View attachment 51489Kamandaaaaa.....
akili za lumumba street ni problem sana.
Huyo dada mrembo pembeni yake ndiyo mke wake Sugu?
Jamaa yaelekea anapenda sana hiyo mambo...akili za lumumba street ni problem sana.
Ndio mana nimeuliza kamanda,sijaelewa
du asije akamkanumba maana alivyomrembo...sugu anaonekana anaaga mkono unaweka sawa mambo kusini...alafu ipigwe simuNadhani ndio "LULU" wake na yeye,mana hajaoa bado
Jamaa yaelekea anapenda sana hiyo mambo...
Anatoa heshima za mwisho.