wazagamba nkoko
JF-Expert Member
- Nov 23, 2021
- 392
- 998
Bashiru Ali kasema hadharani bila kupepesa macho wala haya kusema kinachofanyika kwa wakulima wadogowadogo si sahihi na kuna haja ya watawala kufanyia kazi mtazamo wake,sio kutumia nguvu kuzima hoja yake,tena kwa kumkejeri.
Ni wachache nchi hii wenye uthubutu wa kuzungumza kama alivyofanya Bashiru,wengi huishia kusemea vichochoroni
Tujikumbushe kina, Kinana, January, Nape na Kina Ngereja, huyu katoka hadharani kabisa.
Hapa ndio unajua sifa ya CCM ni Majungu, ili tuvuke kuna haja ya chama hiki kupasuka mapande mawili ili nchi ikomboke,kwa gharama yoyote ile.
Mambo yanakwenda ndivyo sivyo,
Nakumba Spika wa bunge,Tulia Ackson alisikika huko mbeya akihamasisha vijana msema vibaya rais Samia washughulikiwe,hakukua na response yoyote toka kwa wanaccm ingawa kushughilikiwa kwa vijana hao haikufafanuliwa.
Bashiru kasimama na wakulima wadogowadogo kupambania haki zao kaonekana adui mkubwa kwa taifa.
Je, ndani ya CCM hakuna kukosoana? Hii ndio imefanya Luhaga Mpina kuenguliwa unec? Miompinga Magufuli mnatouti gani naye?
Nakumbuka wana-CCM mlishindwa kuvaa sare zenu hadharani, mkaokolewa na mwendazake, kaacha kawaimarisha mnarudi kulekule.
Mwisho namuomba Bashiru Ali aishee ile ripoti ya mali za CCM kabla hawajamkolimba,ili ccm wapinzani tutaitumia wakati wa kampeni za hawa majizi CCM kuyakosesha mvuto na kura kwa wananchi, yakilazimisha ushindi safari hii nchi iingie kwenye machafuko tu ili tuheshimiane.
Ni wachache nchi hii wenye uthubutu wa kuzungumza kama alivyofanya Bashiru,wengi huishia kusemea vichochoroni
Tujikumbushe kina, Kinana, January, Nape na Kina Ngereja, huyu katoka hadharani kabisa.
Hapa ndio unajua sifa ya CCM ni Majungu, ili tuvuke kuna haja ya chama hiki kupasuka mapande mawili ili nchi ikomboke,kwa gharama yoyote ile.
Mambo yanakwenda ndivyo sivyo,
Nakumba Spika wa bunge,Tulia Ackson alisikika huko mbeya akihamasisha vijana msema vibaya rais Samia washughulikiwe,hakukua na response yoyote toka kwa wanaccm ingawa kushughilikiwa kwa vijana hao haikufafanuliwa.
Bashiru kasimama na wakulima wadogowadogo kupambania haki zao kaonekana adui mkubwa kwa taifa.
Je, ndani ya CCM hakuna kukosoana? Hii ndio imefanya Luhaga Mpina kuenguliwa unec? Miompinga Magufuli mnatouti gani naye?
Nakumbuka wana-CCM mlishindwa kuvaa sare zenu hadharani, mkaokolewa na mwendazake, kaacha kawaimarisha mnarudi kulekule.
Mwisho namuomba Bashiru Ali aishee ile ripoti ya mali za CCM kabla hawajamkolimba,ili ccm wapinzani tutaitumia wakati wa kampeni za hawa majizi CCM kuyakosesha mvuto na kura kwa wananchi, yakilazimisha ushindi safari hii nchi iingie kwenye machafuko tu ili tuheshimiane.