Suala la Kodi TRA: Magufuli, kwa mwenendo huu utashindwa tu

Wasomi wa Kitanzania ni muflis kwa kuwa mfumo wa elimu yenyewe kuanzia ngazi za chini mpaka vyuo vikuu ni muflis .

Wasomi wa TRA badala ya kurahisisha vyanzo vya mapato ili watu wengi walipe wao ndiyo kwanza wanakandamiza kwa mlolongo wa kodi.

Matokeo ni wachache kuweza kulipa na baada ya hapo kutokuzalisha wengi ambao wangelipa .

Nilishauri miaka mingi iliyopita, tuwe na flat rate ya kodi isiyozidi 20% kwa kodi zote, na ioneshe ni kodi moja tu .

Waone watavyokusanya kodi.

Hata Magu wako ni muflis?

Trump mbele kwa mbele....
 
20% flat rate import tax on everything. No exemptions. No excuse.

5% VAT charged on every purchase after importation. No exemptions no excuse .

20% income tax. No kima cha chini, no kima cha juu. No nnakazi au sina kazi . You pay income tax Hata kama umepewa sadaka .
 
Kodizetu ni kubwa na zakukatisha tamaa ukifananisha na UG au KE... Lakini mwisho wayote total collection yetu ya kodi ni ndogo kuliko hao wenzetu. Sjui tunafanyaje?

Umeme wetu Nao ni Ghali kuliko wenzetu lakini shirika (TANESCO) letu ni dhoofu kuliko.

Tuna vyanzo viiingi vya maji lakini usambazaji wetu ni wa shida na gharama sindogo. Meru kuna mzungu kajenga hoteli kwenye chanzo cha maji lakini anawaruhusu watu wavute maji buuuure!! Miaka Sasa.

Gesi tunayo ujazo wa matrilioni cubic ms but gesi hapa kwetu iko juu, madini yetu lakini wauzaji wakuu sio sisi, ng'ombe tele lakini maziwa, bidhaa za ngozi tunaimport, ardhi kubwa yenye rutuba lakini mchele, sukari tunaimport, miti kibao but toothpick hatujaweza tengeneza...

Tuna mambo mengi sana magumu, inafaa wasomi Kama Dr. Rutengwe watushauri tuanzie wapi au tubaki kulialia ili tuonewe huruma?
Wanatafuta wawekezaj wa nje. Yaan nikisikiaga kuhusu wawekezaj nazid kuwadharau waomi wetu,hasa profs maana ndo wamejazana serikali. Huku kwenye sekta binafs tumejaza CEO kwenye masters na wanaperform vizur zaid. Wanatakiwa kuweka mazingira mazur tu kwa watz wawekezaji waukweli watatokea hapa na baadae watawauzia hisa wawekezaji uchwara.
Mfano mdogo tu goodone auza mpk vijiko na sisi raia tuuze nini . muwekezaji anaimport
 
Siyo lazima ununue gari kama hauna uwez,unaweza hata ukanunua baiskeli waache wenye uwezo wanunue magari. Rais wetu tunamuamini sanaa na tunajua mnaotaka afeli mlizoea vya bure kipindi cha Mkwere na sasa mnaisoma namba.
Brain washed kabisa
 
Funza na njaa kichwani wakitoka unakuwaga na akili....!!
Wasomi wa Kitanzania ni muflis kwa kuwa mfumo wa elimu yenyewe kuanzia ngazi za chini mpaka vyuo vikuu ni muflis .

Wasomi wa TRA badala ya kurahisisha vyanzo vya mapato ili watu wengi walipe wao ndiyo kwanza wanakandamiza kwa mlolongo wa kodi.

Matokeo ni wachache kuweza kulipa na baada ya hapo kutokuzalisha wengi ambao wangelipa .

Nilishauri miaka mingi iliyopita, tuwe na flat rate ya kodi isiyozidi 20% kwa kodi zote, na ioneshe ni kodi moja tu .

Waone watavyokusanya kodi.
 
Nilikuwa nasikia TRA kuna wizi ila nilikuwa sijui ni wizi uliohalalishwa na Serikali. Naona Serikali imeamua kujikosesha mapato makusudi, kwa maana, hakuna mfanyakazi hasa wa serikali ambaye siyo mwizi atakayeweza kulipa kodi kama hizi.

Rafiki yangu alinunua gari mtumba Japan kwa $4,200 lakini TRA wakampiga Uplift ya $9,000 kama inavyoonyeshwa hapo chini.

Kwa mwenendo huu lazima makusanyo lazima yatashuka. Tanzania haitengenezi magari, na dunia ya sasa, gari siyo anasa tena. Gari ni muhimu.

Naomba kujua au ufafafanuzi wa hizi gharama. Nakumbuka rafiki yangu aliagiza Marekani na kulipia ushuru huko wa 4%. Hii yetu nashindwa hata kujua ni asilimia ngapi inalipiwa. Kwa kiburi na majigambo ya hii serikali, siwatakii mabaya, ila hawaendi kokote na hizi gharama hapa chini;

Reference Number 1516350471
Make: TOYOTA
Model: PREMIO
Body Type: SEDAN
Year of Manufacture: 2009
Fuel Type: PETROL
Engine Capacity: 1501 - 2000 CC
Customs Value CIF (USD): 9,000.00
Import Duty (USD): 2,250.00
Excise Duty (USD): 562.50
Excise Duty due to Age (USD): 0.00
VAT (USD): 2,126.25
Custom Processing Fee (USD): 54.00
Railway Dev Levy (USD): 135.00

Total Import Taxes (USD): 5,128
Total Import Taxes (TSHS): 11,235,448.00
Du, haya magamba ya CCM yataiumiza nchi kwa maushuru yake ya ajabu ajabu. Nchi ni kama gari bovu lisilokuwa na usukani. Ni balaa!
 
Kodi ndani ya kodi, railway Dev levy n.k. kuna tatizo mahali, na ni la muda mrefu sasa. Wadau wamelalamika kwa muda mrefu lakini hakuna kinachoonekana kurekebishwa; labda kwa sababu tunalalamika na wakati huohuo tunaendelea kuagiza kwa wingi hivyo wachukua hatua wanaona haina sababu ya kubadili wakati watu wanaendelea kumudu kuumizwa.
 
Nilikuwa nasikia TRA kuna wizi ila nilikuwa sijui ni wizi uliohalalishwa na Serikali. Naona Serikali imeamua kujikosesha mapato makusudi, kwa maana, hakuna mfanyakazi hasa wa serikali ambaye siyo mwizi atakayeweza kulipa kodi kama hizi.

Rafiki yangu alinunua gari mtumba Japan kwa $4,200 lakini TRA wakampiga Uplift ya $9,000 kama inavyoonyeshwa hapo chini.

Kwa mwenendo huu lazima makusanyo lazima yatashuka. Tanzania haitengenezi magari, na dunia ya sasa, gari siyo anasa tena. Gari ni muhimu.

Naomba kujua au ufafafanuzi wa hizi gharama. Nakumbuka rafiki yangu aliagiza Marekani na kulipia ushuru huko wa 4%. Hii yetu nashindwa hata kujua ni asilimia ngapi inalipiwa. Kwa kiburi na majigambo ya hii serikali, siwatakii mabaya, ila hawaendi kokote na hizi gharama hapa chini;

Reference Number 1516350471
Make: TOYOTA
Model: PREMIO
Body Type: SEDAN
Year of Manufacture: 2009
Fuel Type: PETROL
Engine Capacity: 1501 - 2000 CC
Customs Value CIF (USD): 9,000.00
Import Duty (USD): 2,250.00
Excise Duty (USD): 562.50
Excise Duty due to Age (USD): 0.00
VAT (USD): 2,126.25
Custom Processing Fee (USD): 54.00
Railway Dev Levy (USD): 135.00

Total Import Taxes (USD): 5,128
Total Import Taxes (TSHS): 11,235,448.00
Wanachofanya ni kuestablish thamani halisi ya gari hiyo kama ingenunuliwa mpya halafu inapigwa depreciation ili kupata thamani halisi ya sasa halafu vingine vinafuata. Hali hii imekuja kutokana na sisi kudanganya thamani halisi na mwishowe jamaa wakastuka.
 
Siyo lazima ununue gari kama hauna uwez,unaweza hata ukanunua baiskeli waache wenye uwezo wanunue magari. Rais wetu tunamuamini sanaa na tunajua mnaotaka afeli mlizoea vya bure kipindi cha Mkwere na sasa mnaisoma namba.

nakuona maskini jeuri

namba tunaisoma wote tena si ajabu hujui hata gari inaagizwa vipi
 
20% flat rate import tax on everything. No exemptions. No excuse.

5% VAT charged on every purchase after importation. No exemptions no excuse .

20% income tax. No kima cha chini, no kima cha juu. No nnakazi au sina kazi . You pay income tax Hata kama umepewa sadaka .


Safi madam Faiza. Umeshauri vyema sana.

-Kaveli-
 
Nchi hii, ku-import gari ni msiba!

Hayo makodi yao ni ya kinyonyaji haswa. Utadhani serikali haitaki mwananchi amiliki gari.

-Kaveli-
 
Hii ni hujuma inafanyika makusudi na Tra ilii Mkuu nchi imshinde na kwa mwendo huu mimi ninampa miaka 2 tu.
 
His ndio maana nchi inashindwa kujiendesha na udikteta. Mara mia bora kikwete. Tulimnanga na kumtukana, lakini Air Msoga alikuwa afadhali sana aulico huyu limbukeni, mshamba..........Bora ashindwe tu. kaanza vibaya
Mkuuu wote tupo ukawa ila kanush kauli yako mkuu
 
20% flat rate import tax on everything. No exemptions. No excuse.

5% VAT charged on every purchase after importation. No exemptions no excuse .

20% income tax. No kima cha chini, no kima cha juu. No nnakazi au sina kazi . You pay income tax Hata kama umepewa sadaka .
Watanzania mlipe kodi hakuna cha mwana ccm au ukawa,wote mlipe kodi na kudai risiti.Mtanyooka tu mlikua hamjazoea kulipa kodi
 
Back
Top Bottom