Stupid things men do in relationship

Stupid things men do in relationship

Tabia ni kama ngozi, huwezi kujivua ngozi ukabaki hai. pamoja na manyo yoote hayo ya Khantwe? Loooooooooooooo!!
Ngoja niwe km fisi kumfata mtu akizani mkono utaanguka! Ipo siku naamini utakua wangu tu! Lkn ndio iwe siri kweli asifahamu Khantwe maana patachimbika!

@Sie tupo tunakula raha kwenye boti yetu apa na kasinde... nyie endeleeni kujinika tu kwenye mawe na Excel wako... mmekuwa mijusi siku hizi nini? Hawa ndio wanapenda sana kukaa juu ya mawe
Aiseee Tized Naona unazidi kukoleza moto Ngoja niungane na Excel kumpa mwaliko Kasinde Wa kuja rockcity

Excel Bado Uko KTK lile jiwe?- ok Ngoja nimlete Kasinde hapo!

Habari ya kupima tumeongea hapa so tumalizane hapa mbele ya Tized

Asiye sikia la mkuu?
Braza, kwa kweli Kasinde ni hatari.. she has an eye bro, i cant imagine of her legs! lol.

Can you please give me 3 hours of privacy?.. i am busy with kasie!

You obidience arouses me!!!
OK tized, I wont do that as along as u have not allow me, am here your majesty am KING looh!!!

Huku ni kutafuta huruma usiyostahili....
Naona Mke wangu unataka kunikandamiza mbele za Watu!

Ngoja nimuite muuza ubuyu awe shahidi wangu kabla sijatoa maelezo! Maana Hawa wote Tized Mr Rocky Mokoyo hawawezi kunitetea!
 
Last edited by a moderator:
Tized my KING natoka naenda mazoezini si unaona jua ndo linaishia hivyo, later pls. Take care :hug:
 
Last edited by a moderator:
Brother I am very secured just I cant trust you when it come to issues involving women!!! Yo are unpredictable!!
Tized just feel secured and stop been unsecured to your love to Kasinde
If the love is there it will be there and remain there forever
 
Ngoja niwe km fisi kumfata mtu akizani mkono utaanguka! Ipo siku naamini utakua wangu tu! Lkn ndio iwe siri kweli asifahamu Khantwe maana patachimbika!
Khantwe njoo umchukue huyu kwa maana hapa atachoma mahind na mishikaki bila huo mkono kudondoka
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa! nikipotea na mtoto wa kichaga naomba breki ya kwanza iwe kwa mama kule tarime!

mwambie niko machame na miss chagga! .. huyu mtoto anajua aisee, i am burning with lov!

Ntafikisha taarifa best askar kafia vitan kwa Toto LA kichaga mpe pesa TNA nasema mpe wallet yako miss chagga uonyeshwe mahaba ambayo Mr Rocky hajawahi kuonyeshwa
 
Last edited by a moderator:
Tabia ni kama ngozi, huwezi kujivua ngozi ukabaki hai. pamoja na manyo yoote hayo ya Khantwe? Loooooooooooooo!!


@Sie tupo tunakula raha kwenye boti yetu apa na kasinde... nyie endeleeni kujinika tu kwenye mawe na Excel wako... mmekuwa mijusi siku hizi nini? Hawa ndio wanapenda sana kukaa juu ya mawe




Asiye sikia la mkuu?


You obidience arouses me!!!


Huku ni kutafuta huruma usiyostahili....



Tized Leo umenivunja mbavu zangu Aiseee!


Kasinde huyu Tized ndio mwanaume anaekufaa!

Excel ondoka kwenye mawe mkulu utakua mjusi yale madole!
 
Last edited by a moderator:
Khantwe njoo umchukue huyu kwa maana hapa atachoma mahind na mishikaki bila huo mkono kudondoka



Mbona Mimi sijamuita Mokoyo jamani?

Ayayayayaya!

Muda ule nilimdanganya Khantwe Nilikua nafanya mazoezi Sasa Ngoja saizi ntafute Kamba ingine!
 
Last edited by a moderator:
Mbona Mimi sijamuita Mokoyo jamani?

Ayayayayaya!

Muda ule nilimdanganya Khantwe Nilikua nafanya mazoezi Sasa Ngoja saizi ntafute Kamba ingine!

Hat ukimuita haji kwa maana hapa Nipo nae tunapunga upepo kwa raha zetu
chezea mahaba mazito wewe
Hujui nimeumbwa kwa ajili yake eeeeh

We trust each other pole yako wewe una michepuko miiingi na ukiniona tabia ya kukonyeza uache
 
Last edited by a moderator:
You are always welcomed my dear!! You are very special!! Proud of you.

Keep up.. majukumu ndio msingi wa maisha best!!!!!!!!
U know what Tized am happy cos i know u are always there for me ...
Majukumu mengi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom