Sugu Awapa Makavu Nape Na Kinana

Sugu Awapa Makavu Nape Na Kinana

Sugu mshamba sana kwani yeye ndiyo wa kwanza kujenga ghorofa Mbeya.

Alikuwa akijibu hoja kuwa yeye (sugu) si mpangaji kama ambavyo Nape amesema!

Si kujisifia kama unavyodhani, Sugu hawezi kulingana na wapigaji wa EPA hata kidogo!
 
Akili ndogo kama yako uwezi kuelewa Sugu alichomaanisha..Kajenga ghorofa la influence yake Mbeya
Wewe mkinga una akili fupi sana Nape hakumaanisha upangaji wa nyumba, Nape kamwambia Sugu ni mpangaji wa Jimbo.
 
Acha kuwa na kichwa cha njiwa anamaanisha ataendelea kuwa mbunge wa mbeya kwa muda mrefu sio mtu wa kupita kama asemavyo huyo mropokaji wa magamba


uko sawa mkuu, nami naamini Sugu alimuelewa Nape, hivyo amemjibu kwa kumaanisha kile alichokuwa anakizungumzia Nape(upangaji katika jimbo la Mbeya). Na hivyo Sugu amejibu kuwa yeye sio mpangaji isipokuwa amejenga ghorofa kwa maana ya mashiko aliyonayo kwa wana Mbeya ni vile ataendelea kudumu kwa kipindi kingine tena!
 
Sugu mshamba sana kwani yeye ndiyo wa kwanza kujenga ghorofa Mbeya.

Hujaelewa... Nape alisema ati Sugu ni mpangaji kwa maana kwamba ataondolewa jimboni wakati wa uchaguzi... Ametumia lugha ya picha kwamba kajiimarisha mno jimboni, Kama vile mtu anamiliki ghorofa na anaishi humo then unamwita mpangaji... FYI
 
Kweli Sugu elimu fupi, kuambiwa mpangaji Mbeya basi kwa akili yake kadhani ni upangaji wa nyumba.

Unaweza ukajifanya unauelewa kumbe ni wa kawaida! Na yeye Sugu akiwa ana maanisha ghorofa la kisiasa utakuja na matusi gani
 
Halafu kumbe ukikosa elimu ukakosa na elimu unakuwa huna maana kwenye jamii huyu sugu ni sawa na depe tupu.

nawe mwenye phd lakini uko kwenye chama kimezeeka<, nawe ukiwa kijana uzeeni utakuwa sijui mchawi visa versa
 
Sugu kwa elimu yake na upeo wake mdogo, hakutegemea kuwa siku moja atakuwa mbunge.

shangaa sasa.,ccm kuna watu vichwa sana lakini wameshindwa kuizima hii akili ndogo mpaka ikachukua jimbo tena jijin penye mkusanyiko wa elimu kubwa. unaweza kuielezea hii vizuri,ni kwanini sugu alishinda lile jimbo?
 
Alichomaanisha sugu ni kuwa kama wanasema yeye ni mpangaji basi yeye si mpangaji bali amejenga ghorofa akimaanisha amejizatiti .hamaanishi ghorofa nyumba
 
Pamoja na maneno yako ya kifedhuli Sugu akija jimboni kwako na wote mkaitisha mikutano Sugu atakomba nyomi la watu wewe labda utaambulia fisi.

Halafu kumbe ukikosa elimu ukakosa na elimu unakuwa huna maana kwenye jamii huyu sugu ni sawa na depe tupu.
 
Sugu mshamba sana kwani yeye ndiyo wa kwanza kujenga ghorofa Mbeya.

Lugha ya picha hiyo mkuu/symbolism "mpangaji" vs "kujenga ghorofa" on ua own land. Biidisha kichwa chako kufikiri utaelewa tafsiri yake.
 
Sugu amejeruhiwa vibaya sana na ziara ya hivi karibuni ya Kinana na Nape Mbeya, lazima akorome sana.
 
Hivi kumbe wewe umeelewa ghorofa katika maana ya kawaida mimi nilifikiri ni lugha ya picha>

Mvivu wa kufikiri huyo ndio maana amekimbilia kumwita Sugu kuwa ni mshamba pasipo kujua tafsiri ya mpangaji na kujenga ghorofa ilivyotumika katika kauli hizo za Nape na Sugu
 
Halafu kumbe ukikosa elimu ukakosa na elimu unakuwa huna maana kwenye jamii huyu sugu ni sawa na depe tupu.

Amesema amenga ghorofa Mbeya na sio mpangaji kama alivyosema Nape. Changia hoja na sio kuleta vioja! This is home of great thinkers!
 
Back
Top Bottom