Jiongeze huko kwenye ujinga ndiko wanakoharibikiaUsiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.
Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka.
Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
back updawa ni kumtafutia msaidizi.
Ulitumia mbinu za medani bila hivyo ungeandika UziUkinyimwa unyumba na mke mwanaume unawesa kuwa na hasira mpaka ukahisi Dunia yote inakuelemea.
Tena anae kunyima una kuta hajali na wala hana muda na wewe kabisaa.
Mi wangu alivyo ni nyima nikamuundia kosa niliponda sura yake na mabanzi akaumuka.
Baadae nika bembeleza akanipa unyumba.Kati kati ya Show nika mchana ukiwa una ninyima nakuwa na hasira sana hivyo usininyime maana naweza kuvunja meno ya mbele.
Tangu hapo mi show nabonda muda wowoteeee
Aaah sasa nikanunue Qumer nje na huku ndani iko na inalipiwa bili kila kukichaMkuu mbona huo ni kama ubakaji sasa!😂😂
Kwann ukanunue maziwa nje kwa kushindwa kuvumilia siku moja.Aaah sasa nikanunue Qumer nje na huku ndani iko na inalipiwa bili kila kukicha
Hata hio njoo husemi, unapapasa tu automatic anageuka unakula!Kwani unyumba huwa unaombwa boss? Huwa unasema “njoo tufanye mapenzi”?
Hasa kwa walio ktk mahusiano.Kwani unyumba huwa unaombwa boss? Huwa unasema “njoo tufanye mapenzi”?
mabwakuu woiiii.Ukinyimwa unyumba na mke mwanaume unawesa kuwa na hasira mpaka ukahisi Dunia yote inakuelemea.
Tena anae kunyima una kuta hajali na wala hana muda na wewe kabisaa.
Mi wangu alivyo ni nyima nikamuundia kosa niliponda sura yake na mabanzi akaumuka.
Baadae nika bembeleza akanipa unyumba.Kati kati ya Show nika mchana ukiwa una ninyima nakuwa na hasira sana hivyo usininyime maana naweza kuvunja meno ya mbele.
Tangu hapo mi show nabonda muda wowoteeee
Ina ukweli ndani yake.Mi Bora aninyime tu Kuna Ile kauli mnadinyana mtu anakwambia nimechoka. Brro kama unajuwa Bora uache Hadi mtu anatoa kauli hiyo ujuwe Hana feeling na wewe kabisa yaaani ye anahisi maumivu tu.
Kauli hizi:
Nimechoka
Humalizi tu na wewe
Mbona hukojoi
Basi maliza na wewe
Kojoa basi na wewe
Ukisikia hivyo jua hapo umedandia mtumbwi wa Vibwengo
Polen aiseeMbona story inataka kufanana na ya kwangu aisee nilijua ni mimi peke yangu pole mkuu
watu mna mambo nyie khaaahSiwezi acha Pangia michepuko Nyumba, Siwezi maana ukisema mtumie Lodge/hotel gharama ni nyingi.
ni heri niendeleze kautaratbu ka kulipia zile master za 150k kwa mwezi unalipa ya Mwaka Unatulia.
Akibana, unainuka unajinyoosha unamwambie Naenda Dukani nakuja.
Kurudi ni kesho Tena nikitoka kazini,niko mwepesiiiii kama Uzi wa Sufi.