hawajali lolote hawa
Kupitia ongezeko hili la Posho leo nimeitumbukiza chooni kadi yangu ya CCM yani naona 2015 mbali kwa nn tusifanye kama Tunisia!!Hivi hawa CCM -- kwa nini wanahangaika sana kutafuta sababu ya kukimbiwa kwa chama chao? nani atakipenda tena chama hicho? sasa hivi tutaanza kushuhudia siyo tena wizi wa kura, bali unyang'anyi wa kura!
nasubiri jioni nimsikilize kibonde ataongea nini...kuhusu hili jana alini boa kweli ...
kwa Taarifa zisizo na shaka toka chanzo maalumu, suala la posho za wabunge limeleta mtafaruku katika kikao cha wabunge kupata muhutasari wa kitakachojadiliwa bungeni.kikao hicho kinaendelea sasa hivi. Muda huu wabunge wote wameungana kumtukana ZITTO ambaye ametoa hoja posho zifutwe madaktari walipwe, kuanzia SPIKA hadi PINDA wote wanamuattack ZITTO na wengine kadhaa wanamtukana JANUARI MAKAMBA.
nitawapasha kitakachoendelea, ZITTO kawaambia hamnifanyi lolote na ukweli ndo nishawaambia hivyo.