Sukari ya Uganda kusambaa sana nchini kuliko yetu, tatizo nini?

Ukiondoa mahali ilipozalishiwa: Kitu kipi kinafanya sukari iliyozalishwa kuwa "yetu".
 
Acha tu hiyo sukari iendelee kutapakaa. Mahitaji ya sukari nchini mwetu ni makubwa kuliko uzalishaji.
Inasikitisha tu enzi za mwendazake kusema hakuna kuleta sukari ya njendani ya Tanzania. Mwishowe kunywa chai imekuwa anasa, maana toka bei imekwea haijawahi kushuka tena.
 
Acha tu hiyo sukari iendelee kutapakaa. Mahitaji ya sukari nchini mwetu ni makubwa kuliko uzalishaji.
Inasikitisha tu enzi za mwendazake kusema hakuna kuleta sukari ya njendani ya Tanzania. Mwishowe kunywa chai imekuwa anasa, maana toka bei imekwea haijawahi kushuka tena.
Mimi sio kama sitaki ije,ila kwanini sisi ndio tusizalishe nyingi tuuuze nje
 
Hapa Zanzibar sukari kilo sh 1500

Mafuta ya kula nayo Bei Chee kuliko huko bara
 
Mimi sio kama sitaki ije,ila kwanini sisi ndio tusizalishe nyingi tuuuze nje
Shida ipo kwenye uongozi wetu. Hujumu kwa wawekezaji wa ndani/nje hususani awamu ya yule ambaye mungu kampenda zaidi. Unatoa kauli mtaishi kama mashetani. Unafikiri kuna mwekezaji atakaa Tanzania.

Ndo maana tunaishia kuwa na ndoto ambazo hazitakaa zitekelezeke.
Rejea enzi za mwendazake aliposema pamba tunayolima tutengeneze nguo, tukishazivaa ndipo tupelee nje kama mitumba.
 
Kuna zimwi gani Tanzania? Hivi bongo bahati mbaya kweli au ni ugumu wa kuwekeza hapa?

Sukari Tanzania ni shida, mafuta ya kula ni shida,kwanini tuna dhida wakati tuna kila kitu nchini?
Mama amefungulia nchi
 
Back
Top Bottom