Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 3,177
- 2,546
If me I were you, siwezi hata kumtamkia namtaka au nampenda but atajikuta tu yeye ndo anabwabwaja yote hayo. Na mzigo ananipa ndio anaanza kuhangaika ooo mi nakupenda...naulaje ndugu? tupeane techniques maana nimejaribu sana, nikamwambia anipe chance even a minute nimhug na vitu vyetu vileee, akaniuliza ntafeel je kama nina girlfriend akafanya ivyo kwa boy mwingine?
Ji evaluate mkuu