Suala vifurushi vya huduma za simu kupanda bila taarifa, nani anafaidika?

DON YRN

JF-Expert Member
Jan 14, 2019
474
999
Ni kweli enyi wana CCM, sisi wananchi ni mitaji yenu na wala hatuna cha kuwapangia na hatuwezi kuwafanya chochote. Kama sisi ni mitaji yenu, basi jaribuni kuilinda ili biashara isije tetereka.

Leo nimejaribu kununua kifurushi kwenye mtandao ninaopenda, nilichokutana nacho kinakatisha tamaa.

Leo hii wananchi tunalalama kupanda kwa bei ya sukari na bidhaa zingine muhimu lkn inatokea tu mwananchi anatwikwa mzigo mwingine ili mradi baadhi ya wana CCM wanatunisha mifuko yao na mwananchi anabaki hana mtetezi.
 
Kisheria,
Makampuni yanatakiwa kuuza mb moja kwa kati ya sh 2-9,

Vifurushi ni offer tu, wanaipanga watakavyo, hawabanwi na sheria yeyote, wakiamka kesho wakiamua waifute ni sawa, wakisema kesho kutwa kwa buku upate Mb 200 ni sawa mana wapo kisheria,

Mwendazake alizingua kutuletea hii sheria
 
Back
Top Bottom