Rock City
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,266
- 505
Kwa sasa natumia Suzuki Grand, ni gari imara sana sana na inapita popote. Ila inakula sana mafuta maana ni 24 valve, 70% ya matumizi yangu ni kwenye rough roads na hata mbugani zapita bila shida ikitumia 4wd.Ina range between 16-18m mkuu,fuel consumption iko moderate,spare zinapatikana
kuhusu ugumu utaichoka mwenyewe...inshort it is a good carView attachment 90965