Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,594
- 25,719
Sukari Bongo wameifanya madawa ya kulevya wanaficha sukari baadae wengine wanapewa vibali magumashi wawaletee Watanzania Sukari kila mwaka hili jambo lazima litokee mwishoni mwa Mwezi wa kumi na mbili au mwezi wa kwanza wacha movie iendelee ndio kwanza tupo episode ya kwanza...