Jina la Mr. Zero alipewa na wapinzani, sasa Mr. Zero huyo huyo anakabidhiwa hatamu za chama... Ama hakika ukikosa ukipendacho penda ulichonacho; kwa maana hakuna namna
Mkuu kwani Mzee kakata tamaa kabisa? Mbona sijamuona akiwa na kundi la ng'ombe kule Monduli? Yeye hautaki uenyekiti wa chama chake?Naona wakaskazini wanapanga safu zao za uongozi huyu Sumaye ndiyo wanamtegemea kumsimamisha kugombea urais mwaka 2020.
Mkuu kwani idadi ya wabunge na madiwani ndio sifa ya kupata ukatibu mkuu? Mimi nilikuwa nadhani CHADEMA wamekwisha ipata thawabu yao huko kasikazini hivyo ni vyema wakatafuta ungwaji mkono mkubwa sehemu nyingine. Hii inaweza fanyika kwa kumpa ukatibu mkuu mtu ambaye hatoki kasikazi ili wapate uungwaji mkono toka sehemu ambayo itatoa Katibu Mkuu.Mbeya hivi cdm ina wabunge na madiwani wangapi mkoa mzima vile?
Hivi Chadema ni chama cha watu wa Kaskazini tu,mimi nilidhani,huo ukatibu mkuu lazima apewe mtu wa kaskazini?mgombea uraisi kaskazini,mwenyekiti,kaskazini,katibu mkuu kaskazini,wakuu wa vitengo kaskazini,hiki sio chama bali ni klabu.WanaJF
Waziri mkuu mstaafu Mh Frederick Sumaye amejiunga rasmi na CHADEMA mjini Arusha kwenye mkutano wa kufunga kampeni za kumnadi Godbless Lema.
Haya ni maandalizi ya awali ya kumwandaa Sumaye kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CHADEMA, nafasi iliyoachwa na Dr. Slaa.
Tusubiri
Hizi ni habari za uhakika kabisa... Na hauto fanyika uchaguzi bali atapewa hicho kiti kwakuwa ni mtu wa Mgombea Urais..
Hili ni deni lingine ambalo chadema wanamlipa Lowasa..
WanaJF
Waziri mkuu mstaafu Mh Frederick Sumaye amejiunga rasmi na CHADEMA mjini Arusha kwenye mkutano wa kufunga kampeni za kumnadi Godbless Lema.
Haya ni maandalizi ya awali ya kumwandaa Sumaye kushika nafasi ya ukatibu mkuu wa CHADEMA, nafasi iliyoachwa na Dr. Slaa.
Tusubiri
Sumaye ni Mpambanaji atatufaa sana Kamanda Sumaye chukua Ukatibu Uwanyooshe CCM
Akili yako haina tofauti na akili ya mama yako!
Khaa!! Anafaa sanaaa. Tena agombee urais 2020 kama nzee wetu hatoweza :mvutaji:Anafaa Sana Sana sanaaaaa
Khaa!! Halafu ukute huyo mama yake ni bibi yako mzaa baba 😎Akili yako haina tofauti na akili ya mama yako!
Hivi Chadema ni chama cha watu wa Kaskazini tu,mimi nilidhani,huo ukatibu mkuu lazima apewe mtu wa kaskazini?mgombea uraisi kaskazini,mwenyekiti,kaskazini,katibu mkuu kaskazini,wakuu wa vitengo kaskazini,hiki sio chama bali ni klabu.
'Chadema hatugawani vyeo bali majukumu'- Mbowe. Na sie wa Nyanda wa nyanda za juu kusini tunahitaji 'Majukumu' kama haya ya Sumaye anayopewa sio kila siku kufagilishwa barabara na kuzungusha mikono.