SUK yaigomea JMT kupelekwa FBI Zanzibar

Status
Not open for further replies.

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
19,177
31,971
Heshima kwenu wanajamvi,

Taarifa toka chini ya kapeti zinasema Serekali ya umoja wa kitaifa Zainzibar chini ya uongozi wa Dr Shein na makamu wa Rais Maalim Seif Shariff Hamad wameikatalia serkali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania chini uongozi wa Amiri jeshi mkuu Dr Jakaya Mrisho Kikwete kupeleka kikundi cha kijasusi Zanzibar kwaajili ya upepelezi mauaji ya Padre Mushi.

Habari zilizozagaa mitaani kwamba Rais Kikwete ameomba msaada wa mashirika ya kijasusi toka mataifa ya kigeni kusaidia upelelezi uenda zikakwama ikiwa serekali ya SUK itaendelea na msimamo wake.

Naomba kuwasilisha.
 
Lolote linawezekana hasa ukitafakari kauli ya Nchimbi kwamba mauaji ya Padri Mushi ni ugaidi na majibu ya Maalim Seif kuwa si ugaidi, kwa waliobahatika kumsikia Maalim katika upingaji wake alionekana kukerwa na kauli ya Waziri Nchimbi, kama ni kweli wamekataa FBI wasitie mguu znz hali hii itakuja na tafsri nyingine na haitakuwa nzuri kwa Serikali zote mbili.
 
Mkuu sifongo unajua Zanzibar walitengeneza katiba yao mpya ambayo kwa kiasi kikubwa inakiuka katiba ya JMT .Hili jambo limeshazungumzwa sana na Tindu Lissu bahati mbaya bunge la ******** wakalifinyanga finyanga.


Lolote linawezekana hasa ukitafakari kauli ya Nchimbi kwamba mauaji ya Padri Mushi ni ugaidi na majibu ya Maalim Seif kuwa si ugaidi, kwa waliobahatika kumsikia Maalim katika upingaji wake alionekana kukerwa na kauli ya Waziri Nchimbi, kama ni kweli wamekataa FBI wasitie mguu znz hali hii itakuja na tafsri nyingine na haitakuwa nzuri kwa Serikali zote mbili.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu Ritz leo nilikuwa napata supu mitaa ya Arusha City Park nilikaaa meza moja na afisa nyeti akawa anaropoka jinsi wazanzibar wanavyompelekesha Dr Kikwete hadi wanazuia maagizo yake ikiwemo hili la FBI kupelekwa Zanzibar.

Mkuu Ngongo,
Mbona tunaambiwa FBI tayari wapo Zanzibari.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sifongo unajua Zanzibar walitengeneza katiba yao mpya ambayo kwa kiasi kikubwa inakiuka katiba ya JMT .Hili jambo limeshazungumzwa sana na Tindu Lissu bahati mbaya bunge la ****** wakalifinyanga finyanga.

Mkuu ngogo,
Wewe ni kiongozi humu JF vijana wanajifunza kutoka kwako hebu andika vizuri jina la Spika.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sifongo unajua Zanzibar walitengeneza katiba yao mpya ambayo kwa kiasi kikubwa inakiuka katiba ya JMT .Hili jambo limeshazungumzwa sana na Tindu Lissu bahati mbaya bunge la******** wakalifinyanga finyanga.

Wacha tuone mnyukano wao utaishia wapi, si kila kinacholetwa na upinzani kwao ni kibaya, kwangu mimi la msingi haki ya Padri ipatikane sisa pembeni uwajibikaji kwanza......
 
Kwani hao fbi watakuwa na maandishi usoni ya kuwatambulisha kuwa ni fbi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkuu ngogo,
Wewe ni kiongozi humu JF vijana wanajifunza kutoka kwako hebu andika vizuri jina la Spika.

******** ndilo jina lake la kazi bungeni yaani yule mama msanii. Makinda nasikia jina lake ila imeshindikana: Nisamehe kujibu swali la Ngongo ni matumaini yangu ana majibu murua kuliko yangu
 
Mkuu sifongo unajua Zanzibar walitengeneza katiba yao mpya ambayo kwa kiasi kikubwa inakiuka katiba ya JMT .Hili jambo limeshazungumzwa sana na Tindu Lissu bahati mbaya bunge la*********wakalifinyanga finyanga.

Hapo ndipo Akina********* na kundi lake watakapoona Upinzani ni muhimu sana kusikilizwa wakati wote.

 
******* ndilo jina lake la kazi bungeni. Makinda nasikia jina lake ila imeshindikana kubainisha ni makinda ya ndege gani. Nisamehe kujibu swali la Ngongo ni matumaini yangu ana majibu murua kuliko yangu

Hayo mambo yakuwaita viongozi majina ya ajabu.
 
Ivi raisi wa ZNZ si anareport kwa JK?
Naona muungano sasa unaweza anguka rasmi!
Kama hawataki then waseme aliyemuua FR ni nani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom