Sumaye kuwa Katibu Mkuu CHADEMA?

Sumaye kuwa Katibu Mkuu CHADEMA?

Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..

You are better than this....

Anyway yawezekana ni za uhakika, naukubali upeo wako.
 
Waacheni wana ccm, Cdm tunasonga mbele. Waliyo pewa upande wa pili hauwajui mpaka wenzao wakawauliza lini waliingia huko.
 
sumaye CCM aliishia kuokota makopo leo chadema wanataka mpa ukatibu.. hahahhahah kweli mbowe kauza chama
 
Jamaa alikuwa meneja kampeni wa CDM. 😛eace:😛eace:😛eace:

Lini alikuwa meneja kampeni wa CCM?, tangu 1995 kabla ya yeye kuwa waziri mkuu campaign manager wa CCM ni comrade Abdulrahman O.Kinana.he is the brain behind every triumph since then
 
Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..


Kamanda wa zamani elewa kuwa nafasi ya katibu mkuu haina Uchaguzi.
 
Lini alikuwa meneja kampeni wa CCM?, tangu 1995 kabla ya yeye kuwa waziri mkuu campaign manager wa CCM ni comrade Abdulrahman O.Kinana.he is the brain behind every trip hii since then


Soma upya. Jamaa kasema CDM na hajasema CCM
 
Mr. Zero hana uwezo wa kufikia viwango vya utendaji kama Dr. Slaa; bora hicho cheo apewe Prof. Abdallah Safari

Prof Safari ni Makamu mwenyekiti tayari so hawezi kuwa na vyeo viwili kwa wakati mmoja
 
lini alikuwa meneja kampeni wa ccm?, tangu 1995 kabla ya yeye kuwa waziri mkuu campaign manager wa ccm ni comrade abdulrahman o.kinana.he is the brain behind every triumph since then
huyu jamaa ni bogus hawezi kuwa meneja kampeni wa ccm. Ukawa ni tunu huyu.
 
Bora apewe ukatibu mkuu
Sifa kubwa kwake toka uwaziri mkuu mpaka ukatibu safi mzero
 
Back
Top Bottom