Kwa ninavyowajua hao Wanyarwanda, pindi wakifaham kuwa wanagombewa mahali, huwa wanajiinua sana na kuwachuna kisawasawa. Mkuu hajapata mwingine. Take it from me. Mpe mtihani, leo. Mwambie kuna vijisenti vinakusumbua na unaomba umtoe out this weekend. Mwambiye unataka mwende mbali kidogo popote unapopajua umwonyeshe nchi yako ilivyo nzuri. Mwambiye asichukue chochote wewe unatosha. Kama ana mtu, si atakuambia?? Nakuhakikishia, kabla hujamalizia sentensi atakuwa kishajib