Mimi najua wewe unamwita Padri binafsi sijalalamika, sijui jitihada za kukanusha mtu kuitwa Dhaifu ziliishia wapi?Hayo mambo yakuwaita viongozi majina ya ajabu watu wakianza kumuita Dr Slaa majina ya ajabu nyie ndiyo mnakuwa wa kwanza kulia lia.
logic ni kwamba hatuwezi kuwa tunaita wageni kuja kupeleleza kesi za mauaji kila zinapotokea.logic ya kuwakataa FBI iko wapi kama wanapokea misaada yao kila uchwao?
hawana ubavu wa kuikatalia JMT
WALE TUNAWEZA KUWAKUMBATIA AT ANY TIME
Mkuu Ngongo, hapo ni patamu sana. Mtu alimfuga chui na baadae chui akamtafuna mtoto wa mfugaji!Mkuu sifongo unajua Zanzibar walitengeneza katiba yao mpya ambayo kwa kiasi kikubwa inakiuka katiba ya JMT .Hili jambo limeshazungumzwa sana na Tindu Lissu bahati mbaya bunge la Mama Makinda wakalifinyanga finyanga.
Halafu tanzania nchi ya ajabu sana kuna wakati maafisa nyeti kabisa utakuta linaropoka bila kujua linaongea na watu gani? kuna jamaa mmoja usalama wa kikwete siku moja nimekaanae kwenye basi akaanza kumwaga siri za serikali huku yeye akijitambulisha mpaka anakotoa na ukoo wake wako wangapi yeye ni mtoto wa ngapi watu tuamsikiliza tu, binafsi mimi nilijiuliza hivi hawa ndiyo usalama wa kikwete anao wategemea....Mkuu wangu Ritz leo nilikuwa napata supu mitaa ya Arusha City Park nilikaaa meza moja na afisa nyeti akawa anaropoka jinsi wazanzibar wanavyompelekesha Dr Kikwete hadi wanazuia maagizo yake ikiwemo hili la FBI kupelekwa Zanzibar.
Mkuu Ngongo,
Mbona tunaambiwa FBI tayari wapo Zanzibari.
Mkuu uliwajuaje...lolwameshagawanywa tayari watano zenji, watano mtwara watano Dar na kumi watatembelea baadhi ya maeneo kuliko na hisia za machafuko niliwaona jana pale Makumbusho
Duh!kwa siku unamtaja mara ngapi Dr Slaa?Hayo mambo yakuwaita viongozi majina ya ajabu watu wakianza kumuita Dr Slaa majina ya ajabu nyie ndiyo mnakuwa wa kwanza kulia lia.
Heshima kwenu wanajamvi,
Taarifa toka chini ya kapeti zinasema Serekali ya umoja wa kitaifa Zainzibar chini ya uongozi wa Dr Shein na makamu wa Rais Maalim Seif Shariff Hamad wameikatalia serkali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania chini uongozi wa Amiri jeshi mkuu Dr Jakaya Mrisho Kikwete kupeleka kikundi cha kijasusi Zanzibar kwaajili ya upepelezi mauaji ya Padre Mushi.
Habari zilizozagaa mitaani kwamba Rais Kikwete ameomba msaada wa mashirika ya kijasusi toka mataifa ya kigeni kusaidia upelelezi uenda zikakwama ikiwa serekali ya SUK itaendelea na msimamo wake.
Naomba kuwasilisha.