Subaru Forester ina matatizo gani?

Subaru Forester ina matatizo gani?

Ina range between 16-18m mkuu,fuel consumption iko moderate,spare zinapatikana
kuhusu ugumu utaichoka mwenyewe...inshort it is a good carView attachment 90965
Kwa sasa natumia Suzuki Grand, ni gari imara sana sana na inapita popote. Ila inakula sana mafuta maana ni 24 valve, 70% ya matumizi yangu ni kwenye rough roads na hata mbugani zapita bila shida ikitumia 4wd.
 
wapendwa, je Nissan X-Trail mnaionaje wenzangu, maana naona kma nataka kuipata
 
Hiv unaijua Rav4 kweli mkuu.
U cant b serious here
I am driving 2005 Subaru Forester it is the best compared to Rav4... ina 177hp wakati Rav4 haizidi hata 160hp. Ina balanced 4WD sehemu ambayo gari nyingine yoyote inaweza tereza kwenye matope Subaru inapita inaweza sense tairi ipi inatereza na kuhamishia power kwenye tairi nyingine. In addition it is a boxer engine means ni very stable car huewezi compare kabisa na Rav4.
 
I am driving 2005 Subaru Forester it is the best compared to Rav4... ina 177hp wakati Rav4 haizidi hata 160hp. Ina balanced 4WD sehemu ambayo gari nyingine yoyote inaweza tereza kwenye matope Subaru inapita inaweza sense tairi ipi inatereza na kuhamishia power kwenye tairi nyingine. In addition it is a boxer engine means ni very stable car huewezi compare kabisa na Rav4.
Yeah uko sahihi kabisa mkuu! Hizi ngoma zimekaa poa sana...yan unajiona unaendesha gari.
Liko vizuri kwa kila kitu...!
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza,subaru forester ni gari moja nzuri sana tunaitumia hapa hm since 2009 na inakila safari za dar mbeya karibu kila mwezi.
Kiujumla hii gari ipo viziri sana ulaji wake wa mafuta sio wa kutisha ni kama mark 2 grand nimefananisha na hii coz zote nazifahamu vizuri.Spare zipo nyingi tu sio kama miaka ya zamani.
Kwa ufupi nakishauri ununue!!!!!!
 
we achana na Forester inapiga wese balaa m nnayo Forester Cross Sports inapiga lita 1 kwa kilometa 6.25
 
I am driving 2005 Subaru Forester it is the best compared to Rav4... ina 177hp wakati Rav4 haizidi hata 160hp. Ina balanced 4WD sehemu ambayo gari nyingine yoyote inaweza tereza kwenye matope Subaru inapita inaweza sense tairi ipi inatereza na kuhamishia power kwenye tairi nyingine. In addition it is a boxer engine means ni very stable car huewezi compare kabisa na Rav4.

Mkuu ukiilingalisha Rav4 Vs subaru forester watakucheka,hizo gari ukianzia durability,ability,na egonomics Rav4 is always the best na ndio maana inauzwa ghali sana kulingana na subaru.alafu kama unataka "hp" hizi gari sio kazi yake,tafuta landrover,landcruiser n.k ndio maana kwa mtumiaji wa subaru au rav4 kwa mwaka mzima anaweza hata asiitumie hiyo max power ya hizo gari.
kama unanunua buggati yenye speed hadi 420 alafu kwa mwaka mzima ukijitahidi sana unaishia 180 sasa ni ya nini??
 
Subaru Forester ni Gari nzuri sanaa nimeitumia kwa Muda mrefu sasa na sijaona tatizo lake lolote. Durable, powerfull, Spacious. Spare parts zinapatikana na bei ni kawaida tuu sio kama watu wanavyosema. Consumption ni kawaida kama magari mengine.
 
Subaru Forester ni Gari nzuri sanaa nimeitumia kwa Muda mrefu sasa na sijaona tatizo lake lolote. Durable, powerfull, Spacious. Spare parts zinapatikana na bei ni kawaida tuu sio kama watu wanavyosema. Consumption ni kawaida kama magari mengine.
Asante kwa ushuuda
 
Mkuu jitose tu! Maisha yenyewe mafupi haya, raha jipe mwenyewe... Ukitaka Durable car basi agiza 0-mileage Subaru Forester.... Unafikiri kwanini waarabu wanapenda sana hayo magari? The main reason ni uniqueness, siyo lazima wote tuendeshe Toyota Brands... Go mkuu, Go!!
Unajua mafuta kwa waarabu bei gani
 
Back
Top Bottom