Baada ya serikali kupiga marufuku wafanya biashara kupandisha bei ya sukari (4000tsh had 4500tsh), na badala yake bei elekezi ya 2800-3000 ifuatwe;
Mtaani kwetu Ubungo Kisiwani (External)bado bei hazijashuka hadi sasa, naomba kujua ni hatua gan serikali inachukua ili kuhakikisha pale bei elekezi inapotolewa, wafanya biashara waweze kuiadapt kwa wakati??
Mtaani kwetu Ubungo Kisiwani (External)bado bei hazijashuka hadi sasa, naomba kujua ni hatua gan serikali inachukua ili kuhakikisha pale bei elekezi inapotolewa, wafanya biashara waweze kuiadapt kwa wakati??