Suala la posho za wabunge

330,000.Tshs ????? That is take home salary for normal government employee who work hardly under harsh environment per Monthly. Those MPs what are they doing which is so special!!!! to sit down and to pass the law?? duh!!!!!
 
nimesikitishwa na mchango legelege wa mawazo kutoka kwa Mnyika na nimesikitishwa zaidi na mbunge Selasini ambaye ameunga mkono posho mpya na kumshutumu Zitto. Hao wa CCM walishanisikitisha zamani, lakini hata hawa?
 
330,000.Tshs per day????? That is take home salary for government employee who work hardly under harsh environment per Monthly. Those MPs what are they doing which is so special!!!! to sit down and to pass the law?? duh!!!!!
 
nasubiri jioni nimsikilize kibonde ataongea nini...kuhusu hili jana alini boa kweli ...
 
Pinda: MPs’ allowances have Kikwete’s blessings

President Jakaya Kikwete has reportedly blessed the increase in seating allowances for Members of Parliament from Sh70,000 to Sh200,000 per day. This was said yesterday by Prime Minister Mizengo Pinda, when supporting a statement by the Speaker of the National Assembly, Ms Anne Makinda, during a charged briefing session of the MPs ahead of their session which starts here this morning.

Sources from within the closed-door meeting said the two senior leaders were forced to stand and give the clarification following a heated exchange among lawmakers who were divided in two camps, with a majority of them supporting the pay increase. Sources told The Citizen that Mr Pinda told the MPs that the President had okayed the new allowances following an exchange between Mr Zitto Kabwe (Kigoma North-Chadema) and Juma Nkamia (Kondoa North -CCM).

The exchange ensued after Mr Nkamia blamed Mr Zitto for acting as if he was the President’s spokesman by stating publicly that State House had not sanctioned the new allowances. But Mr Zitto defended himself, saying that according to regulations, if the President sanctioned any changes to MPs’ entitlements, he was supposed to do so in writing.

“But I have not received any such directive, just like Mr Nkamia or any other MP. How can I support sitting allowances that have not received explicit authorisation from the President?” queried Mr Zitto. This prompted Ms Makinda to rise and tell the meeting that the President’s office had allowed the application to up the sitting allowances.

When some MPs showed that they still doubted the Speaker’s statement, Mr Pinda stood and assured the meeting that President Kikwete had indeed assented to the new allowances but had advised Parliament to know “how it might deal with the issue.” He did not explain.

Sources said further that after the announcement by Mr Pinda a majority of MPs pounced on the few who were against the increase of allowances, notably Mr Zito Kabwe, Mr January Makamba (Bumbuli-CCM) and Dr Hamis Kigwangala (Nzega-CCM), and branded them rebels for publicly denouncing the allowances.

After the increase, an MP will now be entitled to Sh330,000 each day he attends a House session. This would translate to Sh200,000 sitting allowance, Sh80,000 per diem and Sh50,000 for fuel.

Source: Pinda: MPs
Faiza Foxy, Ritz please commentF!!!
 
Tukopamoja wapiganaji wetu nafikiri nchi hii wanasiasa wake wengi ni VIBARAKA wa UBEBERU hawako tayari kuona Tanzania ikijikomboa TUTAPAMBANA NAO mpaka kieleweke.

Pinda: MPs’ allowances have Kikwete’s blessings

President Jakaya Kikwete has reportedly blessed the increase in seating allowances for Members of Parliament from Sh70,000 to Sh200,000 per day. This was said yesterday by Prime Minister Mizengo Pinda, when supporting a statement by the Speaker of the National Assembly, Ms Anne Makinda, during a charged briefing session of the MPs ahead of their session which starts here this morning.

Sources from within the closed-door meeting said the two senior leaders were forced to stand and give the clarification following a heated exchange among lawmakers who were divided in two camps, with a majority of them supporting the pay increase. Sources told The Citizen that Mr Pinda told the MPs that the President had okayed the new allowances following an exchange between Mr Zitto Kabwe (Kigoma North-Chadema) and Juma Nkamia (Kondoa North -CCM).

The exchange ensued after Mr Nkamia blamed Mr Zitto for acting as if he was the President’s spokesman by stating publicly that State House had not sanctioned the new allowances. But Mr Zitto defended himself, saying that according to regulations, if the President sanctioned any changes to MPs’ entitlements, he was supposed to do so in writing.

“But I have not received any such directive, just like Mr Nkamia or any other MP. How can I support sitting allowances that have not received explicit authorisation from the President?” queried Mr Zitto. This prompted Ms Makinda to rise and tell the meeting that the President’s office had allowed the application to up the sitting allowances.

When some MPs showed that they still doubted the Speaker’s statement, Mr Pinda stood and assured the meeting that President Kikwete had indeed assented to the new allowances but had advised Parliament to know “how it might deal with the issue.” He did not explain.

Sources said further that after the announcement by Mr Pinda a majority of MPs pounced on the few who were against the increase of allowances, notably Mr Zito Kabwe, Mr January Makamba (Bumbuli-CCM) and Dr Hamis Kigwangala (Nzega-CCM), and branded them rebels for publicly denouncing the allowances.

After the increase, an MP will now be entitled to Sh330,000 each day he attends a House session. This would translate to Sh200,000 sitting allowance, Sh80,000 per diem and Sh50,000 for fuel.

Source: Pinda: MPs
 
Sikutaka kuamini kwamba serikali ya ccm chini. ya ya jk na pinda imeridhia nyongeza ya posho za wabunge toka elfu 70 mpaka laki 2 kwa siku mpaka niliposkia habari hiyo ktk takriban magazeti yote asubuhi hii.

Ikumbukwe kwamba haya yanafanyika ktk kipindi ambacho serikali hiyohiyo imewanyima posho madaktari hata wasio na mishahara kama interns. Je, kwa stahili hii ya serikali tatizo la nchi yetu ni umaskini? Serikali basi iache kusingizia umaskini na iseme ukweli kuwa nchi inazo hela za wanasiasa na si wananchi wengineo.

Ikumbukwe pia kuwa awali JK alikataa kusaini nyongeza hiyo akidai hali ni mbaya kwa wote, bila shaka wakiwemo madaktari. Je, sasa hali imeboreka kwa wengine mpaka aridhie kwa wanasiasa hao tu?

Mungu ibariki Tanzania, Mungu iepushe na ccm.
 
Without justice – Government is nothing but a band of robbers
 
Tukopamoja wapiganaji wetu nafikiri nchi hii wanasiasa wake wengi ni VIBARAKA wa UBEBERU hawako tayari kuona Tanzania ikijikomboa TUTAPAMBANA NAO mpaka kieleweke.

kwa maneno na kuandika JF pekee?

Mimi naamini ukombozi umekaribia. umekaribia kiihivi, iwapo POLICE, MAGEREZA, WALIMU, JWTZ, na watumishi wengine watasimama wajihoji mishahara yao, naamini kesho tu wote watakuwa wamegoma kuwaunga madaktari jitihada za kujikomboa. Polisi wataingia kazini lakini kusign na kuondoka, walimu pia wafanye hivyo, polisi wakitumwa kwenda kuwapiga walimu, madaktari wanaogoma, ndo kwanza wao wanawalinda kama mpaka kwa rais wafike bila mtu yeyote kuwabugudhi. tukifanya hivyo kila mtu na nafasi yake, lazima kieleweke
 
zitto alichofanya kama taarifa yako ni sahihi ni chema sana. Lakini kusema wabunge wote wanamtukana, nadhani ni vema ukafafanua walikuwa wakina nani. Ina maana hata wabunge ambao yeye ni N/katibu mkuu wao wamemtukana? Hebu nyoosha maelezo!

ndugu yangu baadhi ya wabunge wa CHADEMA akiwamo hata mbowe wanamuona ZITTO ni threat kubwa sana kwao, wanamchokonoa huku na huku kutafuta ubaya wake, but the boy is very smart katika baadhi ya maeneo alipozunguzmzia suala la kufutwa posho za wabunge hakuna mbunge yeyote wa chadema aliyesimama kumtetea , nimependa kauli yake moja kwa wabunge kuwa they are thinking small, ni vema mkaangalia sana hatma ya watanzania na siasa hizi tulizonazo
 
Upole wetu, unyonge wetu vimetufikisha hapa tulipo.We don't act but tunaishia kusema tu.
 
Chanzo gazeti la Citizen!hiki ni kiburi cha wanasiasa kujiona wao ni bora!!katiba mpya bora tusiwe na bunge faida yao kwa watanzania ni ndogo sana kuliko faida.5
hawa nao si malaika reaction inapaswa ichukuliwe dhidi ya bunge lote na serikali yake
 
Sasa hapo unadhani rushwa kwenye kampeni za ubumge zitaisha!! watatoa tu rushwa kwa wingi kwani akishashinda anajua pesa zake zitarudi. Hata moyo wa wananchi kujitolea kuchangia maendeleo utapungua zaidi sasa. Inasikitisha sana!!
 
Hapa sijui FF,MS na Rejao watasemaje,hv watanzania tutalalamika mpaka lini kwa nn tusiingie barabarani?
 
Ndugu zangu mabadiliko yako mikononi mwetu kusema laukweli tokea huyu jamaa aingie ikulu sijao chamaana zaidi ya kujiongezea posho...
 
Back
Top Bottom