Mau Mau
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 691
- 504
Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..
Acha uzuzu wewe, nafasi ya ukatibu tangu lini Ni ya kuchaguliwa??????
Hii mizuzu mingine bana