Waziri mkuu mstaafu bwana sumaye alikwenda uingereza kwa ajili ya matibabu (medical check up).
Lakini badala ya kuwa hospitalini amekuwa akizurura kwenye miji ya uingereza kuhubiri dini,kama mgonjwa aliyetakiwa kupata matibabu nje ya nchi asingekuwa na nguvu ya kuzurura kwenye miji mbalimbali badala ya kuwa hospitali au kama ugonjwa wake haukuwa mkubwa kwanini atumie pesa za kodi kwenda nje? Wakati mwakyembe anapata huduma muhimbili?
,habari yake iko kwenye tanzania daima kwenye habari kuu maoni au kwenye picha za mtandao wa tzuk,com kwenye picha utamuona mheshimiwa sumaye akiwa kwenye ibada.
Hakatazwi kufanya ibada ila iwe kwa pesa zake sio kodi za wananchi.
Lakini badala ya kuwa hospitalini amekuwa akizurura kwenye miji ya uingereza kuhubiri dini,kama mgonjwa aliyetakiwa kupata matibabu nje ya nchi asingekuwa na nguvu ya kuzurura kwenye miji mbalimbali badala ya kuwa hospitali au kama ugonjwa wake haukuwa mkubwa kwanini atumie pesa za kodi kwenda nje? Wakati mwakyembe anapata huduma muhimbili?
,habari yake iko kwenye tanzania daima kwenye habari kuu maoni au kwenye picha za mtandao wa tzuk,com kwenye picha utamuona mheshimiwa sumaye akiwa kwenye ibada.
Hakatazwi kufanya ibada ila iwe kwa pesa zake sio kodi za wananchi.