shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
WanaJF
Waziri mkuu mstaafu Mh Frederick Sumaye amejiunga rasmi na CHADEMA mjini Arusha kwenye mkutano wa kufunga kampeni za kumnadi Godbless Lema.
Haya ni maandalizi ya awali ya kumwandaa Sumaye kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CHADEMA, nafasi iliyoachwa na Dr. Slaa.
Tusubiri
we poyoyo sasa si usubiri ndo uje baadae unaleta uzi then unasema tusubiri jinga wewe