Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Huyu jamaa Excel muache tu ajianike juu ya mawe usimshtue asije akaiga tabia ya mjusi kenge.... wenzenu twaponda raha mdogo mdogo kwenye kasri letu.
Umenikumbusha bwana Kenge kweli hamnazo... yeye muda mwingi anakaa kwenye maji... akiwa amejianika kwenye mawe huko mvua ikianza kunyesha tu, yeye hukimbilia kwenye maji (mtoni etc). sasa unajiuliza amekimbia nini na amekimbilia nini?
Umenikumbusha bwana Kenge kweli hamnazo... yeye muda mwingi anakaa kwenye maji... akiwa amejianika kwenye mawe huko mvua ikianza kunyesha tu, yeye hukimbilia kwenye maji (mtoni etc). sasa unajiuliza amekimbia nini na amekimbilia nini?