Sumaye ni Mpambanaji atatufaa sana Kamanda Sumaye chukua Ukatibu Uwanyooshe CCM
leo hiiii Mr Zero amekua mpambanaji? ??!!!! chadema imefilisika kisiasa. hivi mnawaacha kina prof Baregu, Safari, Marandu wazee wa hekima wenye misimamo isiyoyumba mnamuweka kilaza huyu.?? halaf mtegemee kupata wanachama! ?? kwa ajili ya kitu gani