Stupid things men do in relationship

Stupid things men do in relationship

kaka mkubwa hii ni personal invitation! kuna kamkataba nataka Kasinde awekepo kakidole kake bhana! ikiwezekana asaign kwa lipsi kabisa! lol.
she will be safe,,, dont worry!

mmmmhhhhhh!!!!! sign..!!! mkataba....!!!! I think I need a lawyer looh!! tena sign kwa lips...............

Tized inakubalika hii??
 
Ntuzu mwenzetu ndio umeshakinukisha ivyo ujue!!!! Unasubiriwa apa popote ulipo jitokeze. Ndo utajutia kujidai wewe ni TBS na TFDA ya mitongozo!!!
Tena atwambie kabisa alikuwa anapima nini maana nasikia wengine wanapima petroli sijui diesel....
 
Last edited by a moderator:
Ukiona mtu anasifiwa ivyo ujue kuna kitu anazidishiwa usingizi asiamke... Hahahahaaa. mzima best yangu?

u know me well nampa best of the best from my soul.......

ila mimi mzima miss u much my dear
 
mmmmhhhhhh!!!!! sign..!!! mkataba....!!!! I think I need a lawyer looh!! tena sign kwa lips...............

Tized inakubalika hii??
mamii mbona easy sana hii? yani lips signatures ni new model ya contractual bailment.. by the way, nisikusumbue kwa maneno mazito ya kibiashara! hebu njoo ukiwa umepaka lip shine kiasi tu, then ntakwambia cha kufanya..!

witnesses ni sisi wenyewe tu! no third party!
 
kuna free way nataka nikuoneshe ambayo Tized hatoistukia..!

Just stay back and wait...!

anza kabisa kuandaa begi ya nguo kwa safari..
Tized am I much protected??? nahisi kuna tukio la kid napping linakaribia kutokea looh
 
Last edited by a moderator:
Yaani wewe njoo wakati wowote hata usiku nyumba yangu iko free na haina usumbufu kabisa kwa wageni
Utapewa chumba cha wageni kulala na utapata huduma zote kama mgeni
Mwambie tuu Tized unaenda kumtembelea shemeji yako hatakukataza

Hahahahaaaaaaa mie nimekatazwa kulala kwa watu
 
Last edited by a moderator:
both hope so...remember kwa dk all our best memory..
si kila ua linanukia ila waridi tu....

hm! hm!...

ushakuwa profesa eenh? mbona umeniacha ubungo mataa? lol..

by the way, you left a place in my heart, i have missed you to some extent that.... dah!
 
Ntuzu mwenzetu ndio umeshakinukisha ivyo ujue!!!! Unasubiriwa apa popote ulipo jitokeze. Ndo utajutia kujidai wewe ni TBS na TFDA ya mitongozo!!!



Hahahahaaaaa

Khantwe wangu tutamalizana chumbani kwetu! Huko ndo ntakuleza Nilikua napima nini!
 
Last edited by a moderator:
Please you are not allowed to meet this man alone.
mmmhhh mmmhhh wewe hujanielewa bana, sjamaanisha hivo, nilisema iwapo Tized ataniruhusu kuja kukusalimia, nyie ndugu wawili nyie............!!
 
mmmhhh mmmhhh wewe hujanielewa bana, sjamaanisha hivo, nilisema iwapo Tized ataniruhusu kuja kukusalimia, nyie ndugu wawili nyie............!!


Hapana ndugu hata asipokuruhusu unajuka tuu bana maana sisi ni ndugu eti na salam ya kuonana ni muhimu sana Kasinde
Ina maana ukimsalimu kwenye simu hakusikii!!! Acha hizo braza.

Kwenye simu hainogi bana Tized twahitaji tutiane machoni kabisa face to face wasemavyo wenzetu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom