Subaru Forester ina matatizo gani?

Subaru Forester ina matatizo gani?

Mkuu kwa distance ya Mbagala tu ubungo kwenda na kurud about 60km!!!!!!!!!!!!
Approximately inatembea km 14-15 kwa lita. Kwa hiyo mafuta ya 10000 yanatosha. Sema inapotokea bei za mafuta zimepanda ndiyo huwa ni shida kidogo.
 
suzuki???what a nice car,kwanza ngumu,spare ziko available,mafuta inafanya kunyonya kdg tu
AERIO,SWIFT AU HATA KID
watu ni waoga sana eti...oooh mara hamna spare...ohhh sijui inakula mafuta...oooh....sijui...nini na nini gari ni kujipanga tu..mim nampango nivute Landrover LR3 inakunywa mafuta si mchezo...4.0 petrol...2.7 Diesel lakini atleat hiyo ya 4.0 kama unapenda kitu gharamia tu...kwani shgapi....
 
Kaka kama unapesa za mawazo ikimbie mbali hiyo gari jichukulie Toyota. Kwanza kama ukinunua jua ni yako hiyo hadi inakufia. Mbili kuna rafiki yangu inayo auto imeng'ang'ania gia no. 3 na mbaya zaidi yupo mkoani mafundi wote huko wamechemsha kampata mmoja hapa Dar ratiba yake mpaka March na awe na 3 M cash hapo bila spare. Now anafugia kuku tu. huo ni ushauri wangu.

Hilo swala la gia kukwama namba 3 dogo sana. Ni ishu ya sensor tu anabadili kitu inakuwa sawa.
 
suzuki has very strong body afu consuption ya mafuta ni kidogo sana ikiwa mpya na hata ikichoka,sparez zake hupatikana kilahisi sana na mafundi wake wako wengi,inadumu hata ukipiga root za rough road<
 
Mtu asieifahamu hii gari hawezi kuipenda. Ina handling nzuri, traction control nzuri, torque yake ni kubwa, etc. Spare parts zake ni durable. Ulaji wake wa mafuta ni mzuri usipoivuta. Ila ukiwa unapenda kukimbia na kuifungua turbo kila mara itakupa average ya 8km kwa lita moja. Gharama za spare parts sio tatizo, it is a very nice car. Nairobi wanauza spare zake bei nafuu.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
kwa bongo hizi gari zilichelewa kuingia, ila kwa wenzetu kenya ni nyingi and they like them, swala la spare parts ni lazima kwa bongo tutegemee kuwa vigumu kupatikana make dealers wasingeleta spere bila kuona demands,now expect spare kupatikana na for reliable price kwa sababu waliojaliwa kuziendesha hapa bongo hawatakaa wakaenda kutafuta toyota kamwe.
 
Kaka kama unapesa za mawazo ikimbie mbali hiyo gari jichukulie Toyota. Kwanza kama ukinunua jua ni yako hiyo hadi inakufia. Mbili kuna rafiki yangu inayo auto imeng'ang'ania gia no. 3 na mbaya zaidi yupo mkoani mafundi wote huko wamechemsha kampata mmoja hapa Dar ratiba yake mpaka March na awe na 3 M cash hapo bila spare. Now anafugia kuku tu. huo ni ushauri wangu.

Mkuu, huyo jamaa yako anapatikana wapi, nataka niinunue hiyo Forester anayofugia kuku!
 
suzuki???what a nice car,kwanza ngumu,spare ziko available,mafuta inafanya kunyonya kdg tu
AERIO,SWIFT AU HATA KID
NAMBIE NATAKA KUNUNUA HII GARI SUZUKI YA 2004 NINAWEZA IPATA KWA BEI GANI ,CONSUPTION YA FUEL ,NAWEZA IUZA NIKIICHOKA,SPEA ZAKE ZIKOJE NA MATATIZO YAKE YAKO WAPI UTANISAIDIA SANA NDUGU MAANA NATAKA NIICHUKUE
IKO HIVI
2004_suzuki_grand-vitara_4dr-suv_lx_fq_oem_1_500.jpg
 
NAMBIE NATAKA KUNUNUA HII GARI SUZUKI YA 2004 NINAWEZA IPATA KWA BEI GANI ,CONSUPTION YA FUEL ,NAWEZA IUZA NIKIICHOKA,SPEA ZAKE ZIKOJE NA MATATIZO YAKE YAKO WAPI UTANISAIDIA SANA NDUGU MAANA NATAKA NIICHUKUE
IKO HIVI
2004_suzuki_grand-vitara_4dr-suv_lx_fq_oem_1_500.jpg
Nipe jina lake nimeshindwa kufungua picha,natumia simu tekno(mchina)
 
Nunua subaru usiogope,kuna subaru za aina mbili,kuna sport car na subaru ya kawaida kama zilivyo aina zingine za magari.Kama ni sport car hapo sasa mafuta itakuwa issue lakini kama ni subaru foresta kama ulivyosema ni gari ya kawaida jipinde chukua.Inakula mafuta kama gari zingine tu.
 
ndugu yangu hiyo gari ninayo na ninainjoi nikiwa nayo barabarani tatzo ni speatu kuzpata inakuwa shda xanaa
 
Back
Top Bottom