Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Hahahaaaa... Not pretending anyway... I only know mentally am aged far beyond my normal age so I live my age once in a while. Hahahahhaaaaa cc Mupenzi Kasinde
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa Kasinde mbona unajihami ..? Lol!
Hahahahaaa Mr Rocky ni mzee mwenzangu. Ofcourse huwezi jua my sweetie, I like it that way.
I cant wait meeting the nastier you!!! OOOhhhhh gosh, the photo is not coming!!!!!!!!!!!!!!!.
mi hapo kwenye stingy hapo dah
Really u like it that way.....mmmmmmhhhh!!! Once u meet Kasinde for sure utaambukizwa upopo otherwise utasikitika kwa nini nilimfahamu maana muda wa kuongea na kuonana na kasinde ni night in night clubs, disco and the like. You cant get the picture just refer the avatar
Really u like it that way.....mmmmmmhhhh!!! Once u meet Kasinde for sure utaambukizwa upopo otherwise utasikitika kwa nini nilimfahamu maana muda wa kuongea na kuonana na kasinde ni night in night clubs, disco and the like. You cant get the picture just refer the avatar
Hakyi ya mungu!!!!!! Ukiona nalowea sana unishtue tafadhali maana Kasinde mambo yake ni nouuma!!!! Naweza jikuta nje ya mstari kama UKAWA hivi hivi tu.
Hahahahaaaa ile toyo yako iko wapi? huwa navuta picha ukiwa umevaa helmet halafu na hiyo miwani............. u r thinking about crushing.............. usijali natumai ubavu wako anakupenda kisawasawa kwa maana ya kuwa ukitoka nje ya mstari atakurudisha haraka, ukiona unatoka nje ya mstari na ubavu wako hakurudishi ujue keshakuchoka na hakupendi tena.
Kasinde muoga sana wa kupigwa na kumwagiwa tindikali, sio mtu wa vurugu vurugu na purukushani, sasa napata hisia Kasinde ndo amtoa Tized nje ya mstari wake si ubavu wako atantoa nduki weeehhh, ila ukikaa ki dizaini Kasinde akikupa vitu adimu vya kinyamwezi vile wanavyosifiwa navyo wallah hata ubavu wako akija humuelewi lugha.
Wananiita popo, Kasinde nakula ujana oyo woooh!!
The photo is kamingiiiii afu inarudi.. inakujaaaa inakata!!!!! I cant stop thinking how rocking it gonna be!!!
uuuuhhhhhh waaaooow!!! is that an invitation to treat!!?? Lets see what MTZ huyu atasemaje.............
Kwani Tized is inlove with me..........???? mbona....................!!!!!
Oooh yeah!!!! mnyamwezi Kasinde!!!!!!!!! Huenda performance ikakufanya wewe ndio huo ubavu!!! Ooolalalalalalalalala!!!!!
Nikiwa na helmet nakuaje handsome!!!! wacha kabisa!!!
Kwa hiyo sifa Mkuu Uko juu! Alafu ukiongeza na sifa ya uzee Sasa inakua ndio nzuri Zaidi maana wazee wanasifika sn kwa kuhudumia Vzr!
Hahahahahaaa Tized hapo ndo huwa nakupendea, halafu mbona anakazania kuwa wewe ni kimbau mbau? Mwambie kimbau mbau raha yake apate nyama nyama za size ya kati sio ile tipwa tipwa, Ntuzu inabidi ukubali yaishe tuu maana Tized kamaliza kila kitu looh