Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,473
- 19,269
yap, hivyo vifungu nimewapeni vishikeni ili siku nyingine msipoteze muda kubishana na upepo.Tupo tunasubiri.... hii kesi tutajifunza mengi.
yap, hivyo vifungu nimewapeni vishikeni ili siku nyingine msipoteze muda kubishana na upepo.Tupo tunasubiri.... hii kesi tutajifunza mengi.
Hebu fafanua vizuri.... kama inaruhusiwa kuingia na material za ku-refresh memory? Tatizo ilikuwa ni nini mpaka kukawa na utata? Na kama ni clear kwamba inaruhusiwa, kwanini Jaji aone umuhimu wa kusimamisha proceedings kupisha hili jambo?yap, hivyo vifungu nimewapeni vishikeni ili siku nyingine msipoteze muda kubishana na upepo.
hiyo diary na kalamu vilikamatwa toka kwa shahidi. na section 168 na 169 ya TEA cap.6 haikatazi mtu kuwa na diary au kalamu pale kizimbani kwasababu kuna wakati huwa anaweza kuomba kuperuzi kumbukumbu alizowahi kuziandika kabla huko nyuma. ndio maana alikuwa na diary. hivyo vifungu ndio vinasema hivyo kama huelewi kimombo.
Maelezo yangu juu yanajitosheleza na Jaji atazingatia vifungu hivi. Muhimu ni kuwa, uamuzi wake ujibu maswali haya;168 na 169 hapo c hini, ya Tanzania Evidence Act, kama una akili utaelewa.
168.-(1) A witness may, while under examination, refresh
his memory by referring to any writing made by himself at the
time of the transaction concerning which he is questioned or so
soon afterwards that the court considers it likely that the
transaction was at that time fresh in his memory.
169. Whenever a witness may refresh his memory by
reference to any writing he may, if the court is satisfied that there
is sufficient reason for the non-production of the original and
with the permission of the court, refer to a copy of such writing.
ile kesi ni very sensitive, na sio kwa kesi ile tu, kwa kesi zote, wakati wowote wakili akisimama na kuraise jambo linaloathiri proceedings, jaji au hakimu anatakiwa kutafuta ufumbuzi kwanza ili yule wakili aonekane amesikilizwa na jaji au hakimu asionekana biased upande mmoja. kwahiyo ilikuwa ni haki ya kikatiba kabisa kumpa benefit of doubt kibatala kusimamisha mahakama ili asikilize na kufumbua tatizo la hoja yake. lakini hapohapo, jiulize kwanini jaji alimuuliza kibatala kama alimuona huyo shahidi akivitumia hivyo vitu au ni ile mere possession akiwa kizimbani. kuna mengi, majibu mtayapata kesho. shida ya kibatala huwa anakurupuka ili apate kuokana na watu kuwa anafanya kazi wakati hanaga hoja za kisheria ila siasa tu kwa sisi tunaomjua.Hebu fafanua vizuri.... kama inaruhusiwa kuingia na material za ku-refresh memory? Tatizo ilikuwa ni nini mpaka kukawa na utata? Na kama ni clear kwamba inaruhusiwa, kwanini Jaji aone umuhimu wa kusimamisha proceedings kupisha hili jambo?
Maana you are making it look like it's not a big deal; but it has been a big deal. Au niulize, ni wakati gani diary inaweza kuzuiwa kwenye kizimba?
nashukuru unakubali kuwa shahidi hakatazwi kuwa na hizo docs pale kizimbani. haona akili zimeanza kukurudi hauendi kama nyumbu tena.1. chapwa24, kwanza nikuhakikishie hili, mimi naelewa kimombo kuliko wewe unavyokielewa...!
2. Unàchobishana na mimi hapa ni nini hasa? Kwa sababu sheria inaruhusu hilo kweli lakini kwa discretions kuwa awe na ruhusa ya Jaji kwa kuzingatia sheria na anachokifanyia reference au refreshment kama unavyosema kiwe ktk boundaries zinazoruhusiwa na sheria...
3. Mwisho, kama ndivyo, basi tusubiri maamuzi ya jaji kesho atasemaje...
Maelezo yangu juu yanajitosheleza na Jaji atazingatia vifungu hivi. Muhimu ni kuwa, uamuzi wake ujibu maswali haya;
1. Kutumia simu, diary na kalamu akiwa kizimbani aliruhusiwa na mahakama kwa kufuata utaratibu wa kisheria unavyoelekeza...?
2. Yaliyo ndani ya vifaà vyake hivyo yako ndani ya mipaka (boundaries) ya yanayoruhusiwa na sheria? Kwa maana yako specific relevant na kile alichokuwa anakielezea ktk kutoa uahahidi wake wakati huo?
1. Hapana, Mimi siyo mjinga. Hilo la ujinga nalirudisha kwako mwenyewe...wewe ni mjinga huna uwezo kubishana na mimi. soma sections 168 na 169 hapo c hini, ya Tanzania Evidence Act, kama una akili utaelewa.
168.-(1) A witness may, while under examination, refresh
his memory by referring to any writing made by himself at the
time of the transaction concerning which he is questioned or so
soon afterwards that the court considers it likely that the
transaction was at that time fresh in his memory.
169. Whenever a witness may refresh his memory by
reference to any writing he may, if the court is satisfied that there
is sufficient reason for the non-production of the original and
with the permission of the court, refer to a copy of such writing.
hivi hapo unajiona umeongea nini sasa? umeuza akili?1. Hapana, Mimi siyo mjinga. Hilo la ujinga nalirudisha kwako mwenyewe...
2. Kweli Mimi siwezi kubishana na wewe, lakini [kama ukitaka] naweza kukuelekeza yakupasayo kufahamu kuhusu hili...
3. Hayo ya kisheria, nimeeleza kwa kirefu huko juu. Unaweza kuchukua notebook/diary yako na kalamu ukipenda hata na simu na uka - refresh bila shaka...!!
ila cdm wenye akili timamu wapo? wanaobishana na ukweli hata wakipewa vifungu vya sheria?Sijawahi kumuona polisi mwenye akili timamu
Mkuu nimeuliza swali jepesi, kama hakuna shida kwa shahidi kuingia na diary kwenye kizimba, kwanini Jaji aliwa-entertain mawakili wa utetezi. Unaposema Jaji amewapa benefit of the doubt, maana yake there's a possibility of something being wrong. What was that? Nini inaweza kuwa shida? Maana siamini kama jaji anayejua kwamba, "hakuna shida shahidi kuingia na diary", akaamua tu kuleta masihara kwenye kesi.ile kesi ni very sensitive, na sio kwa kesi ile tu, kwa kesi zote, wakati wowote wakili akisimama na kuraise jambo linaloathiri proceedings, jaji au hakimu anatakiwa kutafuta ufumbuzi kwanza ili yule wakili aonekane amesikilizwa na jaji au hakimu asionekana biased upande mmoja. kwahiyo ilikuwa ni haki ya kikatiba kabisa kumpa benefit of doubt kibatala kusimamisha mahakama ili asikilize na kufumbua tatizo la hoja yake. lakini hapohapo, jiulize kwanini jaji alimuuliza kibatala kama alimuona huyo shahidi akivitumia hivyo vitu au ni ile mere possession akiwa kizimbani. kuna mengi, majibu mtayapata kesho. shida ya kibatala huwa anakurupuka ili apate kuokana na watu kuwa anafanya kazi wakati hanaga hoja za kisheria ila siasa tu kwa sisi tunaomjua.
aliwaentatain wao kwasababu wao ndio waliotoa hoja. mbona kitu kirahisi sana kuelewa? ndio maana nikakuuliza, jiulize kwanini ni jaji huyohuyo alimwuliza kibatala kama amemuona akiisoma au hajamwona, kibatala ndo kaanz akutapatapa kuwa kaambiwa sijui vilikwenda vikarudi. sifuri tupu.Mkuu nimeuliza swali jepesi, kama hakuna shida kwa shahidi kuingia na diary kwenye kizimba, kwanini Jaji aliwa-entertain mawakili wa utetezi. Unaposema Jaji amewapa benefit of the doubt, maana yake there's a possibility of something being wrong. What was that? Nini inaweza kuwa shida? Maana siamini kama jaji anayejua kwamba, "hakuna shida shahidi kuingia na diary", akaamua tu kuleta masihara kwenye kesi.
Kuna sehemu nmetaja cdm hapa?ila cdm wenye akili timamu wapo? wanaobishana na ukweli hata wakipewa vifungu vya sheria?
mimi kuitaja nimekukwaza?Kuna sehemu nmetaja cdm hapa?
Man.... you are jumping around.aliwaentatain wao kwasababu wao ndio waliotoa hoja. mbona kitu kirahisi sana kuelewa? ndio maana nikakuuliza, jiulize kwanini ni jaji huyohuyo alimwuliza kibatala kama amemuona akiisoma au hajamwona, kibatala ndo kaanz akutapatapa kuwa kaambiwa sijui vilikwenda vikarudi. sifuri tupu.
Sasa imekuaje umeniquote kama sio wewe uliekwazika!!!mimi kuitaja nimekukwaza?
ukitoa hoja mahakamani hata kama ni ya kipuuzi, huwa lazima isikilizwe kama itakuwa imerekodiwa kwenye proceedings, usiposikiliza kesi ikienda appeal, itaonekana hukuwasikiliza. utaonekana uliwasikiliza kama utaiandika ukaichambua na kutoa sababu za kuikataa au kuikubali. kwahiyo usichanganyikiwe na jaji kuonekana anajalii hoja yao, ni kitu cha kawaida. pia subiri kesho,sio mbali, usianticipate nini kitatokea kwasababu hata jaji naye wakati mwingine ni mwanadamu huwa anapotelewa na sheria na taratibu kichwani, ila cha muhimu nimewawekeeni sheria isiyokataza kuwa na hizo nodo pale. at least hizo nimewasaidia mfunguke hizo akili zenu ngumu.Man.... you are jumping around.
What could be an issue with a witness having a diary on the stand?
Maana umekuwa ukidai hakuna shida yoyote? Au jaji ameamua tu kuwasikiliza hata kama anajua hoja yao ni ya kipuuzi?
Okay....ukitoa hoja mahakamani hata kama ni ya kipuuzi, huwa lazima isikilizwe kama itakuwa imerekodiwa kwenye proceedings, usiposikiliza kesi ikienda appeal, itaonekana hukuwasikiliza. utaonekana uliwasikiliza kama utaiandika ukaichambua na kutoa sababu za kuikataa au kuikubali. kwahiyo usichanganyikiwe na jaji kuonekana anajalii hoja yao, ni kitu cha kawaida. pia subiri kesho,sio mbali, usianticipate nini kitatokea kwasababu hata jaji naye wakati mwingine ni mwanadamu huwa anapotelewa na sheria na taratibu kichwani, ila cha muhimu nimewawekeeni sheria isiyokataza kuwa na hizo nodo pale. at least hizo nimewasaidia mfunguke hizo akili zenu ngumu.
hujawa mahakamani muda mrefu tu. sisi wenzio ambao tunashinda huko hicho ni kitu cha kawaida hadi tunamshangaa kibatala anapotaka kuifanya kuwa ni issue kuuubwa. siasa tu. kesho kesi ikiendelea njoo ulete mrejesho hapa kama kuna umuhimu wa kuendelea kubishana.Okay....
Ngoja tuone, lakini kama ni kweli it's okay kwa shahidi kuingia na "nondo", ninachojiuliza ni kwanini wengi hawaingii nazo?
Zulumati la Fao la KujitoaMkuu hakuna sheria inayokataza shahidi kuingia na diary wala simu tena kuna wakati shahidi anaweza kuiomba mahakama kujikumbusha vitu mbalimbali kama vile namba au akaunti. Subiri kesho utaona uamuzi utakavyokuwa. Kinachokatazwa ni kutoa ushahidi ukisoma moja kwa moja toka kwenye kumbukumbu yoyote bila idhini ya Mahakama.
Profesa jay ndiye alimtumia ujumbe kibatala baada ya kumuona shahidi akisoma kwenye hiyo diary na ndio maana ilihitajika mawakili wapande zote mbili wakakague hiyo diary kama alichokua anakisoma kina relate na kesi ambayo inaendelea mahakamanijambo ambalo halijathibitishwa ni kwamba, hata kama alikuwa navyo mkononi au mfukoni, hizo ni mali zake ametoka nazo nyumbani kwake, hakuna uthibitisho kwamba wakati akitoa ushahidi alikuwa anasoma, na kusoma haikataliwi kama ataiomba mahakama ili arefresh, huwa inaruhusiwa, sema hakuomba kurefresh na hakusoma. kwahiyo kuishika tu wakati huwa kunakuwa na nafasi ya kuomba kurefresh kama atakubaliwa, sio kosa. sasa ninyi wanasheria wa dcm msio jua kitu mnaona kama ndio mmeshashinda kesi, na mawakili wenu hawawaelekezi vizuri wanaendesha kesi kisiasa. kushika tu diary kuna kosa gani? pale ni open court, kuna watazamaji kibao, makarani, wafuasi wa chadema, waandishi wa habari, point of focus muda wote ipo kwa shahidi watu wote macho kodoo kw a shahidi kwasababu ndiye anayeulizwa maswali na kuyajibu, pia mawakili wa utetezi wapo wanamwangalia muda wote ili wapate wapi pa kumwuliza, hawajamwona anasoma diary wala kusoma msg za simu....uutasema kuna kosa gani limetendeka hapo?
halafu, shahidi yeyote, awe wa jamhuri au shahidi wa mshitakiwa, kabla hajaingia pale kizimbani huwa kuna nafasi ya kwenda kuendaliwa. hata mashahidi wa mbowe kabal hawajaingia kizimbani watachukuliwa na kina kibatala kwenda kwenye chumba cha siri wakamwandae pre-trial, kwa hiyo kwa akili zenu mnafikiri kwa ushaidi wa askari polisi kutakuwa na kitu kama walikuwa na nia ya kumfundisha watakuwa hawakumfundisha hadi aingie kizimbani? mbona mna akili finyu sana ninyi?