Subaru Forester ina matatizo gani?

Subaru Forester ina matatizo gani?

James Kasonda

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
84
Reaction score
49
Nataka kununua gari ya Subaru Forester. Naomba mtu mwenye uzoefu na hiyo gari aniambie mazuri na mabaya yake.
 
Nataka kununua gari ya Subaru Forester. Naomba mtu mwenye uzoefu na hiyo gari aniambie mazuri na mabaya yake.

Hizo gari nyingi ni sport car,hivyo consumption sio nzuri kama wewe ni mjasiriamali.Pamoja na uhaba wa spea unafanya bei za spea kua juu!
 
kwanza lenyewe jina tu ni tatizo halafu +mafuta lazima uwe rafiki na shell na tafuta kabisa fundi mapema maana utakuwa unaenda kwake kila mara
 
Kweli kuuliza si ujinga, ujinga ni kutokuuliza! Nashukuru sana kwa maoni yenu. Hiyo gari siigusi hata kwa kidole, loooh!!!

Mkuu jitose tu! Maisha yenyewe mafupi haya, raha jipe mwenyewe... Ukitaka Durable car basi agiza 0-mileage Subaru Forester.... Unafikiri kwanini waarabu wanapenda sana hayo magari? The main reason ni uniqueness, siyo lazima wote tuendeshe Toyota Brands... Go mkuu, Go!!
 
Kigari sikipendi sijui kimekaaje? Hata bure sitaki.
 
am also planning to buy subaru forester, i have got scared a bit...i think it is a nice car if we talk about the expensiveness of it....you cant find a nice thing at a cheap price.
 
Subaru forester has a very unique drive experience. U will enjoy it. Consumption sio ya kutisha kiivyo but huwezi kuilinganisha na toyota saloon, but from my experience its better than rav4 or noah. If u take a good care of it, u shud not worry about spare.

Nashukuru kwa kitia moyo. Nafikiri hatupaswi kuogopa sana bei za spare kwa sababu sio kila kukicha unabadilisha spare ya gari. Wenzetu wanasema if you use it take care of it. If you take care of it, it is going to last longer.
 
Nashukuru kwa kitia moyo. Nafikiri hatupaswi kuogopa sana bei za spare kwa sababu sio kila kukicha unabadilisha spare ya gari. Wenzetu wanasema if you use it take care of it. If you take care of it, it is going to last longer.

Ukilinunua tengeneza na kibanda cha makumbusho maana haliuziki
 
kuna watu wanakatisha tamaa kila kitu kitu ukiandika utaambiwa inakula mafuta,anunue starlet basi
 
nenda Ilala na Gerezani kaulize kama wana sidemirror ya Subaru Forrester ,ukipata uliza bei kama ni chini ya laki nne,nunua hiyo gari
 
Spare zake hazipatikani kirahisi.

Kwani ananunua ili akatengeneze? Mdau gari yoyote ile ni Matunzo tu Subaru iko poa wasikutishe utaenjoy mwenyewe na roho yako ukiendesha kama wewe ni mpenzi wa Magari shida yetu wabongo tumekariri gari za Toyota Tu
 
Watu wengi wanasema Suzuki ni gari nzuri kwa kila kitu. Wengine mnasemaje?
suzuki???what a nice car,kwanza ngumu,spare ziko available,mafuta inafanya kunyonya kdg tu
AERIO,SWIFT AU HATA KID
 
Back
Top Bottom