Stupid things men do in relationship

Stupid things men do in relationship

Hahahaaaa... Not pretending anyway... I only know mentally am aged far beyond my normal age so I live my age once in a while. Hahahahhaaaaa cc Mupenzi Kasinde

Tized na Karucee acheni kunisema Karucee i miss the old you and the way we share passion and love between us
Njoo tena bana kweney ule ulimwengu maana kimya chako kinatisha Tized you don have to pretend just be the way you need to be and count the blessing of your age and life
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa... Not pretending anyway... I only know mentally am aged far beyond my normal age so I live my age once in a while. Hahahahhaaaaa cc Mupenzi Kasinde

am just smiling..... I get the copy
 
Hahahaaaa... Not pretending anyway... I only know mentally am aged far beyond my normal age so I live my age once in a while. Hahahahhaaaaa cc Mupenzi Kasinde


Are you sure of that
Once in a while just remember always love is there and when someone loves you be there for her Tized
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa Mr Rocky ni mzee mwenzangu. Ofcourse huwezi jua my sweetie, I like it that way.
I cant wait meeting the nastier you!!! OOOhhhhh gosh, the photo is not coming!!!!!!!!!!!!!!!.

Really u like it that way.....mmmmmmhhhh!!! Once u meet Kasinde for sure utaambukizwa upopo otherwise utasikitika kwa nini nilimfahamu maana muda wa kuongea na kuonana na kasinde ni night in night clubs, disco and the like. You cant get the picture just refer the avatar
 
Hakyi ya mungu!!!!!! Ukiona nalowea sana unishtue tafadhali maana Kasinde mambo yake ni nouuma!!!! Naweza jikuta nje ya mstari kama UKAWA hivi hivi tu.

Are you sure of that
Once in a while just remember always love is there and when someone loves you be there for her Tized
 
Last edited by a moderator:
The photo is kamingiiiii afu inarudi.. inakujaaaa inakata!!!!! I cant stop thinking how rocking it gonna be!!!
Really u like it that way.....mmmmmmhhhh!!! Once u meet Kasinde for sure utaambukizwa upopo otherwise utasikitika kwa nini nilimfahamu maana muda wa kuongea na kuonana na kasinde ni night in night clubs, disco and the like. You cant get the picture just refer the avatar
 
Really u like it that way.....mmmmmmhhhh!!! Once u meet Kasinde for sure utaambukizwa upopo otherwise utasikitika kwa nini nilimfahamu maana muda wa kuongea na kuonana na kasinde ni night in night clubs, disco and the like. You cant get the picture just refer the avatar


Kasinde achana na huyo kimbaumbau Tized na huyo Mzee Wa miamba Mr Rocky Njoo kwangu Mzee Wa hayo makitu ya Nites Clubs Disco na mengineyo! Wasifu wako huu umenifanya niingilie Kati love ya Tized kwako!
 
Last edited by a moderator:
Hakyi ya mungu!!!!!! Ukiona nalowea sana unishtue tafadhali maana Kasinde mambo yake ni nouuma!!!! Naweza jikuta nje ya mstari kama UKAWA hivi hivi tu.

Hahahahaaaa ile toyo yako iko wapi? huwa navuta picha ukiwa umevaa helmet halafu na hiyo miwani............. u r thinking about crushing.............. usijali natumai ubavu wako anakupenda kisawasawa kwa maana ya kuwa ukitoka nje ya mstari atakurudisha haraka, ukiona unatoka nje ya mstari na ubavu wako hakurudishi ujue keshakuchoka na hakupendi tena.
Kasinde muoga sana wa kupigwa na kumwagiwa tindikali, sio mtu wa vurugu vurugu na purukushani, sasa napata hisia Kasinde ndo amtoa Tized nje ya mstari wake si ubavu wako atantoa nduki weeehhh, ila ukikaa ki dizaini Kasinde akikupa vitu adimu vya kinyamwezi vile wanavyosifiwa navyo wallah hata ubavu wako akija humuelewi lugha.

Wananiita popo, Kasinde nakula ujana oyo woooh!!
 
Oooh yeah!!!! mnyamwezi Kasinde!!!!!!!!! Huenda performance ikakufanya wewe ndio huo ubavu!!! Ooolalalalalalalalala!!!!!

Nikiwa na helmet nakuaje handsome!!!! wacha kabisa!!!
Hahahahaaaa ile toyo yako iko wapi? huwa navuta picha ukiwa umevaa helmet halafu na hiyo miwani............. u r thinking about crushing.............. usijali natumai ubavu wako anakupenda kisawasawa kwa maana ya kuwa ukitoka nje ya mstari atakurudisha haraka, ukiona unatoka nje ya mstari na ubavu wako hakurudishi ujue keshakuchoka na hakupendi tena.
Kasinde muoga sana wa kupigwa na kumwagiwa tindikali, sio mtu wa vurugu vurugu na purukushani, sasa napata hisia Kasinde ndo amtoa Tized nje ya mstari wake si ubavu wako atantoa nduki weeehhh, ila ukikaa ki dizaini Kasinde akikupa vitu adimu vya kinyamwezi vile wanavyosifiwa navyo wallah hata ubavu wako akija humuelewi lugha.

Wananiita popo, Kasinde nakula ujana oyo woooh!!
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu acha hizo!!

Afu unajua mupenzi wangu Kasinde anapenda sana wanaume warefu vimbaumbau? najua wewe unakosa io moja ya umbaumbau. hahahahaaa.... So on behalf of my love Kasinde, You are honestly disqualified basing on merit.

Kasinde achana na huyo kimbaumbau Tized na huyo Mzee Wa miamba Mr Rocky Njoo kwangu Mzee Wa hayo makitu ya Nites Clubs Disco na mengineyo! Wasifu wako huu umenifanya niingilie Kati love ya Tized kwako!
 
Last edited by a moderator:
The photo is kamingiiiii afu inarudi.. inakujaaaa inakata!!!!! I cant stop thinking how rocking it gonna be!!!

hahahahahahahaaaaa Tized wa TZ yaani ni MTANZANIA au wakenya wanasema MTIZED ndo huyu Tized looh
 
Kasinde achana na huyo kimbaumbau Tized na huyo Mzee Wa miamba Mr Rocky Njoo kwangu Mzee Wa hayo makitu ya Nites Clubs Disco na mengineyo! Wasifu wako huu umenifanya niingilie Kati love ya Tized kwako!

uuuuhhhhhh waaaooow!!! is that an invitation to treat!!?? Lets see what MTZ huyu atasemaje.............

Kwani Tized is inlove with me..........???? mbona....................!!!!!
 
Ntuzu acha hizo!!

Afu unajua mupenzi wangu Kasinde anapenda sana wanaume warefu vimbaumbau? najua wewe unakosa io moja ya umbaumbau. hahahahaaa.... So on behalf of my love Kasinde, You are honestly disqualified basing on merit.



Kwa hiyo sifa Mkuu Uko juu! Alafu ukiongeza na sifa ya uzee Sasa inakua ndio nzuri Zaidi maana wazee wanasifika sn kwa kuhudumia Vzr!
 
Last edited by a moderator:
uuuuhhhhhh waaaooow!!! is that an invitation to treat!!?? Lets see what MTZ huyu atasemaje.............

Kwani Tized is inlove with me..........???? mbona....................!!!!!

Mnyamwezi Kasinde aiseee kweli ukimshika huyo kimbaumbau Tized hawezi elewa lugha ya UBAVU wake!

Wanyamwezi mko juu! Ata wale watanga hawana kitu mbele yenu!
 
Last edited by a moderator:
Oooh yeah!!!! mnyamwezi Kasinde!!!!!!!!! Huenda performance ikakufanya wewe ndio huo ubavu!!! Ooolalalalalalalalala!!!!!

Nikiwa na helmet nakuaje handsome!!!! wacha kabisa!!!

Tized Tized usijefanya nikaviziwa saa ya kutoka ofcn nikapigwa mie au nikiwa club nikamwagiwa tindikali oohoooo ugomvi siuwezi mie. Halafu ma handsome huwa wanafwatwa fwatwa sana na waschana warembo mie siwezi kugombania bwana au kushea bwana looh, Kasinde wa watu mpoleee ila nakula ujana
 
Ntuzu acha hizo!!

Afu unajua mupenzi wangu Kasinde anapenda sana wanaume warefu vimbaumbau? najua wewe unakosa io moja ya umbaumbau. hahahahaaa.... So on behalf of my love Kasinde, You are honestly disqualified basing on merit.

Hahahahahaaa Tized hapo ndo huwa nakupendea, halafu mbona anakazania kuwa wewe ni kimbau mbau? Mwambie kimbau mbau raha yake apate nyama nyama za size ya kati sio ile tipwa tipwa, Ntuzu inabidi ukubali yaishe tuu maana Tized kamaliza kila kitu looh
 
Kwa hiyo sifa Mkuu Uko juu! Alafu ukiongeza na sifa ya uzee Sasa inakua ndio nzuri Zaidi maana wazee wanasifika sn kwa kuhudumia Vzr!

Wacha niendelee kula mema ya Tized, kupendwa ndio huku, kupendwa kuheshimiwa.........
 
Hahahahahaaa Tized hapo ndo huwa nakupendea, halafu mbona anakazania kuwa wewe ni kimbau mbau? Mwambie kimbau mbau raha yake apate nyama nyama za size ya kati sio ile tipwa tipwa, Ntuzu inabidi ukubali yaishe tuu maana Tized kamaliza kila kitu looh

Tajitahidi nipate picha yako kasinde nijue siri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom