Sukari ya Uganda kusambaa sana nchini kuliko yetu, tatizo nini?

Kuna zimwi gani Tanzania? Hivi bongo bahati mbaya kweli au ni ugumu wa kuwekeza hapa?

Sukari Tanzania ni shida, mafuta ya kula ni shida,kwanini tuna dhida wakati tuna kila kitu nchini?
Ni bora iwepo au isiwepo?,
#Ni bora iwepo, TUMPE MAMA MUDA ITS 2 MONTH ONLY ON HEADING,HATA WAKATI ULE WA MATESO,PAMOJA NA MSISITIZO WOTE BADO MAFUTA YA KUPIKIA YALIKUWA YA TABU SANA
 
Kuna zimwi gani Tanzania? Hivi bongo bahati mbaya kweli au ni ugumu wa kuwekeza hapa?

Sukari Tanzania ni shida, mafuta ya kula ni shida,kwanini tuna dhida wakati tuna kila kitu nchini?
π™½πšŠ πš‹πšŠπšπš˜ πš–πšπšŠπš™πš˜πš”πšŽπšŠ πš‹πš’πšπš‘πšŠπšŠ πšπšŽπš—πšŠ πšπš˜πš”πšŠ π™ΊπšŽπš—πš’πšŠ πš‘πšŠπš™πš˜ πš–πš™πšŠπš”πšŠ πšŸπš’πš πšŠπš—πšπšŠ πšŸπš’πšŽπš—πšžπšŸπš’πšπšŽ
 
Wakati mama anasema anafungua nchi mlikuwa mnafikiri ilifungwa minyororo.......!
 
Kuna zimwi gani Tanzania? Hivi bongo bahati mbaya kweli au ni ugumu wa kuwekeza hapa?

Sukari Tanzania ni shida, mafuta ya kula ni shida,kwanini tuna dhida wakati tuna kila kitu nchini?
Tatizo la waTz: Maneno meeengi uwajibikaji 'O'
Nenda maofisini ni stori kwa kwenda mbele: Simba,Yanga, Halafu: "Aisee Bosi yulee anakuja". Kisha:
Vuluvulu, Kila mtu anajifanya busy!?
 
Mahospitalini kuna dawa za Uganda kibao, dawa zenyewe ni maji ya sindano, mirija ya drip, na drip za maji mf. Dextrose, nk. Watanzania tuna laana sio Bure...
#justiceforsabaya
 
Kuna uhaba mkubwa wa sukari wacha iwe nyingi na bei ishuke.
TZ tuna viwanda vingapi vya sukari? Sukari ikitoka Uganda mpaka dar kg ni 2800
Sukari ikitoka Kilombero mpaka Morogoro itauzwa bei sawa na iliyotoka Uganda. Ww hushangai hapo
 
Mahospitalini kuna dawa za Uganda kibao, dawa zenyewe ni maji ya sindano, mirija ya drip, na drip za maji mf. Dextrose, nk. Watanzania tuna laana sio Bure...
#justiceforsabaya
Hata mm nahisi si bure,mamiti na misitu tuliyonayo eti hadi Bamboo stik tuna agiza China
 
π™½πšŠ πš‹πšŠπšπš˜ πš–πšπšŠπš™πš˜πš”πšŽπšŠ πš‹πš’πšπš‘πšŠπšŠ πšπšŽπš—πšŠ πšπš˜πš”πšŠ π™ΊπšŽπš—πš’πšŠ πš‘πšŠπš™πš˜ πš–πš™πšŠπš”πšŠ πšŸπš’πš πšŠπš—πšπšŠ πšŸπš’πšŽπš—πšžπšŸπš’πšπšŽ
Mkuu nini tatizo? Nchi ndogo kama UG kutusambazia sukari hivi kweli! Huoni kuna haja ya kurekebisha maswala ya kikodi?
 
Tatizo la wabongo ni lawama na maneno mengi vitendo hakuna,Na wazuri mno kutafuta mtu mmoja wa kummwagia lawama zoootee

Hakuna ubunifu bongo na akitokea mbunifu atawekewa kila aina ya vikwazo.

Watu wamebaki kupiga kelele na kulaumu mwendazake hivi mwendazake vile wamesahau mwendazake hajatawala tangu tupate uhuru mpaka sasa bali kwa awamu moja tu.

Asilimia kubwa ya viwanda bongo wamekamata wahindi nao wanapigwa vitana wabongo kwenye kuajiri vibarua pamoja na malipo
 
Shida sio bidhaa kuingia nchini bali production costs na ufinyu wa wafanya Kazi.

Unatakiwa uweke mazingira rafiki zaidi yawe laize afare hususani kwenye bidhaa za kilimo hapo utawavuta wawekezaji.

Usipofanya hivyo ukazuia import mwisho wa siku hutapata unachokitaka na gharama ya bidhaa kwa raia itakuwa juu.

Viwanda kwenye sekta ya kilimo vinahitaji kubembelezwa,unaweza usipate faida ya kodi moja kwa moja ila ukapata faida ya ajira kwa watu na kuongeza thamani ya Mazao ya wakulima wakapata soko la uhakika na mwisho wa siku raia tukapata bidhaa kwa bei rahisi.
Na hilo ndo la msing .serikali isiangalie faida ya kodi itakayopata..inaweza isipate faida hyo ila ikatatua tatzo la ajira by the way hao wafanyakaz watakatwa Kod kwenye mishahara yao..faida ni nyiiing zaid ..waboreshe sera tu.isiwe ni maneno maneno meng. Kilimo kwanza sjui nn
 
Tatizo la wabongo ni lawama na maneno mengi vitendo hakuna,Na wazuri mno kutafuta mtu mmoja wa kummwagia lawama zoootee

Hakuna ubunifu bongo na akitokea mbunifu atawekewa kila aina ya vikwazo.

Watu wamebaki kupiga kelele na kulaumu mwendazake hivi mwendazake vile wamesahau mwendazake hajatawala tangu tupate uhuru mpaka sasa bali kwa awamu moja tu.

Asilimia kubwa ya viwanda bongo wamekamata wahindi nao wanapigwa vitana wabongo kwenye kuajiri vibarua pamoja na malipo
Kwa hiyo unaishauri nini serikali ya awamu ya 6
 
Hakuna ushauri zaidi ya kuunga mkono mkataba uliosainiwa hivi karibuni tujaze bidhaa za kenya madukani.Hata tukipunguza kodi bado tanesco hawana umeme rafiki. Nchi yetu hii unaweza sema nikiwa kiongozi mkubwa nitainyoosha,ingia kati sasa ujionee unabaki kubadili gia either uwe dikteta au uwe legelege na kuishia kuitwa dhaifu
Kwa hiyo unaishauri nini serikali ya awamu ya 6
 
Tatizo tulilonalo ni wawekezaji feki na nchi kukosa mipango, hivi hatujiulizi nchi kama Uganda, Zambia, Malawi kwanini ni ndogo lakini zinakuwa na sukari ya ziada kuuza Tanzania tena kwa bei ambayo hata viwanda vya Tanzania ni kubwa?
Kwanini sukari yetu ni kidogo na bei yake ni kubwa hayo ndio maswali tunayopaswa tujiulize sio tunasema tunalinda viwanda huku tunamkandamiza mlaji.
 
Serikali ingetoa msamaha wa kodi kwa viwanda vya sukari ili vizalishe sukari kwa wingi nchini!!pia ianzishe viwanda vingine vya sukari huku ikitoa pembejeo bure kwa wakulima wa miwa nchini!!Tatizo la sukari lingeisha kabisa!!!
Msamaha wa kodi ni hapana sababu sukari sio bidhaa muhimu, sana sana ianzishe viwanda vipya vya sukari.
 
Shida sio bidhaa kuingia nchini bali production costs na ufinyu wa wafanya Kazi.

Unatakiwa uweke mazingira rafiki zaidi yawe laize afare hususani kwenye bidhaa za kilimo hapo utawavuta wawekezaji.

Usipofanya hivyo ukazuia import mwisho wa siku hutapata unachokitaka na gharama ya bidhaa kwa raia itakuwa juu.

Viwanda kwenye sekta ya kilimo vinahitaji kubembelezwa,unaweza usipate faida ya kodi moja kwa moja ila ukapata faida ya ajira kwa watu na kuongeza thamani ya Mazao ya wakulima wakapata soko la uhakika na mwisho wa siku raia tukapata bidhaa kwa bei rahisi.
Serikali ya Tanzania ni kama bado haijaelewa Arthur Laffer's Curve ni nini.
 
Back
Top Bottom