Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,179
- 34,434
Yes sir.Ooooh!Really??
Yes sir.Ooooh!Really??
Waarabu wa hapa bongo wanavisima vya mafuta majumbani mwao????Unajua mafuta kwa waarabu bei gani
bito ni vw mkuu
Ukilinunua tengeneza na kibanda cha makumbusho maana haliuziki
Gari inaweza kuwa mbaya au nzuri kutokana na matumizi yako na uelewa wako kuhusu Magari...... watu wengi tunanunua magari kwa kuwa fulani kanunua au kwa kuwa ndio iko kwenye fashion au kwakuwa balance yako inakulimit any one saying Rav 4 is better than Subaru hajui anachoongea uzuri wa gari na ubora wa gari haupimwi kwa bei. Operating conditions is one of the factors that can affect durability hence life span ya any machine not on cars. Watanzania we never consider technical factos tunaongozwa na hisia then tunalaumu magari kumbe wewe ndio uliachuagua kitu ambacho sio size yako.Mkuu ukiilingalisha Rav4 Vs subaru forester watakucheka,hizo gari ukianzia durability,ability,na egonomics Rav4 is always the best na ndio maana inauzwa ghali sana kulingana na subaru.alafu kama unataka "hp" hizi gari sio kazi yake,tafuta landrover,landcruiser n.k ndio maana kwa mtumiaji wa subaru au rav4 kwa mwaka mzima anaweza hata asiitumie hiyo max power ya hizo gari.
kama unanunua buggati yenye speed hadi 420 alafu kwa mwaka mzima ukijitahidi sana unaishia 180 sasa ni ya nini??
Sio kweli...pia spare zinapatikana tu nina mwaka wa 5 natumia subaru forester ya mwaka2004 cross sport manual, spare zake ni ghali kidogo lakini ukibadilisha utasahau kwa sababu fake zake hazipo sana unapata OG. Ulaji wa mafuta sio kivile sana kama tunavyotishana humu very stable barabarani ...Nunua zako subaru wala usiogopeUkilinunua tengeneza na kibanda cha makumbusho maana haliuziki
Wala haina haja ya kuzifuata Nairobi saiv spare zipo org kabisaaa dar na arusha sio kwingine bali duka la Subaru genuine parts.Subaru ni gari nzuri sana hasa kama wewe ni mtu unayependa mashindano barabarani kwa maana huwa inakimbia sana maana hata speed 120 kwenye kona wala haina shida, pia spea zake ni durable maana zote ni ORG hakuna feki ila
1. Spea utazifuata NAIROBI
2. Usicheze mbali na PETROL STATION.