo haziendani na uwezo wetu zirekebishwe/zifutwe. The problem siyo sumaye kwenda nje because viongozi wote wastaafu hufanya hivyo, tatizo narudia ni sheria zilizopo. As long as sheria zipo na mtu akifanya kazi within the boundaries of that law tuta lalamika mpaka kesho. Cha kufanya ni sheria ibadilishwe ili kama ni sumaye or hueva wasi tumie pesa kama wanavyo tumia sasa.

hakuwa na ratiba ya kuzurura makanisani wala hakuwa na clearence hiyo toka foreign.
Amevunja sheria amekwenda nje ya mipaka yake.mfano mbaya katuonesha.nitasema muda wote siku zote.
 
hakuwa na ratiba ya kuzurura makanisani wala hakuwa na clearence hiyo toka foreign.
Amevunja sheria amekwenda nje ya mipaka yake.mfano mbaya katuonesha.nitasema muda wote siku zote.
Toa basi ushahidi kuwa hakuwa na clearance hiyo unayo isema wewe or atleast umejuaje haja pata hiyo clearance. Naelewa unacho sema ila bado hauja toa ushahidi kuwa hakupata hiyo clearance. You keep talking about the clearance sawa nakubali kama hakufanya hivyo kavunja sheria sasa toa ushahidi kua hakupata hiyo clearance.
 
chuma said:
...Ninavyojua ukiwa Ndani ya nchi ya Tanzania sio Ufisadi...JK tunamlalamikia kwa kuwa anakwenda zaid Nje ya Tanzania...lau kama angalikuwa anatembelea mikoa ya Tanzania kelele zinazopigwa sasa zisingalikuwepo...!!!

au labda mwenzetu unatafuta justifications kwa bro Sumaye!!!

Chuma,

..sidhani kama safari za ndani haziwezi kuingia ktk UFISADI. kama Kiongozi wa serikali atatumia safari na shughuli za kiserikali kukipigia debe chama chake wananchi wanaweza kuwa na haki ya kudai huo ni UFISADI.

..kwa upande mwingine wako viongozi wastaafu ambao wameshiriki/wanashiriki shughuli zilizoandaliwa na taasisi za kidini. sasa tunachouliza ni kwanini hao hawapigwi vita wakati tunaelewa kwamba wanaishi kwa kodi ya wananchi?

..tunachojaribu hapa ni kuwa even handed. hata Polisi anaposhughulikia wahalifu anatakiwa afuate maadili, haki, na sheria. imewahi kutokea Polisi wakaadhibiwa kwa kutumia mbinu za kikatili katika kuwashughulikia wahalifu.

..the same kwa suala la Sumaye. je, amevunja sheria za matumizi ya mafao ya viongozi wastaafu? je, viongozi wastaafu hawaruhusiwi kuhudhuria mahubiri ya kidini wakiwa nje ya nchi? pia amehudhuria mahubiri mangapi, katika miji mingapi tofauti?

..ninachoomba mimi tuwe even handed. kama ni kupinga viongozi wakuu na wastaafu kutibiwa nje basi tusi-target wale tusiowapenda tu.

..hoja nyingine ya kanda2 ni kwamba Sumaye hana matatizo yoyote ya afya, na ushahidi wa hilo ni kwamba ameweza kusafiri "mikoani" Uk akitangaza dini. sasa ni viongozi wangapi wakuu wamewahi kufanyiwa check-up na baadaye wakaendelea na majukumu yao, safari na schedule nzito, kuliko alichofanya Sumaye?

..halafu angalia jinsi kanda2 anavyotumia neno "mikoani" akijaribu kujenga picha kwamba kusafiri ndani ya UK kunahitaji nguvu ya mtulinga sawa na kwenda Sumbawanga au Mingonyo.
 
Last edited:
basi tusijadili kwani tutakuwa tunamjadili sumaye.mapolisi wengi wanafanya vitendo kinyume na maadili ya kazi zao.walianza na zombe wengine watafuata.
Kwenye hili mie nimeanza na sumaye na wewe taja wengine.

Sina neno kua umemtaja Sumaye. Tatizo ni kwamba hoja zako ni as if una tatizo personal na Sumaye na wala si sheria yenyewe. Wewe mwenyewe ulianza kwa kusema kaenda kwenye tiba siyo? Ukasema baadae ni check up siyo? Then ukasema kaenda kuhubiri makanisani siyo? Nikakuuliza alienda huko kanisani kama msharika au kuhubiri haukujibu, au umejibu? Ukataja mfano kuwa hauwezi jenga msikiti/kanisa kwa hela za kifisadi nikakuuliza Sumaye kajenga kanisa, haukujibu siyo? Nikakuuliza kuwa kama kiongozi hakupata clearance ya kitu fulani akienda mahali schedule iki badilika kwa njia yoyote ile security detail wanaweza kumaccomodate au la, hauja jibu siyo? Kuna maswali mengi nimeuliza haujibu ila unajibu yale unayo yaona yana unafuu kwako ndiyo maana naona hoja zako ni personal radha than machungu ya kweli kwa nchi. kama unataka tujadili vizuri ingekua vizuri ungejibu maswali yote na siy ya kuchagua unayoona nafuu kwako. Mimi sina neno kukiri nimekosa as long as you prove me wrong.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom