lameckkawawa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 944
- 665
Huo ni uhamuzi sahii na wakati sahii Kama ni wacha wajenge chama kwa pamoja
Hivi Chadema ni chama cha watu wa Kaskazini tu,mimi nilidhani,huo ukatibu mkuu lazima apewe mtu wa kaskazini?mgombea uraisi kaskazini,mwenyekiti,kaskazini,katibu mkuu kaskazini,wakuu wa vitengo kaskazini,hiki sio chama bali ni klabu.
Tukiachana na dhana kulipa fadhila au deni. Je Sumaye anafaa au hafai? Je ataweza kuongoza mapambano kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake Dr Slaa ingawa aliamua kukabidhi silaha kwa adui?
Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..
Yani ulikuwa hujui mpaka leo pole pale hakuna chma ni biashara ya wachaga tu.Kama ni kweli nazidi kuamini kuwa chadema ni chama cha kikanda. Chama cha kaskazini
Yani ulikuwa hujui mpaka leo pole pale hakuna chma ni biashara ya wachaga tu.
AnafaaWanaJF
Waziri mkuu mstaafu Mh Frederick Sumaye amejiunga rasmi na CHADEMA mjini Arusha kwenye mkutano wa kufunga kampeni za kumnadi Godbless Lema.
Haya ni maandalizi ya awali ya kumwandaa Sumaye kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CHADEMA, nafasi iliyoachwa na Dr. Slaa.
Tusubiri
Mkuu hivi mpaka leo bado unaacha akili zako kwenye vmakabati ya Nepi pale Lumumba?
Jitahidi uwe unatoroka mara mojamoja utaendelea kuwa kituko mpaka lini? Siamini kama hujui utaratibu wa upatikanaji wa Katibu mkuu ndani ya Chadema.... Siamini.
Hivi umemwona Laki si pesa wa leo? Wewe unasubiri nini? Jiongeze.
BACK TANGANYIKA
Kama ni kweli nazidi kuamini kuwa chadema ni chama cha kikanda. Chama cha kaskazini